Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

- hahahahaha sawa sawa bora ujinga unaolipa kuliko huu wako wa kunufaisha wengine kwa kutumia majina yako ya bandia nadhani ni ujinga suio maelezo hahahahahah mimi ujinga wangu unalipa ndio maana una wadhamini hahahahha

le Mutuz
kwa ujinga ulionao ndio mana umeshindwa kuelewa ninachomaanisha.

Id fake wala hainipi shida naweza nkakupa jina langu na uthibitisho wa vyeti original (ambavo mjinga mwenzako hana) uhakikishe.

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app

 
kama una jihusisha na Le Mutuz sikuheshimu tena kuanzia leo cocochanel
 
kwa ujinga ulionao ndio mana umeshindwa kuelewa ninachomaanisha.

Id fake wala hainipi shida naweza nkakupa jina langu na uthibitisho wa vyeti original (ambavo mjinga mwenzako hana) uhakikishe.

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app

- imagine mtu aliyeenda shule anapotumia majina ya bandia kutukana wengine asiowajua kwenye mitandao unasema ni mzima? hahahahahahhaa

le Mutuz
 
- imagine mtu aliyeenda shule anapotumia majina ya bandia kutukana wengine asiowajua kwenye mitandao unasema ni mzima? hahahahahahhaa

le Mutuz
Ngoja nitulie nisije nikajishusha kuwa level zako. Nikawa janga la taifa as you are period

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app

 
Ubunifu zero kabisa kilakitu anamwiiga millardayo.com ukiangalia hata blog yake magazeti yote asubuhi anakopi kutoka millardayo.com tena yakiwa na logo ya millardayo
Shame on you....!


Binafsi nimefurahi LIKE ULIZOPEWA na wenye chuki wenzako hongera sana Mkuu.
 
Ngoja nitulie nisije nikajishusha kuwa level zako. Nikawa janga la taifa as you are period

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app

- hahahahaha siku ukiniona natumia majina ya bandia kama wewe ujue nimeshuka your level hahahahaha

le Mutuz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…