Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Nataka go ahead kutoka kwakeHahahahah alifanyiwa nin mkuu embu mwaga mchele hadharani mkuu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent From My Nokia Ya Tochi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataka go ahead kutoka kwakeHahahahah alifanyiwa nin mkuu embu mwaga mchele hadharani mkuu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha Le kubwa jingazi Le kuwadiz wa Bashite- hiyo ni picha na mama yangu marehemu mama yangu mzazi, aliyeipost ni mimi so sio kwamba iliibiwa hapana ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kukutana naye baada ya miaka mingi niliyokuwa majuu, hahahaha jina lako la bandia picha sio yako hahaha kuna binadam mlizaliwa bwana hahahahaha
le Mutuz
Hahaha Le kubwa jingazi Le kuwadiz wa Bashite
Ni Davis Mosha ulimfanyia ukuwadi akakupa zawadi ya studio.wadogo zako ni ma Dr wana akiri timamu wewe babu unahangaika kushikwa mashavu na vikaa haba vya mjiniView attachment 562279
- Hii ndio my new Studio so kaa mkao wa kula coming soon Le Mutuz TV Online hahahahahaha
le Mutuz
Ni Davis Mosha ulimfanyia ukuwadi akakupa zawadi ya studio.wadogo zako ni ma Dr wana akiri timamu wewe babu unahangaika kushikwa mashavu na vikaa haba vya mjini
Nimekwambia ukweli povu linakutoka- Ok mtoto wa kiume unaandika maneno ya jikoni hivi duh! Pwani hapa utavalishwa dela mkuu hahahahaha
le Mutuz
We nawe umekosa pa kuomba msaada mtafute IT yoyote Huyo babu anawaza kuchezea ndala zilizobustiwa na sidilia zenye vinondo za ma bongo muvile mutuz national (bloger) tv, waweza nisaidia namna ya kufungua blog???
Sent using Jamii Forums mobile app
Le mutuz ni la Bandia au la kikakapoa?- sasa kweli mimi mtumzima na akili timamua nitabishana na mtu anayetumia majina ya bandia? hahahaa wenye akili si watanishangaa hahahahahaha
le Mutuz
Siku zote nyoka mwenye sumu huwezi kuta anachezewa ovyo,ss huyu jamaa yetu mademu wameshamjua hana sumu basi mambo ya kiss kiss mbona poa tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
hongera bashite kwa kuanzisha TV kwa kupitia mgongo wa lemutuz..
Hahaha ndio .childhood friend zake naskia ni jk na mbowe[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Alipaswa kuandika "with my child's friend"
Alifanywa nn mkuu ?Hahahaha mbona huwa huongei ulichofanyiwa kijitonyama
Sent From My Nokia Ya Tochi
Halafu ataangalia nani labda bashite tuTv station sio msambwanda useme tu kuwa unayo.