Le Mutuz (W. Malecela) Vs Alberto Msando: Hii ni vita ya kupigania haki za wasanii au kopo la Coca?

Le Mutuz (W. Malecela) Vs Alberto Msando: Hii ni vita ya kupigania haki za wasanii au kopo la Coca?

Status
Not open for further replies.
Beckam ni common name, David Beckham ni bland,

Ona ulivyo lijinga hadi hata kusoma na kuelewa hujui! Kwanza ushaambiwa Manchester United class of '92 walipata chupa zao. Unajua hata Manchester United class of '92 ni nini?

Halafu eti "David Beckham ni bland" LMAO......unajua maana ya bland wewe?

Rudi kwenye hilo bandiko ubofye hicho kiunganishi nilichokiambatanisha, usome na kuelewa.

kama wameandika Beckam tu wanaweza wasimlipe lakini ingekuwa David Beckham lazima wangemlipa,

Usilazimishe mambo. Kwani yeye hawezi kuwapa wao rukhsa ya kulitumia jina lake lote bila fidia yoyote?

hilo ni moja, pili nioneshe iyo picha ambayo David Beckham kapiga na hao maafisa wa Coca cola akikabiziwa hilo kopo then ndo urudi hapa useme sio sawa kulipwa.

Jifunze kwanza kusoma na kuelewa ndo urudi hapa na hili ombi lako.
 
Ona ulivyo lijinga hadi hata kusoma na kuelewa hujui! Kwanza ushaambiwa Manchester United class of '92 walipata chupa zao. Unajua hata Manchester United class of '92 ni nini?

Halafu eti "David Beckham ni bland" LMAO......unajua maana ya bland wewe?

Rudi kwenye hilo bandiko ubofye hicho kiunganishi nilichokiambatanisha, usome na kuelewa.



Usilazimishe mambo. Kwani yeye hawezi kuwapa wao rukhsa ya kulitumia jina lake lote bila fidia yoyote?



Jifunze kwanza kusoma na kuelewa ndo urudi hapa na hili ombi lako.

Sijawahi fikiria kama ipo siku naweza kukuvunjia heshima mkuu, nashukuru anyways.
 
Sijawahi fikiria kama ipo siku naweza kukuvunjia heshima mkuu, nashukuru anyways.

Yaan mie hili jamaa nimelishangaa sana kwa hili eti kwa kuwa marekani maceleb hawakulipwa basi na akna kajala ndo wasidai chao duh nimechoka sana kwa madai hayo. Pia eti kwa kuwa coke ina miaka 128 haihitaji kujitangaza ni akili hyo au ndo utumwa kwa wazungu umefikia hapo. Mkuu jaribu kuwa wa kwanza kujikomboa usiige sio kwa kuwa mzungu amekubali kuchapiwa mke wake basi na wewe umgawe wa kwako
 
Msando yupo sawa. Ila Le Mutuz anaona sifa kufahamika wakati mfukoni hana hela. Bichwa kubwa akili ndogo kama ya kuku.

Huyi anafahamika fb 2 kwao dodoma hata hawamjui,istoshe hela hana anaishi kwa upambe tu toka lini kiblog kikakupa hela wa2 kibao wana blog na hawana kitu zaidi y umaarufu mbuzii
 
Kwakweli me mwenye hadi sasa siamini kama Coca-cola hawawalipi lakini lakini Msando anaonesha hawalipwi zaidi ya umaarufu tuu! Hakika katika hili ndio tutapima uwezo wa wasanii wetu!

Umaarufu mbuzi tu toka lini blog ikakupa hela huyo jamaa kila siku anasign mikataba lakini maisha hayaendi mbele,labda upande kwa davis ndio unamsaidia kidogo kuishii
 
Hivi unajua hiyo kampeni ya Share a Coke ilipoanzia?

Mara yako ya kwanza kuisikia ilikuwa lini?

Pengine inaweza kuwa mara yangu ya kwanza kuisikia na hii haindoi ukweli kuwa huu utaratibu unao tumiwa na Coca-cola kwa kusema ni zawadi ili wasiwalipe wahusika ni unyonyaji na ni wizi kama wiziwingine! Kuna sehemu umenichekesha unasema Coca-cola haihiitaji nguvu ya watu fulani ili kuongeza mauzo maana imekuwepo toka siku nyingi !

Naomba nikuulize kama unasema inajitosheleza kwanini kila leo wanafanya matangazo na kila leo tunayaona kwenye media?

Ukweli ni kwamba hata kama hii campaign ilianzia ulaya na marekani na watu wamekuwa hawalipwi lazima watu watambue Coca-cola wanacho fanya ni kuwadanganya watu huku wao wanaongeza sales...kimsingi kuna watu wataanza kununua soda hizo kwaajili ya majina fulani na hii itawapatia faida Coca-cola!

Hata kama jambo hili halikuanzia hapa si lazima wasanii wetu wakubali jambo hili huku kampuni ya coca ikiingiza faida na wao hawapati kitu!

Coca-cola wametumia pesa kuweka hayo majina kwenye makopo na huku wana promote hiyo campaign kwenye media ..unategemea wasiingize pesa kwenye hili? Kuna wapenzi wa Diamond watanunua soda hizo kwa wingi na Coca-cola wataongeza mauzo maradufu!
 
Haya hata huko Naija kina Iyanya and co. nao wanazo chupa zao.

[h=1]Entertainment: Iyanya, Kemi Adetiba get customised Coke bottles[/h]
Iyanya, and Kemi Adetiba are the latest pair to
receive personalised Coke bottles. Photo: Instagram
Pop star, Iyanya and and music video director, Kemi
Adetiba are the latest pair to receive personalised
bottles of Coke in the brand’s ongoing campaign,
‘Share a Coke’.
The two excitedly showed off their personalised
bottles on Wednesday, December 24, 2014 as they
join the likes of Nollywood actress, Funke Akindele;
Sasha P and Yaw of Wazobia FM in the campaign
which allows fans nationwide to personalise their
drinks with their name or the name of a friend.

unnamed4-600x309.png
[/QUOTE
Teh Teh Teh
Kwa hiyo wasanii wetu wakubali kutumiwa kuingizia Coca-cola pesa kwa kuwa wa Nigeria walikubali? Huu utaratibu sio zawadi bali ni unyonyaji wa kutumia ujinga wa watu wanao penda umaarufu wa bure!
 
Kama Bongo kuna macelebrity ambao wanajiona ni babkubwa zaidi basi wasikubali their brand names kuwekwa kwenye makopo ya soda ambayo tofauti na chupa za bia yataishia kwenye majalala.

Ila kwa wale wasanii wanaoibukia au wale ambao hawapewi airtime ya kutosha wanaweza kupata publicity kupitia Share a Coke.

Kimsingi hao macelebritry waelimishwe tuu faida na hasara za kushiriki kwa kutumia their brand names.

Wasikatazwe wala wasisutwe kushiriki, bali wapewe impartial and unbiased advice and information wenyewe ndo waamue.

Kama wapo ambao pamoja kushauriwa wanashindwa kufanya maamuzi based on the advice and info given na PR kuamua ku-step in their shoes, then s/he must act for the best interests of that particular artist na siyo wote kwa ujumla as their interests may vary.

BTW hivi macelebrate wetu wana public relation managers?


Asante sana kwa mchango wako mkuu! Tunaongea lugha moja kabisa maana kimsingi kwa Wasanii wenye majina wanaifadisha Coca-cola na mauzo yao yataongezeka kabisa maana hata hao Coca-cola wamelipia pesa hiyo promotio kwenye media na wametengeneza matangazo kwaajili ya hiyo campaign hivyo lazima warudishe pesa na faida juu!

Na huu utaratibu wasanii wetu wasiiukubali hata kama ulisha fanyika huko ulaya!
 
Sasa sikilizeni nyie watu, mimi nawapa taarifa za moja kwa moja kutoka global headquarters za Coca-Cola, Atlanta, GA.

Hii 'Share a Coke' campaign ilianzia Australia mwaka 2011 ambapo walianza kuweka majina yaliyo maarufu (popular) kwenye chupa na makopo ya Coke, Diet Coke na Zero.

Marekani hiyo campain ilianza summer ya mwaka jana, 2014.

Kwa mnaodai hao watu ambao majina yao yapo kwenye hayo makopo walipwe, sidhani kama mna hoja maana huko kwingine, hususan Marekani ambako hiyo soda inatengenezwa, hakuna aliyelipwa kisa eti jina lake lipo kwenye kopo la Coca-Cola.

Coca-Cola hawamuhitaji Aunty Ezekiel wala Wema Sepetu kujitangaza. They've been around for 128 years.

Sasa je, Tanzania hakuna majina ya watu wengine yaliyopo kwenye hayo makopo zaidi ya hao wasanii? Hakuna majina kama Bahati, Tumaini, Upendo, na mengineyo katika hayo makopo?



Americans can now get on a first-name basis with their bottle of Coca-Cola, Diet Coke and Coke Zero.

This summer, Coke is swapping out three of its iconic logos on 20-oz. bottles for the 250 most popular first names among American teens and Millennials. “Share a Coke”, which first launched in Australia in 2011 and has since rolled out in more than 50 countries, invites fans to find their names -- and the names of family members, friends, coworkers and people they’d like to know better -- on bottles of Coke, Diet Coke and Zero across the U.S.


“Summer is the perfect time to get together with others and share moments of happiness over an ice-cold Coke at barbecues, sporting events, family reunions, amusement park outings and other gatherings,” said Stuart Kronauge, senior vice president, sparkling brands, Coca-ColaNorth America. “Now, enjoying a Coke with your name on it and sharing the occasion with someone else makes these moments even more special.”


Shareable 1.25- and 2-liter bottles will sport group names like “Family” and “Friends”, and colloquial nicknames like “BFF,” “Star,” “Bestie,” “Legend,” “Grillmaster,” “Buddy” and “Wingman” will appear on 12-oz. cans. The terms will express each brand’s individual personality.


“Share a Coke” packaging will roll out nationwide in June and will remain on the shelves through August. The campaign will come to life online and via social media, too. Starting Thursday, fans can visit www.shareacoke.com to personalize virtual bottles and share them with friends via Facebook, tumblr, Twitter and Instagram.


By using the #ShareaCoke hashtag, consumers can share their stories and photos for the chance to be featured on interactive Coke billboards across the country. And anyone with the free Coca-Cola Freestyle mobile app can scan a QR code on the fountain dispenser’s touch screen and send a friend a coupon for a $1 off a 20-oz. Coke.


Kronauge said the campaign puts a modern, youthful twist on the brand’s 128-year legacy of bringing people together and making them feel special. “For teens and Millennials, personalization is not a fad, it’s a way of life,” she adds. “It’s about self-expression, individual storytelling and staying connected with friends. ‘Share a Coke’ taps into all of those passions.”

Initial response across social media has been strong, according to Jennifer Healan, group director, integrated marketing content and design, Coca-Cola North America.


“‘Share a Coke’ is designed to get people talking and sharing,” she said. “When teens see that the iconic Coca-Cola logo has been replaced by their name or their friends’ names, they can’t help but take a picture and post it online.”


Coke will amplify and curate the #ShareaCoke conversation via its social channels.


“We’ll not only be talking about the names on bottles, but also putting a great deal of focus on celebrating real moments of sharing and the stories behind them,” Healan adds. “We’ll highlight the best examples to encourage sharing among our fans and followers and inspire teens to recreate these sharing moments with their friends.”


Momentum is expected to build as more personalized packs reach the market and a multifaceted advertising campaign kicks off on July 1.


A 500-stop, cross-country “Share a Coke” tour featuring traveling kiosks will enable fans to customize a Coca-Cola mini can for themselves and a second can for someone special. The tour will satisfy fans who can’t find their names on store shelves.


Coca-Cola

Naomba nikuulize swali!
Kupitia hii campaign Coca-cola wanaingiza pesa au hawaingizi?
Yani turudie makosa ya wazungu kwa kuwa nao waliyafanya?

Wazungu hawako parfect kwa kila kitu katika hili Coca-cola wamewazidi akili na wamewatumia kuingiza pesa maana campaign hiyo inaongeza mauzo kwa Coca-cola!

Kama ilifanyika huko marekani bure huku kwetu tunawashauri wasanii wetu hasa wanye ushawishi kwenye jamii wasikubali kutumika bure kama hao wamarekani!

Hebu fikiri kopo lenye jina la Ali kiba au Diamond sales zake zitakuwaje?

Haya makosa yaliyo fanywa na wamarekani yasifanywe na wasanii wetu hapa nchini na nitaendele kuwashangaa.

"Bonge la staaa,bonge la njaa"-Fid q
 
Last edited by a moderator:
Le madebezzz hana jipya mana zaidi ya umaarufu uchwara tu na sifa z kijinga,yeye kila ki2 kwake anaingiza hela ila mfukoni hana ki2
 
Tatizo la msando anataka kuwachukulia wasanii au viceleb vya bongo vyote vijinga na kwa kiasi kikubwa kawawin wengi amesahau kama Le mutuz kuna mambo huwezi kulipeleka. ..ujue ukiwa mtoto wa town hata ukiwa boya kiasi gani huwezi kupelekeshwa na mtu wa mkoani. ..Le mutuz town moja,msando mkoa moja

Sina hata haja ya kusoma comment za wadau wengine nakuunga mkono.

Huyu mlugaluga kavamia mji kwa pupa sana anadhani hapa ni kule mikoani ambako lift za ghorofa zinafanyiwa uzinduzi.

Pamoja na uboya wote wa Le Mutuz huyu Msando ni mshamba fulani tu hana lolote, hivi hapa mjini huyu Msando ataongea nini mbele ya Baharia kitambo?

Wameshazoea pesa za ufisadi wa mifuko ya jamii anaona watu wote mazuzu jinga kabisa huyu.

Ni mpumbavu peke yake asiyejuwa mchango wa ufadhili wa Coca cola Tanzania, huyu kwa sababu ni pimbi fulani tu hajui faida tulizopata kwenye Copa Coa cola.
 
Naomba nikuulize swali!
Kupitia hii campaign Coca-cola wanaingiza pesa au hawaingizi?
Yani turudie makosa ya wazungu kwa kuwa nao waliyafanya?

Wazungu hawako parfect kwa kila kitu katika hili Coca-cola wamewazidi akili na wamewatumia kuingiza pesa maana campaign hiyo inaongeza mauzo kwa Coca-cola!

Kama ilifanyika huko marekani bure huku kwetu tunawashauri wasanii wetu hasa wanye ushawishi kwenye jamii wasikubali kutumika bure kama hao wamarekani!

Hebu fikiri kopo lenye jina la Ali kiba au Diamond sales zake zitakuwaje?

Haya makosa yaliyo fanywa na wamarekani yasifanywe na wasanii wetu hapa nchini na nitaendele kuwashangaa.

"Bonge la staaa,bonge la njaa"-Fid q

Nimewahi kusikia humu jamvini wewe ni Mwanasheria mimi sikujui, je unaweza kunijibu kiufasaha ni kwa nini kesi yenye attention za media mawakili ufikia hata kujitolea kumtetea bure mtuhumiwa?

Mfano kesi ya Lulu.

Nijibu ili swali nikwambie kitu kwa nini wasanii hawa hawa mnaodhani wananyonywa wanatoa rushwa kwa Madj nyimbo zao zipigwe na wale wa bongo movie wanatoa uroda kama hawana akili nzuri ili mradi tu apangwe kwenye script ya kuuza sura?
 
Nimewahi kusikia humu jamvini wewe ni Mwanasheria mimi sikujui, je unaweza kunijibu kiufasaha ni kwa nini kesi yenye attention za media mawakili ufikia hata kujitolea kumtetea bure mtuhumiwa?

Mfano kesi ya Lulu.

Nijibu ili swali nikwambie kitu kwa nini wasanii hawa hawa mnaodhani wananyonywa wanatoa rushwa kwa Madj nyimbo zao zipigwe na wale wa bongo movie wanatoa uroda kama hawana akili nzuri ili mradi tu apangwe kwenye script ya kuuza sura?

Wengine hujitolea ili wajulikane ili baadae wapate case nyingine na wapate hela! Hapo kwenye case ya Lulu sijui kama Marando amejitolea bure!

Turudi kwenye mada wewe unaona hili ni sahihi? Una unga mkono Alikiba kukubali jina lake litumike kuwanufaisha Coca-cola!

Katika hili la Coca-cola linawafaa wasanii wachanga!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom