Lebanon yaishutumu Iran kwa kuingilia masuala yake ya ndani

Lebanon yaishutumu Iran kwa kuingilia masuala yake ya ndani

Bravo AI

Senior Member
Joined
Jan 13, 2023
Posts
133
Reaction score
281

Lebanon yaishutumu Iran kwa kuingilia masuala yake ya ndani​

xx

Chanzo cha picha, Reuters

Waziri Mkuu wa Lebanon Najib Mikati ameelezea kughadhabishwa kwake na kauli iliyotolewa na spika wa bunge la Iran juu ya mustakabali wa kusini mwa Lebanon.

Spika wa Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amejitolea kufanya mazungumzo na Ufaransa kuhusu azimio nambari 1701 la Umoja wa Mataifa, ambalo lilimaliza mzozo mkubwa wa mwisho kati ya Israel na Hezbollah mwaka 2006 na kuupa Umoja wa Mataifa mamlaka ya kulisaidia jeshi la Lebanon kudumisha amani.

Mikati alielezea kauli ya Iran kama "uingiliaji wa wazi katika masuala ya Lebanon na jaribio la kuanzisha ulezi usiokubalika dhidi ya Lebanon".

Hezbollah inachukuliwa kuwa wakala wa Iran - ambayo hutoa ufadhili wake mwingi na silaha - na kwa kambi yake kubwa ya wabunge bungeni, ina ushawishi mkubwa kwa serikali ya Lebanon.

Qalibaf alikuwa Lebanon wikendi iliyopita tu, alipokutana na waziri mkuu.

Mikati anasema ameomba baraza la mawaziri la Iran kutoa ufafanuzi kuhusiana na taarifa hiyo - akiongeza kwamba mazungumzo yoyote kuhusu Azimio nambari 1701 yanapaswa kufanywa na serikali ya Lebanon.
 

Lebanon yaishutumu Iran kwa kuingilia masuala yake ya ndani​

xx

Chanzo cha picha, Reuters

Waziri Mkuu wa Lebanon Najib Mikati ameelezea kughadhabishwa kwake na kauli iliyotolewa na spika wa bunge la Iran juu ya mustakabali wa kusini mwa Lebanon.

Spika wa Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amejitolea kufanya mazungumzo na Ufaransa kuhusu azimio nambari 1701 la Umoja wa Mataifa, ambalo lilimaliza mzozo mkubwa wa mwisho kati ya Israel na Hezbollah mwaka 2006 na kuupa Umoja wa Mataifa mamlaka ya kulisaidia jeshi la Lebanon kudumisha amani.

Mikati alielezea kauli ya Iran kama "uingiliaji wa wazi katika masuala ya Lebanon na jaribio la kuanzisha ulezi usiokubalika dhidi ya Lebanon".

Hezbollah inachukuliwa kuwa wakala wa Iran - ambayo hutoa ufadhili wake mwingi na silaha - na kwa kambi yake kubwa ya wabunge bungeni, ina ushawishi mkubwa kwa serikali ya Lebanon.

Qalibaf alikuwa Lebanon wikendi iliyopita tu, alipokutana na waziri mkuu.

Mikati anasema ameomba baraza la mawaziri la Iran kutoa ufafanuzi kuhusiana na taarifa hiyo - akiongeza kwamba mazungumzo yoyote kuhusu Azimio nambari 1701 yanapaswa kufanywa na serikali ya Lebanon.
Basi lileeleweka. ndo maana viongozi wa Hezbollah wanauawa kama kuku. Kumbe usaliti upo ndani ya lebaanoni. Inaonesha Hezbolah haipendwi Lebanon.
 
Iran haki wanaitoa wapi kama Lebanon hajaridhia?
Nani anaye kuambia kule South Lebanon yote ni mashia na North ni Sunni na Wakristo. Hao mashia walisha wambia nyie bakini North na sisi tubaki South au taigawe Lebanon, US akaona moto sababu hata kuwa na faida tena.

Kwani US, Europe na Saud Arabia wakingilia hakuna Shia wanao lalamika? Hio ni pressure ya US na Europe wanaitumia bada ya kuona Israel hawezi ingiza boots zake Lebanon, akabaki hata nusu siku 😄
 
Nimeiona hii habari nikawaza huenda "demokrasia" ya magharibi inarejea rasmi Lebanon, wafia dini hawana chao tena.
Wambie waote Hezbullah itabaki na wakijifanya ujuaji kumsikiliza US Lebanon itagawanyika nusu kule South Mashia na hicho kitu Israel hataki wala US sababu hawawezi kuwatumia wanafiki wao kina Saad Al Harir ambaye ni Sunni na Samir Jaajah na Samie Gamil ambao ni wakristo.
 

Lebanon yaishutumu Iran kwa kuingilia masuala yake ya ndani​

xx

Chanzo cha picha, Reuters

Waziri Mkuu wa Lebanon Najib Mikati ameelezea kughadhabishwa kwake na kauli iliyotolewa na spika wa bunge la Iran juu ya mustakabali wa kusini mwa Lebanon.

Spika wa Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amejitolea kufanya mazungumzo na Ufaransa kuhusu azimio nambari 1701 la Umoja wa Mataifa, ambalo lilimaliza mzozo mkubwa wa mwisho kati ya Israel na Hezbollah mwaka 2006 na kuupa Umoja wa Mataifa mamlaka ya kulisaidia jeshi la Lebanon kudumisha amani.

Mikati alielezea kauli ya Iran kama "uingiliaji wa wazi katika masuala ya Lebanon na jaribio la kuanzisha ulezi usiokubalika dhidi ya Lebanon".

Hezbollah inachukuliwa kuwa wakala wa Iran - ambayo hutoa ufadhili wake mwingi na silaha - na kwa kambi yake kubwa ya wabunge bungeni, ina ushawishi mkubwa kwa serikali ya Lebanon.

Qalibaf alikuwa Lebanon wikendi iliyopita tu, alipokutana na waziri mkuu.

Mikati anasema ameomba baraza la mawaziri la Iran kutoa ufafanuzi kuhusiana na taarifa hiyo - akiongeza kwamba mazungumzo yoyote kuhusu Azimio nambari 1701 yanapaswa kufanywa na serikali ya Lebanon.
Mamayeezaoo mdogomdogoo watasemayoteee
 
Nani anaye kuambia kule South Lebanon yote ni mashia na North ni Sunni na Wakristo. Hao mashia walisha wambia nyie bakini North na sisi tubaki South au taigawe Lebanon, US akaona moto sababu hata kuwa na faida tena.

Kwani US, Europe na Saud Arabia wakingilia hakuna Shia wanao lalamika? Hio ni pressure ya US na Europe wanaitumia bada ya kuona Israel hawezi ingiza boots zake Lebanon, akabaki hata nusu siku 😄
Mkuu, unaona ulichoandika kinaendana na swali langu au na thread?
 
Mkuu, unaona ulichoandika kinaendana na swali langu au na thread?
Nilicho kujibu ni sawa sababu hata Hezbullah wako kwenye serekali, wanapinga siasa za Saud Arabia. Europe na America kuingilia siasa za ndani za Lebanon. We kama hujui hayo basi huna akili serekali ya Lebanon imegawanyika katika sehemu tatu Wakristo, Sunni na Shia hawa ni Waislam. Kama hujui hayo basi wachana na siasa ya nchi usio ijua.
 
Back
Top Bottom