Lecturers wanatumalizia dada na wadogo zetu


Ndio hapo utakapogundua kwamba pengine tatizo sio sisi wanaume, ndio maana nikasema tatizo tunalijua ila tunalizunguka!

Mimi nilichogundua, hawa wenzetu wanawake wana shida na mara zote wanapenda ku play victims hata pale ambapo wao ndio tatizo.

Mfano hapa utawaona wakilalamika ooh malekchara wanawatafuna.. ooh wanalazimishwa. Haya, tuseme ni kweli kwamba malekchara wanawalazimisha kwavile wao ndio wameshika rungu.

Je mitaani huku ambako wanawake wanagawa uroda kama njugu, nako ni nani anawalazimisha? Wake za watu wanatafunwa kila upande na madereva bodaboda, waosha miguu, wauza urembo, mashamba boy, walinzi nk je hao hua wanawalazimisha? Wamama watu wazima kabisa wanatafunwa mbayaa na vijana wadogo, nao wanalazimishwa? Maofisini huko wadada wanaliwa na co-workers (wala sio mabosi), kwenye nyumba za kupanga wadada wanatafunwa na wapangaji wenzao, nao wanawalazimisha? Makanisani huko wadada wanaliwa na wachungaji, waumini wenzao, nk je nao wanawalazimisha?

Kiufupi tuseme tu wanawake wenyewe wa sasa wanapenda sana kuliwa hakuna cha lekchara wala nani. Sema wenyewe kutwa kutafuta visingizio oooh tunalazimishwa, oooh tunatekiwa advanteji..

NONESENSE!
 
Hii ishu mna exagerate sanaaa jaman...kwahyo kama masomo yapo 9 semista zote mdada anakua anagawa kwa walimu wote tofaut tisa ili afaulu masomo yote apate gpa nzur?....maana huwez tengeneza gpa kwa somo moja au mawil...

Hii ishu uongo umekua mwing sana na kubun bun vitu
 
Mi siamin hilo...kwan gpa inatengenezwa na somo moja au mawil?...inamana kama kuna masomo 9 mtoto wa watu kafaulu..inamana yote analala na hao wazee?duh bas ni hatar....maana huwez tengeneza gpa na somo 1 au mawil. Inamuhitaj mtoto wa kike alale na walimu wote wa masomo 9 ili kufaulu vzur semista zote ili apate hyo gpa...

Naamin..ukwel ni mdogo sana kwenye hii ishu.
 
Naomba utuwekee picha ya hao wasichana na walimu wao ili kuipa uzito hii shutuma.
 
Nlisoma chuo na dada mmoja kilaza hasaa hutoka Zenji (shombe flani) Kila semester ana-SUP za kutosha nikashangaa kwenye Graduationa ye ni moja ya wanafunzi Bora, Darasa lima tulipigwa na Butwaa
 
Umemaliza kila kitu na ulikuwa na mawazo kama mimi.
 
Njaa na tamaa zao ndio zinawaponza amna cha course work wala nini?
 
I remember nikiwa chuo mabinti waliopelekewa moto wote ni wale wavivu watoro na wapenda bata.

Kwa mdada anayefaulu anafanya kila ktu kwa kujituma n vigumu munoooo kuliwaa na lecturer. Wengne wenyew kwa kuogopa sap na disco vumbi.. hujipeleka machinjion...
 
Watu wanadhani tatizo lipo kwa ma-lecturer la hasha! hawa mabinti wa sasa ni matatizo. Marafiki zangu ambao ni wahadhiri wanakutana na mitego mingi mnoo kutoka kwa hawa mabinti.

Ngoja niishie hapa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Lets proof ata kwa picha
 
Paragraph ya pili ni ukweli mtupu.
 

Siku hizi kuna mpaka Wabunge, Ma DC, RC, DAS na wakurugenzi Wa Chupi..
 
Na kwa kumkumbusha tu, kichwa chenye degree, masters na PhD ni hiki cha juu, hicho cha chini hakijaenda hata chekechea kwahiyo usitegemee kifanye maamuzi yoyote ya maana pindi kinaposhika hatamu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
tunawasaidiaje????.......tukiwa ndio wazazi wao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…