Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Ungeliwa weye ingependeza sana na upate mimba.Unajibu kwa urahisi na kitoto tu.Unajua maumivu ya kulea mabinti weye!Kengelubete kabisa.Waachwe wasome halafu waolewe kihalali.Acha wivu...sa unataka wamle nani
Kawaida tu,watu wanakulana vyuoni,makazini,makanisani,kitaa,so hakuna Cha upekee watu wakilana vyuoni,asipoliwa chuoni,ataliwa kazini,au wakati wa kutafuta ajira,au ataliwa kitaa wakati anataka kupunguziwa mzigo wa majukumu,pesa ya Kodi,gesi,saloon,Dada zetu huko vyuoni wanatumika kama Toilet paper Kisa kupata Coursework na Alama za Juu kwenye mitihani yao Sasa hivi ndo imeshamiri aswaaa Rushwa ya Ngono vyuoni Dada zetu na Wadogo zetu wanaangamia kwa kukosa Maarifa this is very sad Unakuta Lecturer anatembea na wanafunzi zaidi ya Kumi Kwa hali hii Ukimwi utapungua kweli kwenye Vyuo
Wazazi waombeeni Binti zenu nyie ndo mtakao kuja kuteseka nao baadae
HALI NI MBAYA SANAA [emoji21]
What’s wrong with Girls of this Generation Asee Wanapenda slope sana
Lecturer adden anaomba uthibitisho mkuu.Dada zetu huko vyuoni wanatumika kama Toilet paper Kisa kupata Coursework na Alama za Juu kwenye mitihani yao Sasa hivi ndo imeshamiri aswaaa Rushwa ya Ngono vyuoni Dada zetu na Wadogo zetu wanaangamia kwa kukosa Maarifa this is very sad Unakuta Lecturer anatembea na wanafunzi zaidi ya Kumi Kwa hali hii Ukimwi utapungua kweli kwenye Vyuo
Wazazi waombeeni Binti zenu nyie ndo mtakao kuja kuteseka nao baadae
HALI NI MBAYA SANAA [emoji21]
What’s wrong with Girls of this Generation Asee Wanapenda slope sana
Dah yani hi kitu imeshamiri haswa na inatia hasira sanaYaani maofisini ndiyo majanga! hawajui kitu! Hata huko Kazi ni hiyo2 kwenda Na maboss wao. Wakati wote ni ruhusa naumwa Mimi/mtoto/sijisikii kufanya Kazi/tumbo la chini linaniuma/naenda kupima chango sijui linataka mtoto nk. Ndiyo maana weupe hawatakagi kabisa kuajiri Hawa jamaa! Halafu wanawaelekeza kuajiri 50/50! Only in Africa.
Sasa we umepata mimba. ? Kuna vitu naturally ni vigumu kuvizuia we Ashaboko...yani uzuie ma lacture wasile wanafunz wao ambao nao ni watu wazima...!?? Imbicile little toad wweUngeliwa weye ingependeza sana na upate mimba.Unajibu kwa urahisi na kitoto tu.Unajua maumivu ya kulea mabinti weye!Kengelubete kabisa.Waachwe wasome halafu waolewe kihalali.
Sidhani kama shida ni kubwa kiasi hicho. Wengi husemwa kwa hisia tu. Na pia inategemea course na course. Tatizo linaweza kuwepo zaidi kwa courses ambazo si pure science.Dada zetu huko vyuoni wanatumika kama Toilet paper Kisa kupata Coursework na Alama za Juu kwenye mitihani yao Sasa hivi ndo imeshamiri aswaaa Rushwa ya Ngono vyuoni Dada zetu na Wadogo zetu wanaangamia kwa kukosa Maarifa this is very sad.
Unakuta Lecturer anatembea na wanafunzi zaidi ya Kumi Kwa hali hii Ukimwi utapungua kweli kwenye Vyuo Wazazi waombeeni Binti zenu nyie ndo mtakao kuja kuteseka nao baadae.
HALI NI MBAYA SANAA [emoji21]
What’s wrong with Girls of this Generation Asee Wanapenda slope sana
Andika kama una ukoma hivyohivyo itakusaidia.Sasa we umepata mimba. ? Kuna vitu naturally ni vigumu kuvizuia we Ashaboko...yani uzuie ma lacture wasile wanafunz wao ambao nao ni watu wazima...!?? Imbicile little toad wwe
Wamekamatwa wengi... NIT, ATC, UDSM... Mtafute Madam mmoja pale Udsm anaitwa Shule ni alikuwa ana pambana na hili janga pale udsm nazani mpaka sasa, kama jamii Inge muunga mkono basi angalau kitu kikubwa kinge tokeawalimu ndio shida! angekamatwa mmoja afanywe mfano
Aione:-Kasheku MsukumaHizi degree za chupi zinatusumbua sana huku maofisini kazi zenyewe hawawezi. Kutwa majungu na masafari tu ruhusa mwanzo mwisho matatizo ya kifamilia.
Lecture gani uyoDada zetu huko vyuoni wanatumika kama Toilet paper Kisa kupata Coursework na Alama za Juu kwenye mitihani yao Sasa hivi ndo imeshamiri aswaaa Rushwa ya Ngono vyuoni Dada zetu na Wadogo zetu wanaangamia kwa kukosa Maarifa this is very sad.
Unakuta Lecturer anatembea na wanafunzi zaidi ya Kumi Kwa hali hii Ukimwi utapungua kweli kwenye Vyuo Wazazi waombeeni Binti zenu nyie ndo mtakao kuja kuteseka nao baadae.
HALI NI MBAYA SANAA [emoji21]
What’s wrong with Girls of this Generation Asee Wanapenda slope sana
Watu wa uzi wa kula kimasiharaTulia mkuu hii speed uliyotumia nadhani umetumia typewriter, hawa watu wakishaota nyonyo hawasikii ukipata fursa na wewe tembeza rungu.
To be honest tunahitajika kuzungumza mno na hawa wasichana huko chuoni
Wanajirahisi kupita kiasi
Malecturer nao ni wanaume mashababi kuruka mitego ya hao wabinti ni Neema za Mungu
Yaani nawahurumia hao watakaotarajia kuoa hichi kizazi kilichopo chuo kwa sasa
Wanatumika mno jamani
Madame Iron Lady ShuleWamekamatwa wengi... NIT, ATC, UDSM... Mtafute Madam mmoja pale Udsm anaitwa Shule ni alikuwa ana pambana na hili janga pale udsm nazani mpaka sasa, kama jamii Inge muunga mkono basi angalau kitu kikubwa kinge tokea
Na hata ninyi maofisini ni kuwavua wake na dada zetu chupi kutwa na wakati mwingine humo humo ofisiniHizi degree za chupi zinatusumbua sana huku maofisini kazi zenyewe hawawezi. Kutwa majungu na masafari tu ruhusa mwanzo mwisho matatizo ya kifamilia.
Darasa La Nne Ndiyo Wanachukua Nafasi Kuolewa Baadaye Darasa La SabaTo be honest tunahitajika kuzungumza mno na hawa wasichana huko chuoni
Wanajirahisi kupita kiasi
Malecturer nao ni wanaume mashababi kuruka mitego ya hao wabinti ni Neema za Mungu
Yaani nawahurumia hao watakaotarajia kuoa hichi kizazi kilichopo chuo kwa sasa
Wanatumika mno jamani
Na hii ndio sababu unakuta binti ako na hata masters lakini hata kuongea, kuandika na kusoma english shida tupu, kuna shida kubwa sana, na ndio unaona most graduates are just idle, are not creative, neither are they innovitive, na wanakaa tu mutaani , hawajui mbele wala nyuma, mimi as an employer i do and research very very well when hiring a lady graduate, all in all, ni kubaya