Naunga mkono hoja...Dada zetu huko vyuoni wanatumika kama Toilet paper Kisa kupata Coursework na Alama za Juu kwenye mitihani yao Sasa hivi ndo imeshamiri aswaaa Rushwa ya Ngono vyuoni Dada zetu na Wadogo zetu wanaangamia kwa kukosa Maarifa this is very sad.
Unakuta Lecturer anatembea na wanafunzi zaidi ya Kumi Kwa hali hii Ukimwi utapungua kweli kwenye Vyuo Wazazi waombeeni Binti zenu nyie ndo mtakao kuja kuteseka nao baadae.
HALI NI MBAYA SANAA [emoji21]
What’s wrong with Girls of this Generation Asee Wanapenda slope sana
Bila shaka uko njwiii [emoji16][emoji16][emoji16]ASILIMIA 85 WANAUME WALIO KWA NDOA WAKEZAO WANASOMA WANAGONGA SANA NKE NA HII KUJUA WAKEZAO WANATAMBALIWA KAMA UMEME NISIONGEESANA
KUNA PRIF ALIKUWA UNGENISHTUA NI ENZIHIZO.PALE UDSM.ALIPOANZA KUPOTEZA NETWL.AKIMYWA PALE SISIMIZI.BAR DOWN DARAJAN ANAPIGIA MIZIGO KAMA.MIMME.NDAN YA SEK ANAAKWAMBIA HIO.INAISHA DEMUA.AKUJA ANAPEWA KAWINE ANACHOKA NAE ANARUDI PEKEYAKE ANAITA MWINGINE AISEE SIJUI ALIKUWA ANATUMIA VIAGRA POWE R PLUS
NIKAWA NAMUWAZIA SANA MWISHO AKAKAITA KADEMU CHA JAMAA YAMGU KABISA HALL MOJA KAKAPEWA KINYWAJI AKAOMBA NIONDOKE NAE TUKAENDA PALE NYUMA.MEEDA KUNA KALODGE KANA WAUMINI SANA USIKU WA BK TANO NK
NKASHUKA KAKAINGIZWA NDAN DAH......AMETOKA DEMU AKANIPIGIA AKAJA AKANIOMBA RADHI ACHEMI TU NKAMWAMBIA KAMA.ALIVAA NDOM YOTE MAISH
SHIDA MZEE NDOM AINYANYUKI NIKAMPA.MOYO.....
KAMCHEZO.KASIKUYINGI SANA
RIP PROF
CH.......SASA N MAREHEMU
POLENI MAREHEMU WATARAJIWA
Huyu anajitapa tu kwa maelezo yake yalivyo kuongea kingereza not an issue yaani not a big deal.Niajiri basi Boss,
Aiseee kweli dada kumbe ndiyo walivyo.Yaani mtu anakufata sister nitafutie miso
Unamuuliza ya nini anakwambia imenasa [emoji28]
Yaani wanaume nawahurumia na hii generation mpo,
Wanatumia p2 kama panadol, badae wataanza kutafutana uchawi
Utakuwa professor wewelete proof
Serikali ndo inalea uchafu huu. Ingeweza kuweka vijana wake kufuatilia kwa siri, akibainika anafukuzwa tu kazi na kutangazwa wazi.Yaan hapa sijui utumike mfumo gan kuwanusuru mabint na hawa maharamia kwakweli.
Lectures ndo nyie Kaka zetu. What is wrong with you guys of this generation?Dada zetu huko vyuoni wanatumika kama Toilet paper kisa kupata Coursework na Alama za Juu kwenye mitihani yao. Sasa hivi ndo imeshamiri haswaaa Rushwa ya Ngono vyuoni Dada zetu na Wadogo zetu wanaangamia kwa kukosa Maarifa this is very sad.
Unakuta Lecturer anatembea na wanafunzi zaidi ya Kumi kwa hali hii Ukimwi utapungua kweli kwenye Vyuo
Wazazi waombeeni Binti zenu nyie ndo mtakaokuja kuteseka nao baadaye.
HALI NI MBAYA SANAA [emoji21]
What’s wrong with Girls of this Generation Asee Wanapenda slope sana
😅😅😅 Tatizo hawa wanachuo wanajiweka wenyewe sokoni hivo malecturer nao hawana la kupangua, toto kama toto ukiitizama unasema imeshushwa yaani ni chiksi moja imepoa.
Alafu sasa mtoa mada umebase na sababu moja tu eti maksi za course work.
Ungejua walimu wa vyuo wala hawana haja ya kumpata demu kwa ajili ya coursework, sasa hivi sababu ni njaa na tamaa zao.
Labda toto ikiona mwalimu wake yuko smart anatembelea Crown au Premio new model, toto linakuja ofisini kila saa excuses kibao huku mitego kibao😅😅 nguo nyepesi kabinua tako moja mstari wa chupi ule au kapandisha kaskin chake mstari wa qumaa ule 😋 afu oooh mwalimu when is your birthday nikuletee zawadi sasa hapo lecturer anatongozwa kwa nini kama ni mwanaume asito....
Acha wapigwe pumb mpaka waugue ngwengwe kama ipo 😂😂 siku hizi watoto wakike hawakamatiki hapa mjini yaani wapo kimaslahi zaidi. Yaani usije ukaumiza kichwa kudeal na mtoto wakike. Shuleni olaah, nyumbani olaah yaani hadi cousin anakula hawaaminiki.
Umetoa wazo zuri sana.Suluhu ni mitihani na coursework na usahihishaji itoke nje ya chuo husika. Either chuo kingine au bodi maalum ya taifa ya mitiani vyuoni. Vyuo viwe vinafundisha tu na kutoa majaribio. Hapo lactures watakuwa hawana kisu cha kumtishia mwanafunzi.
Wazo lako ni zuri.Hayo ndo madhara ya kuacha watoto wa kike wafike vyuoni, mtoto Kike akimaliza 4m4 ni aolewe tu
wanaume wote tunavyo[emoji16][emoji16]Kwani kuna watu wana vichwa viwili? Hahaaa!
Ambalo kiuhalisia halitekelezeki. Vyuo hua viko specialized kwenye maeneo maalumu, vyuo sio kama sekondari kwamba masomo hayohayo yanafundishwa nchi nzima. Mfano mitihani ya SUA utapeleka chuo gani ikasaishwe?Umetoa wazo zuri sana.
Toa wazo lako,kufanyike kitu gani.Ambalo kiuhalisia halitekelezeki. Vyuo hua viko specialized kwenye maeneo maalumu, vyuo sio kama sekondari kwamba masomo hayohayo yanafundishwa nchi nzima. Mfano mitihani ya SUA utapeleka chuo gani ikasaishwe?
Tatizo sio malekchara jamani, mbona tunakwepa tatizo tunazungukazunguka tuu??[emoji38][emoji38]
Na kwa kumkumbusha tu, kichwa chenye degree, masters na PhD ni hiki cha juu, hicho cha chini hakijaenda hata chekechea kwahiyo usitegemee kifanye maamuzi yoyote ya maana pindi kinaposhika hatamu. 🤣🤣🤣🤣
Toa wazo lako,kufanyike kitu gani.
Sawa.Hilo pia ni wazo,kwa kupinga.Mimi sina wazo, nipo hapa kupinga.
haswaaaaaaaa.Na kwa kumkumbusha tu, kichwa chenye degree, masters na PhD ni hiki cha juu, hicho cha chini hakijaenda hata chekechea kwahiyo usitegemee kifanye maamuzi yoyote ya maana pindi kinaposhika hatamu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]