Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mbona umemuacha Dj Jerry kotto aliyemfundisha kazi kalikali ? Au kwa vile aliwahi kupiga Mbowe club ?Ubaguzi hata kwenye burudani ?Ma-DJ wakali kabisa wa enzi hizo walikua pamoja katika show Club Africana. DJ Meb, Neagre Jay, DJ Choggy Sly (RiP) , DJ John Peter Pantalakis, mratibu wao Nassoro Born City (RiP), DJ Kalikali (RiP) na DJ Eddy Sally (RiP) ... Masiku yamepita.
Mtazamo wako na ulicho kiandika humu kimekuonyesha jinsi ulivyo.Luksa maana yake "holela". Kama ndicho hicho unamaanisha tuko wote. Lakini pia kwa nyongeza, wakati wa Mwinyi ndipo:-
1. Vita ya maguruwe ikiongozwa na ustaadhi Rashid sijui nani iliibuka na kuzimwa na ushupavu wa Augustin Mrema.
2. Nicho kipindi shule za Kikristo zilichomwa moto na kupoteza uhai wa watoto wengi wasiokuwa na hatia.
3. Hapo hapo ndipo tuliona urasmishaji wa makundi ya balukta, wenye surualil fupi.
4. Wakati ule ndipo makundi ya mujahidina yalifahamika rasmi.
5. Waraka wa Kigoma Malima ulioasisi ukakasi kwa elimu yetu.
6 Alimpa jina kubwa sana Mheshimiwa Mkapa baada ya yeye kuondoka kwa sababu alichokifaya kilibainisha tofauti ya tawala hizi mbili katika mambo mengi.
Naomba mwenye mazuri mengine tuendee kuchangia.
Mwinyi aliichukua nchi kutoka kwa Julius K Nyerere, nchi ambayo ilikuwa inayumba kiuchumi kutokana na kutoka kupigana vita ya kumng'oa Iddi Amin dadaa, unategemea hizo huduma mzuri na wananchi kupata chakula bora vingetoka wapi?
Mwinyi aliiporomosha nchi yeye alikuwa yupo bize kusafir kwenda arabuni kuoa huku nchi ikididimia kiuchumi
Hovyooooooooo sana uyu mzee wa ruksa kama sio mkapa kufunga mkanda Leo hi tungekuwa Sawa na Zimbabwe
Mkapa alitengeneza uchumi baada ya kuharibiwa na Mwinyi baadae mkwere akaja na kuanza kutumbua mpaka Sasa nch imeoza
Nasikitikia akili yako kujaa upepo,na unasema husicho kuwa na uelewa nacho masikini ya mungu,huo udini utakukondesha na kubaki kama SkeltonNani aliyekudanganya? Vita ile ya msalaba ilikwisha zamani sana na Tanzania haikuwa na gharama ya kifedha zaidi ya roho za Watanzania na Waganda waliouliwa. Gharama za vita zote zililipiwa na washirika wa msalaba.
Tanzania ilianza dhiki zake miaka 6 baada ya kukabidhiwa madaraka Nyerere, dhiki ilianzia Nyerere alipoanza kudhulumu mali na nafsi za watu alipotangaza azimio la Arusha.
Mwinyi kaikuta nchi hohehahe miaka zaidi ya kumi baada ya vita ya Uganda.
Nyie ndiyo wale hamkuwepo bali mmejazwa ujinga na mnaukubali bila kupepesa.
Enzi hizo ukienda Rungwe Oceanic Beach Resort ya Mzee Mwakitwange ulikuwa unakuitana na majina kama vile DJ Ngomely, DJ Pop Juice na wengine. Ukiosea jirani na hapo Rungwe, yaani Silver Sands, unakutana na kina John Peter Pantalakis, Choggy Sly na Kalikali ambaye baadaye alihamia YMCA.Ukienda Africana ulikuwa huangalii simba aliyekuwa anafugwa hapo.Mbona umemuacha Dj Jerry kotto aliyemfundisha kazi kalikali ? Au kwa vile aliwahi kupiga Mbowe club ?Ubaguzi hata kwenye burudani ?
Hawa wanajeshi walichoka na hiyo hali kina.
Hatibu Gandi au ‘Hatty Mac Ghee’, Kapteni Mohammed Tamim, Kapteni Mbogoro, Kapteni Christopher Kadege, Luteni Badru Rwechungura Kajaja na Kapteni Mapunda, Kapteni Rodrick Rosham.
Walitaka kumpindua Nyerere hali ilikuwa ngumu ya maisha.
Enzi ya Mwinyi akiwa na Omar Mahita ndio tulishuudia majambazi yakilelewa na Kuibuka majambazi Makubwa akina Alex Massawe e.t.c
Yaani mkuu huyo jamaa ni kiazi sijapata kuona afu kibaya kazaliwa miaka ya 90 na elimu kichwani sifuri anajifanya mjuaji mpaka anaboa.Mmawia
Nakushauri kwa nia nzuri kabisa ungekuwa msomaji kwenye huu uzi ungejifunza mengi vita vya Uganda vilipiganwa lini na kwa muda gani?
athari ya utandawazi ambao wengi wasingeujua kama si Mwinyi ni kuwa watu wabishani tu ili mradi waonekane tofauti kimtazamo hata kama hawana facts. Waswahili wanasema "Asiejua Maana usimwambie Maana". Na kama mchangiaji mmoja alivyosema wengi humu ni Product za after 90's wala usibishane nao.Alipokea kijiti cha uongozi wakati nchi ikiwa katika hali ngumu mno kiuchumi.
Sijui kama ulikuwepo kipindi hicho mkuu.
Kama ungekuwepo sijui kama ungeandika hayo uliandika labda kama unaleta ubishi na ushabiki sawa.
mkuu kula like tatizo humu wengine hawakuwai kupanga foleni kipindi cha unga wa njano na maharage mabovu unayapata kwa foleniathari ya utandawazi ambao wengi wasingeujua kama si Mwinyi ni kuwa watu wabishani tu ili mradi waonekane tofauti kimtazamo hata kama hawana facts. Waswahili wanasema "Asiejua Maana usimwambie Maana". Na kama mchangiaji mmoja alivyosema wengi humu ni Product za after 90's wala usibishane nao.
Arabuni ni pamoja ghuba ya uajemi, ukingo wa magharibi pmj na mashariki ya KatiArabuni ndiyo wapi? Na alimuoa nani?
Wengi wao ukiwaambia Mwinyi ama unga wa foleni wanarefer kwenye vitabu vya Historia kwahiyo kwao ni moja tu ya simulizi kama za sungura na fisi. Mbaya Zaidi ndio wengi walio humu ndani na ndio wachangiaji wakuu, inabidi tustahamili tu na kukubali kuwa uelewa wao ndio unaishia hapo.mkuu kula like tatizo humu wengine hawakuwai kupanga foleni kipindi cha unga wa njano na maharage mabovu unayapata kwa foleni
Nimekuelewa mkuu wangu, Mzee Ali Hassan Mwinyi alikuwa na kibarua kigumu cha kufufua uchumi uliokufa kabisa hili watu hawataki kukubali sijui kwa nini.athari ya utandawazi ambao wengi wasingeujua kama si Mwinyi ni kuwa watu wabishani tu ili mradi waonekane tofauti kimtazamo hata kama hawana facts. Waswahili wanasema "Asiejua Maana usimwambie Maana". Na kama mchangiaji mmoja alivyosema wengi humu ni Product za after 90's wala usibishane nao.
Ingekuwa China sijui wangempa hukumu gani maana huko nasikia wananyonga.Sasa naanza kuelewa kwa nini kina Hans Pope walitaka kumpindua Nyerere. Mzee alimess up mazima na uchumi wa nchi, na maisha yakawa magumu mno. Kwa hali ilivyokuwa alikuwa hana jinsi zaidi ya kung'atuka tu.
Ivi unafahamu Nyerere alianza kuungoza mwaka gani? Na vita ilikuwa mwaka gani?Mwinyi aliichukua nchi kutoka kwa Julius K Nyerere, nchi ambayo ilikuwa inayumba kiuchumi kutokana na kutoka kupigana vita ya kumng'oa Iddi Amin dadaa, unategemea hizo huduma mzuri na wananchi kupata chakula bora vingetoka wapi?