Mtazamo wako na ulicho kiandika humu kimekuonyesha jinsi ulivyo.
Mm nakushauri tu watu wanapo jadili jambo ww uwe msikilizaji au msomaji tu.
Kwa aina ya uchangiaji huu na muandiko huu watu wanaweza kujua amendika kadada ka kazi kaliko ishia std 3.
Nyuma ya Sea Cliff kuna bahari tuelekeze vizuri.Nazungumzia nyumba inayojengwa masaki nyuma sea cliff bado haijaisha, ile unayosema wewe kajenga mwenyewe kwa pesa yake
Niambie kuanzia 1985 mpaka 1995 shule gani inayomilikiwa na kanisa ilichomwa moto na waislam na watoto wa shule hiyo walikufa wangapi?Wewe sema kipi si cha kweli? Au unafiki nao ni ibada kwenu?
Ile nyumba ni kufuru kweli ccm wanajua kuibaNazungumzia nyumba inayojengwa masaki nyuma sea cliff bado haijaisha, ile unayosema wewe kajenga mwenyewe kwa pesa yake
Mkuu hujasoma mambo ya coast sharing yaliyotambulishwa na nchi zilizoendelea kupitia imf.... Kabla ya hapo kila kitu kilikuwa chini ya serkal kuuKutokana na hali ya kisiasa ilivyokuwa ikiendelea tangu kupatikana kwa Uhuru wa Tanganyika, kuna watu walioona kuwa hawaridhishwi na Serikali ya Mwalimu Nyerere, hasa vijana kiasi cha kujasiria hata kuteka ndege ya abiria kwa lengo la kuishinikiza Serikali kufuata matakwa yao. Ndege ya Shirika la Ndege la Tanzania, Boeing 737, ilitekwa mjini Mwanza na vijana watano wa Dar es Salaam.
Baadaye ilikuja kujulikana kuwa majina ya watekaji wale ni Musa Memba (25), Mohamed Ali Abdallah (26) na ndugu yake Abdallah Ali Abdallah (22), Mohamed Tahir Ahmed (21) na Yassin Memba (21). Kiongozi wao alikuwa Musa Memba.
Kama utakuwa na muda takupa dondoo kiduchu.
Mwinyi aliporomoshaje nchi?, kwani alikuta nchi ina nini hasa.
usibishe kitu usichokijua, sio wote ni wanazi wa vyama kama weweNyuma ya Sea Cliff kuna bahari tuelekeze vizuri.
Arabuni ni pamoja ghuba ya uajemi, ukingo wa magharibi pmj na mashariki ya Kati
Mzee mwinyi alijipatia toto la kiarabu safari zikawa hazikatiki huko alimaanusura ndoa yake na siti ivunjike kama si busara za mama Maria nyerere
na nyuma take Kuna ya makam WA rais msitaafu wa awamu ya nne kubwa utadhani Ni ChuoIle nyumba ni kufuru kweli ccm wanajua kuiba
Wapi nimebisha mie nimeuliza tu! Wewe umesema Mzee Mwinyi kajengewa nyumba kubwa ya bilioni 9 ipo nyuma ya Sea Cliff.usibishe kitu usichokijua, sio wote ni wanazi wa vyama kama wewe
Piga picha inayoonyesha lilipo jiko na store utanielewa Kama huamini nenda ukajioneeWapi nimebisha mie nimeuliza tu! Wewe umesema Mzee Mwinyi kajengewa nyumba kubwa ya bilioni 9 ipo nyuma ya Sea Cliff.
Nikauliza ili kupata kujua mbona nyuma ya Sea Cliff kuna bahari.
View attachment 346019
Hiyo barabara ndiyo yakuingilia Sea Cliff mkuu.
View attachment 346020
Mkuu ukiingia Sea Cliff ndiyo pako hivi huko nyuma kuna bahari ni Peninsula.
Labda tufahamishe huyo nyumba ya Mzee Mwinyi ipo kwa sehemu gani mkuu wangu.
Nakala: FaizaFoxy
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ila we jamaa unanichekeshaga sana reply zakoNyuma ya Sea Cliff kuna bahari tuelekeze vizuri.
Mkuu wewe mwenyewe umesema hiyo nyumba ipo nyuma ya Sea Cliff nimekuwekea picha tumeona Sea Cliff ipo baharini tena Peninsula.Pig
Piga picha inayoonyesha lilipo jiko na store utanielewa Kama huamini nenda ukajionee