Wewe ndiye unataka kumlinganisha nyerere na alhaji Ally Hasan mwinyi, hiyo haitatokea
Wewe achana na hawa watu. Wanajibishana wao kwa wao ha
Inawezekana ulipatikana baada ya babako kunywa pombe za kienyeji. Vinywaji vya kienyeji vinaendelea kukulevya mpaka leo.
Angalia kwenye list ya mafisadi watu gani waliopelekwa kwa wingi mahakamani?
Mtake msitake, Mungu akitaka mtaachia tu. Vibakwa wakubwa nyie
Nenda kaangalie "Waraka wa Panama",
Linganisha na orodha ya makwepa kodi ya yaliyoagiza malori kwa ajili ya ibada!.
Tanzania haitakuwa himaya ya mashetani. Rudi kuzimu sehemu uliyoandaliwa miele. Ibilisi!