goukun wadey
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 241
- 284
- Thread starter
-
- #101
Lupem, ungekaa kimya ungepoteza nini? Nyie ndio munaamini ukiongea kwa sauti kubwa unaeleka zaidi? (Kinyumecho wabainisha ujingao)Yaani unajaza gazeti kumbe,unaandika utumbo tupu.Kama huna cha kuandika ,fanya kazi nyingine.Kuliko kutujazia uchafu tupu humu JF.
Nenda na wewe ukalinde mafunza hukokaburi linalindwa kwa kodi ya serikali,kama unaumia kajinyonge ufe.
Michango ya Jazba! M10 kwa mwezi nini? Unawaza kutumwa!! Kwa nini ulipwe..Eti unaona huruma!..
Kuna watz wajinga,
. Badala ya uwaonee huruma ukoo wako wanaliwa na umaskini wewe unamuonea huruma mtu anaekula milioni 10 per month?
👊👊Kuna kitu kafanya kwenye ushuru wa kuingiza magari nchini kimempa mileage kubwa sana
Kenneth Kaunda wa Zambia, Samora Mchel wa Mossambiq, na Julias K Nyerere wa TanzniaMkuu tafadhali tunaomba utambulisho wa hao miamba.
Si unajua tena sisi kizazi cha smartphone?
Hata angetangazwa kwa 107%, still bado alikuwa kiongozi wa kiwango cha chini sana katika zama za ustaarabu. mama DJuhudi ya 16% ya watanzania haiwezi uwa legacy ya JPM
Magufuli ndio kwanza anachipua na kuchanua katika mashina ya watanzania zaidi ya 84%
JPM aliishi, anaishi na ataendelea kuishi...... mnaoumia na kupambana asahaulike mtakufa kwa kihoro
Utakamatwa!!!!!![emoji848]inalazimishwaje kijana!!!
hata ukimtukana jk nyerere saa hizi utakamatwa,huko ni kulazimishwa!!!!
Mbona unataka kupotosha? Hatushehekei kifo cha Kristo. Kifo cha Kristo ni siku ya Ijumaa Kuu - huoni ambavyo huwa tunafunga na kuhuzunika?kristu alikufa miaka 2000 iliyopita na kifo chake ni sherehe pia.
ishu hapa unasherehekea ukombozi!!au unasherehekea umasikini ulio nao.
Wakina sisi D7 tunatumia legacy kwa maana ya eti madaraja, madege, maburigi/ chato, na mfano wake tuKwani legacy ni lazima iwe nzuri tu? Unamaanisha tutashindwa kumkumbuka hata kwa kuingiza mfumo mpya wa watu wanaomkosoa Rais kupotezwa, kuuawa au kushambuliwa kama alivyofanyiwa Lisu?
Dead and buried. Over ,finished , kaput Tanzania inasonga mbele.Atakaye mkumbuka dikteta alaaniwe yeye na uzao wake wote
Mbona unataka kupotosha? Hatushehekei kifo cha Kristo. Kifo cha Kristo ni siku ya Ijumaa Kuu - huoni ambavyo huwa tunafunga na kuhuzunika?
Tunasherehekea ufufuko wa Kristo. Ufufuko ndiyo ushindi wa Kristo na sisi tuliofufuka nayo katika imani. Kristo amejitofautisha na wanadamu katika ufufuko, siyo katika kifo.
Wakina sisi D7 tunatumia legacy kwa maana ya eti madaraja, madege, maburigi/ chato, na mfano wake tu
Sijui alikuwa kalaaniwa yule. Nchi nzima watu wanamnanga wakati kashakufa.
Mama tunasubiri zipite siku 100 ili tujue moja
Nalog off
Matumbo yao tu ndio wanayajalisiku mama akionyesha jinsi alivyo na uhusiano na mipango ya aliyokuwa nayo mwendazake,ndio siku ambayo dumuzi,papasi,kunguni,viwavijeshi watapiga nduru na kusema hakika huyu naye si lolote.
kumbe hakutaka kujali matumbo yao tu.
Kujitoa fahamu hakutakusaidia.Kwa hiyo, hoja yako ni nini hapo??.In short unataka kusemaje??.
Wengi tumekiona, big up mama.Kuna kitu kafanya kwenye ushuru wa kuingiza magari nchini kimempa mileage kubwa sana
Mbona Mimi nimekuelewa Sana Mkuu,Kama Kuna mtu hajakuelewa kuna shida mahala.Kwani Meko alikua ni nani hasa yeye? Mbona mnazuia watu wasiteme nyongo zao za miaka 5? Alikua ni Rais wa hovyo kuwahi kuitawala Tanzania...
Meko ashakufa hivyo tuachane na habari zake, nchi iko mikononi mwa Mama anaiendeleza na kufuta upuuzi wote uliowekwa na mtangulizi wake..