Uchaguzi 2020 Leila Sheikh: Marekani wana kizabinazabina kwa matamko yao kuhusu uchaguzi wa Tanzania

Nilimsikilza Yule mama nikazani ni me mwenyewe ndio skumuelewa nakumuuona mnafiki.kifupi nikuwa hawazezi jieleza kabsa nawala ana point,lakn nkakumbuka kunabaadhi yaredio zilfungiwa kwaajil yakulusha matangazo aya kwamuda flani kwamadai kwamba hawabalance habar.sasa naona sasaiv wameanza kuchukua makada wachama flani ili wasifungiwe tena.kwakua mnasema niteja nmeanza kuamn Sasa maana ata majbu alio kuwa anayatoa ntofauti namaswali aliyokuwa anaulzwa.Ally mutasa alikuwa smart Sana namakini kwenye oja namajbu
 
Wangesusa Ccm wangechukua kila kitu na wala hawajali chochote rejea uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka jana.

Ccm imejimilikisha hii nchi inafanya itakalo na hakuna wakuhoji.
Sawasawa. Je, nini kifanyike kuondokana na hali hii????
 
Nini kifanyike kuondoa haya?
 
Nimesikiliza huo mjadala, huyo Leila Sheikh hata kujieleza kwa ufasaha ni shida. Alikuwa ni kama kada wa CCM zaidi kuliko muandishi wa habari.
Ila angelikuwa upande mumoja wa upinzani ungelimuona bonge la intelligent. Hapo ndo munafeli upinzani.
 
Jaji Radhia mpole sana yule mama wa watu,Hamida nae ni advocate mzuri yuko vizuri ila mkorofi kinoma na umri umekwenda ila mi naipenda ile familia wako vizuri kichwani,enzi zao mtoto wa kike kusoma vile sio mchezo
Wala hufahamu hiyo familia.
Ungeifahamu ungeelewa ukweli.
Acha kuleta chuki binafsi humu.
Tabia ya udayuzz haipendezi kwa mtoto wa kiume.
 
Umekosea.
Siyo shombe la kiarabu.
Ni Mbondei na Mjeremani.

Ni shombe la kiarabu umri utakua umeenda nakumbuka alikua ile Tume ya Ukimwi miaka ya 90s mwishoni au 2000s mwanzoni alimshtaki Mwenyekiti wa Tume Major General Mbogo kwamba alimdharirisha kijinsia bila kusema kivipi
 
Hakika wewe ni mdukuzi ....duh!
 
Ni msimamo mzuri
 
Ulitegemea kasichana, mwanafunzi wa chuo kikuu arudi na mbaula, Cantor, Suzuki?
Karudi na begi moja lenye Jeans 2, t Sheti 3, sketi moja, dera na mtandio wa kusali, na vitabu.
Karudi na B. A. Politics and Government
Karudi na M. A. African Studies.
Karudi na Higher Diploma in Journalism and Film Making.
Na maadili yake na uzalendo wake.
Hakika wewe ni mdukuzi ....duh!,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…