Uchaguzi 2020 Leila Sheikh: Marekani wana kizabinazabina kwa matamko yao kuhusu uchaguzi wa Tanzania

Uchaguzi 2020 Leila Sheikh: Marekani wana kizabinazabina kwa matamko yao kuhusu uchaguzi wa Tanzania

Huyu Leila sijui ameishia la ngapi! Labda Marekani ya Tandahimba ndio anayoizungumzia!
 
Screenshot_20201010_093503.jpg
images (78).jpeg
images (79).jpeg


🙆🙆🙆🙆
 
Leila kwa kiarabu maana yake ni Majinuni yani mwendawazimu kwahiyo sishangai kwa aliyoyasema.
Brother, Layla maana yake sio mwendawazimu. Layla kwa kiarabu maana yake ni usiku. Isije ikawa umechanganya na Story maarufu ya kiarabu ya Majnun Layla.
 
Leila Sheikh mwanahabari na mtetezi wa haki za wanawake, wakati akishiriki mjadala wa waandishi wa habari uliotayarishwa na radio DW Kiswahili leo mchana ametoa matamko ambayo hata NEC wala viongozi wa CCM hawawezi kutamka moja kwa moja kuishambulia Marekani kwa kuitaja kwa jina zaidi ya kuishia kutaja mabeberu.

Leila akichagia mjadala huo uliohusu waandishi wanavyouona uchaguzi wa Tanzania alionekana kutofautiana na waandishi wenzake kutoka mataifa ya nje kwa jinsi alivyokuwa akiitetea NEC na Rais Magufuli kwa kudai kuwa uchaguzi unaendeshwa kidemokrasia na kuongeza kuwashambulia wapinzani wanaotishia kupeleka wananchi barabarani kama watashindwa.

Alikanusha kutokuwepo uhuru wa habari kipindi hiki cha uchaguzi.
Wagombea wa ccm huwa wanatuambia Tuache Kutegemea Kuajiriwa Na Serikali, Tujitegemee Na Tujiajiri Wenyewe!! Wakati Wao Wanatuomba Kura Ili Tuwape Ajira Waajiriwe Na wananchi.

TUSAIDIANE MAWAZO HAPA VIJANA WENZANGU, HAWA WATU ZIMO KWELI VICHWANI MWAO ?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leila Sheikh ana mtizamo gani kuhusu wagombea wa upinzani ambao mpaka leo hii bado hawajaruhusiwa na wasimamizi kuanza kampeni?

Masuala kama haya ilipaswa yakemewe na kila anayeitakia mema nchi yetu. Haiwezekani tufanye uchaguzi halafu baadhi ya wagombea wanapata nafasi kufanya kampeni kwa miezi miwili, na wengine wanapewa nafasi kufanya kampeni kwa wiki 2.
Usitichoshe na ujinga wenu, mnajifanya mna mwanasheria nguli lakini hawezi kusaidia hata wagomnea wake kujaza form sasa mnamlaumu nani?
Mliwaacha kama watito wa bata, sasa wametumbukia kwenye mashimao mnataka kulazimisha kuwa wameonewa.
 
Leila ndo leo namsikia! kumbe bongo imesheheni waandishi makini! Dada yuko sahihi nani kutoka Afrika anaweza kuingilia uchaguzi wa US? watuache!

Marekani inajitutumua tu haina maajabu tena kama zamani Rais wao amepona Corona juzikati wamwangalie huyo kwanza kisha wapambane na China kwanza waliowasha indiketa kuwapita kiuchumi!

Hali ni ngumu sana bongo raia wanatapatapa kutafuta msosi wala hakuna anaewasikiliza wamarekani nchini. Siasa zetu bongo za majitaka mabeberu kamwe hawatazielewa!
 
Ni kizabizabina na sio “kizabinazabina”.

Kama ni teja atakuwa kaahidiwa fix baada ya kuropoka.

Ni wa kupuuzwa tu na kuhurumiwa.
 
Nimesikiliza huo mjadala, huyo Leila Sheikh hata kujieleza kwa ufasaha ni shida. Alikuwa ni kama kada wa CCM zaidi kuliko muandishi wa habari.
Hata alichokuwa akieleza hakijui nafikiri anatafta nafasi ya polepole
 
Kweli aunt Laila amekua teja wa kutupwa. Baada ya kuachwa/achana na Sagafu alihalibikiwa mno na ameshindwa simama mpaka leo. Dada zake wako njema sana, Jaji Radhia (as the zen was) Advocate Hamida, Jamila....wametoka familia nzuri na wote ni well educated.
Jaji Radhia mpole sana yule mama wa watu,Hamida nae ni advocate mzuri yuko vizuri ila mkorofi kinoma na umri umekwenda ila mi naipenda ile familia wako vizuri kichwani,enzi zao mtoto wa kike kusoma vile sio mchezo
 
Inasikitisha wakoloni wale wale wanarudi kupitia CHADEMA na Lisu.

Yaani siamini CHADEMA hii hii ya mtaa wa ufipa pale Kinondoni inataka kutuuza utumwani , siamini kabisa.
Usiwe na wasi wasi na wapiga porojo hao, CCM ni chama makini kitakwenda kumpiga mtu knock out hawataamini.

October 28 kura zote kwa JPM.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Back
Top Bottom