Kama wewe ndio Leila pole sana kwa kuitwa teja, najua inaumiza sana kutupiwa kashfa ambazo sio za kweli, msamehe tu huyo jamaa.Ulitegemea kasichana, mwanafunzi wa chuo kikuu arudi na mbaula, Cantor, Suzuki?
Karudi na begi moja lenye Jeans 2, t Sheti 3, sketi moja, dera na mtandio wa kusali, na vitabu.
Karudi na B. A. Politics and Government
Karudi na M. A. African Studies.
Karudi na Higher Diploma in Journalism and Film Making.
Na maadili yake na uzalendo wake.
πLeila Kama ni mnufaika wa upigaji dili wa awamu hii imekula kwake
Leila ofisi yake ya calabash iko kinondoni,sheikhs chambers of advocate ofisi ya hamida iko posta pamba house,razia kastaafu,Wala hufahamu hiyo familia.
Ungeifahamu ungeelewa ukweli.
Acha kuleta chuki binafsi humu.
Tabia ya udayuzz haipendezi kwa mtoto wa kiume.
Mpeleke Mama yako Sober Houses apate msaada wa kuacha uteja.
Tena mkanye aache kuparamia baru baru.
Ni uchulo!
Leila ofisi yake ya calabash iko kinondoni,sheikhs chambers of advocate ofisi ya hamida iko posta pamba house,razia kastaafu,
Yani nikiona bongo fleva wanavyonyang'anyana peremende za CCM halafu kule Nigeria wasanii wana mahela lakini bado wanatumia ushawishi wao kuchochea mabadiliko kwenye jamii na mifumo ya nchi nasikia hasira mpka natamani kupiga ngumi ukutaβ¦Leila ndo leo namsikia! kumbe bongo imesheheni waandishi makini! Dada yuko sahihi nani kutoka Afrika anaweza kuingilia uchaguzi wa US? watuache!
Marekani inajitutumua tu haina maajabu tena kama zamani Rais wao amepona Corona juzikati wamwangalie huyo kwanza kisha wapambane na China kwanza waliowasha indiketa kuwapita kiuchumi!
Hali ni ngumu sana bongo raia wanatapatapa kutafuta msosi wala hakuna anaewasikiliza wamarekani nchini. Siasa zetu bongo za majitaka mabeberu kamwe hawatazielewa!
Unafikiri mwanaharakati anaogopa vitisho vya kijinga?Ahaaa
Nisamehe dada hapa tukishashiba ugali tunaandika chochote ahaaaaa
Inshaallah,nashukuru kunisamehe sirudii tena huu ujingaNimekusamehe.
Sasa, tujenge Taifa.
Watoto wanahitaji maadili.
Sisi, tuwape mfano
Mwenyenzi Mungu atujaalie wepesi in sha AllahInshaallah,nashukuru kunisamehe sirudii tena huu ujinga
Za kwako nati zimelegea za nyeti ndiyo unasema ovyo.Kama siyo kazabinazabina cha wamarekani huo uandishi wa habari wala hizo haki za wanawake anazozitetea asingizijua.
Kuna uwezekano nati zake zimelegea.
Zombie yuleee aliegeuzwa ndondocha kama weweWanawake gani anaowatetea? Au wanaojiuza usiku? Wanawake wanadhalilishwa kila siku majukwaani hatumsikii Leo anajitokeza Zombie wa kike eti anatetea wanawake?
Udayuzz!Leila kwa kiarabu maana yake ni Majinuni yani mwendawazimu kwahiyo sishangai kwa aliyoyasema.
ChekecheaHuyu Leila sijui ameishia la ngapi! Labda Marekani ya Tandahimba ndio anayoizungumzia!
π π πHata alichokuwa akieleza hakijui nafikiri anatafta nafasi ya polepole
Ni mimi,Leila ni nani?
Wewe, nini inkufanya ujifiche nyuma ya jina bandia.Nimemsikiliza huyu dada. Ni njaa tu inamsumbua