Uchaguzi 2020 Leila Sheikh: Marekani wana kizabinazabina kwa matamko yao kuhusu uchaguzi wa Tanzania

Kama wewe ndio Leila pole sana kwa kuitwa teja, najua inaumiza sana kutupiwa kashfa ambazo sio za kweli, msamehe tu huyo jamaa.

Hongera kwa kusoma na kuhitimu vizuri.
 
Leila Kama ni mnufaika wa upigaji dili wa awamu hii imekula kwake
 
Wala hufahamu hiyo familia.
Ungeifahamu ungeelewa ukweli.
Acha kuleta chuki binafsi humu.
Tabia ya udayuzz haipendezi kwa mtoto wa kiume.
Leila ofisi yake ya calabash iko kinondoni,sheikhs chambers of advocate ofisi ya hamida iko posta pamba house,razia kastaafu,
Mpeleke Mama yako Sober Houses apate msaada wa kuacha uteja.
Tena mkanye aache kuparamia baru baru.
Ni uchulo!
 

Attachments

  • images (35).jpg
    9.7 KB · Views: 2
Unaikumbuka hii picha bibie ulikuwa unamuwaza marehemu sagaf
 
Yani nikiona bongo fleva wanavyonyang'anyana peremende za CCM halafu kule Nigeria wasanii wana mahela lakini bado wanatumia ushawishi wao kuchochea mabadiliko kwenye jamii na mifumo ya nchi nasikia hasira mpka natamani kupiga ngumi ukuta…

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama siyo kazabinazabina cha wamarekani huo uandishi wa habari wala hizo haki za wanawake anazozitetea asingizijua.

Kuna uwezekano nati zake zimelegea.
Za kwako nati zimelegea za nyeti ndiyo unasema ovyo.
Acha kubweteka kwa usioyajua
 
Leila kwa kiarabu maana yake ni Majinuni yani mwendawazimu kwahiyo sishangai kwa aliyoyasema.
Udayuzz!
Jifunze kiarabu jinga wewe.
Majnun ni mwanaume aliempenda Leila mpaka wakambadili jina kutoka Qais akaitwa Majnun.
Nakuona upo mufhaffal kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…