SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Lemma anaitunza familia yake kama vile wewe mumeo anavyokutunza na wanao ambao wengine si wa kwake.Kwa maana situnziwi familia kama Lema ,tatizo ni la kwako usitaka kujua ukweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lemma anaitunza familia yake kama vile wewe mumeo anavyokutunza na wanao ambao wengine si wa kwake.Kwa maana situnziwi familia kama Lema ,tatizo ni la kwako usitaka kujua ukweli.
Kwa nini asijiombe yeye mwenyewe kwa maana anatumziwa familia?
Kama kuna viongozi wanaoharibu hii SACCOS ni huyu jamaaa aisee
Kwa maana situnziwi familia kama Lema ,tatizo ni la kwako usitaka kujua ukweli.
Lema alijazwa upepo kwenye mitandao kuwa yeye ni nabii na kwa maana hana uwezo wa kufikiri kisawasawa(no elimu dunia) ndio kila mara anajifanya mtu wa mungu wengine sisi sio 🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Hapo bado haujapewa bodaboda,kapelo na kitenge unahorojoka kama mchuzi wa dagaa.Vipi ukikabidhiwa hivyo vitu si utatukana dunia nzima?Lema ni mpuuzi hawezi badilika ,embu fikiria familia yake inatunzwa na yeye bado anazo nguvu za kufanya kazi hata ya kuendesha mkokoteni ila hataki ,kutwa nzima anashinda kwenye mitandao baba mtu mzima 🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Kwa hiyo huyu lema aliefeli kidato cha nne ndio anayo akili ?Maza ako mwenyewe anatamani angezaa na Lema badala ya dingi ako ili ukoo wenu upate watu wenye akili
Lema anatunziwa familia na kama unabisha leta uthibitisho wa hela alituma kwa wazungu kuwa ni kwa ajili ya kutunza familiaLemma anaitunza familia yake kama vile wewe mumeo anavyokutunza na wanao ambao wengine si wa kwake.
Hakana anaetukana hapo bali ni ukweli ambao unatakiwa kujulikana tu.Hapo bado haujapewa bodaboda,kapelo na kitenge unahorojoka kama mchuzi wa dagaa.Vipi ukikabidhiwa hivyo vitu si utatukana dunia nzima?
Yeye yuko wapi ukijitazama na wewe unayeporomosha matusi mitandaoni?Kwa hiyo huyu lema aliefeli kidato cha nne ndio anayo akili ?
Nirushie tusi moja tu nililoporomosha ukishindwa thibitisha na ya kwamba utakuwa kwenye lile kundi wa waliofeli kidato cha nne kama LemaYeye yuko wapi ukijitazama na wewe unayeporomosha matusi mitandaoni?
Kutueleza kwamba Lema anatunziwa familia maana yake ni nini?Anatunziwa familia na nani wapi huko?Weka uthibitisho.Nirushie tusi moja tu nililoporomosha ukishindwa thibitisha na ya kwamba utakuwa kwenye lile kundi wa waliofeli kidato cha nne kama Lema
wewe unaishi Tanzania kweli ?hivi huoni Lema anavyopost picha za famila yake toka CANADA? tuletee tu kauthibitisha kanakoonyesha Lema kamlipia mtoto wake ADA yq shule kule CANADA,tofauti na hapo ni kwamba Lema familia yake anatunziwaKutueleza kwamba Lema anatunziwa familia maana yake ni nini?Anatunziwa familia na nani wapi huko?Weka uthibitisho.
Weka uthibitisho anavyotunziwa familia.Sasa picha za familia wewe ukiziona tu unahitimisha majibu unayoyapenda?wewe unaishi Tanzania kweli ?hivi huoni Lema anavyopost picha za famila yake toka CANADA? tuletee tu kauthibitisha kanakoonyesha Lema kamlipia mtoto wake ADA yq shule kule CANADA,tofauti na hapo ni kwamba Lema familia yake anatunziwa
Bosi nimekuomba leta uthibitisho kuwa hatunziwi familia kule canada kwa maana sina shaka ya kuwa anatunziwa familia ,wewe ndio ulete uthibitisho kuwa Lema anatunza familia yake.Weka uthibitisho anavyotunziwa familia.Sasa picha za familia wewe ukiziona tu unahitimisha majibu unayoyapenda?
Kweli usimkatie mtu tamaa,Lema huyu ambaye kwenye miaka ya 2000 alitisha sanaLema huwa anapenda sana kuleta mambo ya kidini katika siasa kana kwamba dini inaweza kutatua jambo lolote katika siasa, hivi huko CHADEMA kumegeuka kuwa nyumba ya ibada?! Lema aache kuwa delusional, apambane bila kutafuta huruma ya kidini.
View attachment 3136473
Kweli usimkatie mtu tamaa,Lema huyu ambaye kwenye miaka ya 2000 alitisha san
Possibly lakini si kigezo. Wewe umezaliwa wakati mama yako anaolewa hakuwa bikra. Watu wangesema sasa anashauri nini ashawahi kuwa kahaba au malaya.kwa kigezo cha kuwa hakuolewa na bikra. But kwa sasa naamini watu wanamheshimu hawaangalii hayo ya nyuma.Yeye mwenyewe ana historia ya ujambazi atatuambia nn watoto wa Ngulelo
Mama yangu alikua bikra,tafuta linginePossibly lakini si kigezo. Wewe umezaliwa wakati mama yako anaolewa hakuwa bikra. Watu wangesema sasa anashauri nini ashawahi kuwa kahaba au malaya.kwa kigezo cha kuwa hakuolewa na bikra. But kwa sasa naamini watu wanamheshimu hawaangalii hayo ya nyuma.
Muulize MagufuliLema huwa anapenda sana kuleta mambo ya kidini katika siasa kana kwamba dini inaweza kutatua jambo lolote katika siasa, hivi huko CHADEMA kumegeuka kuwa nyumba ya ibada?! Lema aache kuwa delusional, apambane bila kutafuta huruma ya kidini.
View attachment 3136473
Nami nimeshangaa sana.Lema huwa anapenda sana kuleta mambo ya kidini katika siasa kana kwamba dini inaweza kutatua jambo lolote katika siasa, hivi huko CHADEMA kumegeuka kuwa nyumba ya ibada?! Lema aache kuwa delusional, apambane bila kutafuta huruma ya kidini.
View attachment 3136473
Kwa taarifa yako waisrael sio wakristoWaisrael na waarabu ambao dini tunazoshupalia zilitoka kwao basi wasingekuwa wanauana kama wanavyofanya.
Hakuwa hakuwa nabii ila ss amelishika sn nenoAlikuwaje enzi hizo?