Lema amegeuka kuwa mchungaji au nabii ndani ya CHADEMA?

Lema amegeuka kuwa mchungaji au nabii ndani ya CHADEMA?

ukianza kumwelewa lema anasema nini ujue unakaribia kuwa kichaa kama yeye
Sasa nyie chawa mmemzidi nini lema?.labda mnamzidi ujinga na kujipendekeza kwa wanaume wenzenu na wanawake.
 
Amejuaje kwamba wakiomba kwa siku 7 ndio Mungu ataipigania nchi??
Halafu mimi hata sijasema ni kosa, naona ni kupoteza muda tu kwa sababu hata CCM nao huwa wanamuomba mungu huyo huyo sasa kwa nini awasikilize CHADEMA asiwasikilize CCM wakati inasemwa hana ubaguzi wote ni wake??
Acha kupangia watu chakuamini.hizo ni hoja binafsi za lema kwa Mungu wake anayemuamini.Haina uhusiano wowote na chama chake chakisiasa.Nasio lazima anayoyaomba yatimie.Kila mtu na imani yake.
 
Acha kupangia watu chakuamini.hizo ni hoja binafsi za lema kwa Mungu wake anayemuamini.Haina uhusiano wowote na chama chake chakisiasa.Nasio lazima anayoyaomba yatimie.Kila mtu na imani yake.
Lema ndio mwakilishi halisi wa hiki chama kwa rangi zote(Ukanda na Udini)
 
Shetani anapojifanya anahubiri jua njia zote za kufanikiwa zimefungwa.
 
Lema huwa anapenda sana kuleta mambo ya kidini katika siasa kana kwamba dini inaweza kutatua jambo lolote katika siasa, hivi huko CHADEMA kumegeuka kuwa nyumba ya ibada?! Lema aache kuwa delusional, apambane bila kutafuta huruma ya kidini.
View attachment 3136473

Kama anasema vitu kwa imani yake kuna shida gani. Ulitaka awe mnafiki. Anasema "Kwa imani yangu" maana yake ni yeye binafsi sasa hapo kuna shida gani. Mbona huko nyuma alishasemaga na kuonya kuhusu Magufuli mkapuuza na yakatokea. Yeye kwa imani yake ni kuombea mabaya yasitokee akikuonya ukapuuza ni wewe

Leo kama kwa imani yangu Mungu kaniambia niwaambie kitu nitasema hata kama ukipuuza. Puuzeni tu lakini yakitokea yanakula kwenu. Kama unatenda mema kweli unaogopa nini yeye anaongelea wezi wa kura tu kama hakuna wizi unashida gani.
 
Back
Top Bottom