Lema asema hakubali mtu kuuawa kwa kuwa ni shoga

Lema asema hakubali mtu kuuawa kwa kuwa ni shoga

UTAKUBALI KUONA MTOTO WAKO WA KIUME AMEVAA GAUNI NA AMELEGEA KAMA MTOTO WA KIKE TENA ANASHIKWA MAKALIO NA MWANAUME MWENZAKE?
Kama ni mtu mzima anayejitegemea hiyo ni juu yake.

Wewe kuwa mzazi sio guarantee ya wewe kuendesha maisha ya mwanao kama ni mtu mzima.

Inshu ni wazazi kuwalea watoto katika malezi ambayo wanaona yanafaa.
Ukizembea,wakisha kuwa wakubwa matokeo yake ndio kama haya na hutakuwa na mamlaka ya kuingilia maamuzi yake, endelea na maisha yako tu.
Samaki mkunje angali mbichi.
 
Kama ni hivyo, kwanini basi mnawashambulia mashoga huku mkijua fika WAMEINGIWA NA MAPEPO?

Huoni kama unamshambulia mtu asiye na hatia anayeendeshwa na nguvu asiyo na udhibiti nayo?
Tunashambulia USHOGA kama mfumo, hatushambulii mashoga waliotekwa ktk vifungo vya USHOGA na ufiraji nk nk.

USHOGA kama ROHO, umo ndani ya shoga. So kuweka vita na Roho ya shoga lazima kutamgusa mtu huyo shoga Kwa namna moja au nyingine.

Matendo ya USHOGA na ufiraji yalianzia sirini na baada ya kuendelea sana yanakuja hadharani.

JAMII inapotoka kuwakemea wazi wazi watarudi kujificha maana ni WA gizani.

Njaa itakapokuwa Kali juu ya nchi, Matetemeko yakija juu ya nchi, Uchumi ulivurugwa, watu Hawatakuwa na nyenzo kufanya dhambi.

Kuna mapigo yanakuja yatakayofanya mtu ajitambue na kuukataa UOVU mwenyewe sababu mifumo ya kufanya hizo mnazoziita faragha utavurugwa.

Mfano, mji mzima ukikumbwa na tetemeko, nyumba zote zikaharibiwa, chakula kilakosekana, shoga akapata ukoma, au KIFAFA, au mapele mwili mzima, hakuna mtu atawaza USHOGA.

So Kuna time mwili ukipigwa Roho inatiishwa.

Na ndicho kinachoenda Kutokea.
 
Kuna umuhimu kutenganisha misimamo ya dini zetu na sheria za serikali. Misimamo ya dini zetu inawahusu waumini wa dini hizo tu wakati sheria za serikali/nchi zinawahusu wote wanaoishi ndani ya nchi husika. Kuna dini zinaamini wazinifu ( kutembea na mtu ambae hamko nae katika ndoa hata kama wote wawili hamko katika ndoa) wanatakiwa wauawe. Yohana 8 3-7 inazungumzia mzinifu aliyeletwa kwa Yesu ili atoe mawazo yake kwa sababu sheria ilikuwa inasema apigwe mawe ( mpaka kufa). Wakristu wote tunajua jibu la Yesu.

Sasa itakuwaje tutake kutumia matamko yaliyomo katika misahafu kuwahukumu wale ambao hawajatudhuru kwa njia yeyote? Inakuwaje tunakumbatia yaliyomo katika Agano la Kale lakini tunapuuza maneno na mifano ya maisha ya Yesu mwenyewe?

Tumsikilize Pope Francis aliyesema kuwa hakubaliani na homosexuality lakini ana amini homosexuals kama watoto wa Mungu wanastahili kupendwa. Akasema pia sio haki kufanya homosexuality kuwa kosa la jinai. Kama kuna adhabu kuhusu vitendo hivyo itatolewa na Mungu wake, serikali isihusike. Ni kama mtu akiwa na uhusiano na mtu ambae hayumo katika ndoa ( tukumbuke watu wengi wanaishi pamoja bila kuooana) nae basi ataadhibiwa na Mungu wake, serikali haipaswi kuhusika. Hivyo hivyo kwa mashoga. Kama kuna adhabu tumuachie Mungu wao, serikali haipaswi kumuadhibu.

Amandla...
Yesu alisema,, "ASIYE NA DHAMBI NA AWE WA KWANZA KUMPIGA JIWE".

Mafarishayo wakatokomea gizani. [emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]
 
Tunashambulia USHOGA kama mfumo, hatushambulii mashoga waliotekwa ktk vifungo vya USHOGA.

Hapana, nyie maaskofu mnatakiwa kuwafanyia mashoga EXORCISM badala ya kuchochea WAUWAWE.

Huwezi kumuua mtu aliyepagawa na mapepo, dawa ni KULIKEMEA IBILISI LIMTOKE.

Au nakosea Baba Askofu?
 
Na kama ni m Scottish? Mbona mapadre wanavaa magauni?

Amandla...
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji13][emoji1787][emoji13][emoji1787][emoji13][emoji1787][emoji13][emoji13][emoji1787][emoji13][emoji1787][emoji13][emoji1787][emoji13][emoji1787][emoji1787][emoji13][emoji13][emoji1787][emoji13][emoji1787][emoji13][emoji1787][emoji1787][emoji13][emoji1787][emoji13][emoji1787][emoji13][emoji1787][emoji13][emoji1787][emoji13][emoji1787][emoji13][emoji1787][emoji13][emoji1787][emoji13][emoji1787][emoji13][emoji1787][emoji13][emoji13][emoji1787][emoji13][emoji1787][emoji13][emoji1787][emoji13][emoji1787][emoji13]

Kyeee kyeee kyeeee kyeee kyeee kyeeee kyeeee kyeeee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mashoga wakiwa miongoni mwao?
Si kuwaua kimwili mashoga, Bali in spirit.

Ninyi mnaonunua mashoga na Malaya mara nyingi mnazini na majini na watu Nusu mtu nusu Pepo,

Baada ya hapo ndo mnafanya TABIA hizo kishamiri ktk JAMII.

So watu hao tunadeal nao na kuwaua ktk Roho na wanapotea ktk kuvaa miili ya WANADAMU.

So Rahisi kunielewa.
 
Toa mawazo yako kwanza, and from there ndipo UTASAIDIWA...
WTF? NISAIDIWE?
NISAIDIWE MIMI AU MIMI NIWASAIDIE NYINYI?
Wewe utajisikiaje? Utafanyaje?
HICHO KITU HAKITATOKEA SABABU MIMI KAMA BABA NAJUA NINACHOKIFANYA.
Wewe unadhani ni nini kifanyike?

Nao ndiyo hivyo tena, duniani ni mahali pao pa kuishi..

Unataka uwatengenezee dunia yao peke yao?
KAMATA HAO MAFALA TUPA SEHEMU MOJA WAFUNDISHWE KUWA WAKAKAMAVU NA KURUDI TENA KWENYE UANAUME. SERIKALI IFANYE HII KAZI AU KIZAZI KIJACHO KITAKUWA HAKIFAI, NGUVU KAZI ITAPUNGUA NA TAIFA LITAANIKA KWA UMASIKINI NA MWISHO WA SIKU TUTAVAMIWA NA KUTAWALIWA NA MATAIFA YENYE VIJANA WAKAKAMAVU SABABU VIJANA WA TAIFA LETU WAMEOZA. IKITOKEA VITA VIJANA WA KIUME NDIO TEGEMEO LA TAIFA KUANZIA WW1, WW2, VITA YA UGANDA MPAKA HII YA UKRAINE NA RUSSIA

UOZO UMEANZA SASA BADO HATUJACHELEWA, SERIKALI IFANYE HIVYO AU WANANCHI TUANZE KUPOTEZA HAO VIUMBE.
 
MWANAUME NI MWANAUME NA MWANAMKE NI MWANAMKE.
Kama mtoto wa kike hawezi kukubali huo uchafu ni ajabu na uchafu mara 2000 kwa mwanaume.

UTAKUBALI KUONA MTOTO WAKO WA KIUME AMEVAA GAUNI NA AMELEGEA KAMA MWANAMKE AKISHIKWA MAKALIO NA MWANAUME MWENZAKE?
Kama hao wamelegea kwa sababu ya hicho unachokichukia wewe, wanahitaji NEEMA YA KUOKOLEWA toka kwenye dhambi hiyo..

Wewe unaona shida ya dhambi Kwa wenzako tu. Lakini ukweli ni kuwa, vivyo hivyo wewe kuna uchafu na dhambi zinazokulegeza kiasi cha kuonekana umevaa khanga na gauni. Vivyo hivyo na wewe unahitaji msaada, unahitaji NEEMA YA WOKOVU kukutoa kwenye hali hiyo..
 
MIMI NI MWANANCHI MPENDA NCHI YAKE NA MWENYE NIA NJEMA YA KIZAZI KIJACHO CHA NCHI YANGU NA NASEMA MAFALA WOTE WAONDOLEWE WAONDOLEWE NCHINI AU WAUWAWE.

Uzuri ni kwamba nchi umeikuta na utaiacha.

Hivyo, hauna mamlaka yoyote ya kumfukuza yeyote.

Na ukileta fujo tutakudhibiti.
 
""HAYA NI MAMBO YANAYOITAJI AKILI BEYOND, TANZANIA HAIRUHUSU USHOGA KAMWE, IELEWEKE HIVYO KILA PAHALA, NA PIA HATUTAMKI HIVYO HADHARANI. "" BUT TANZANIA FIGHT WELL TO THIS EVIL DUDE!
 
Si kuwaua kimwili mashoga, Bali in spirit.
Unafanyaje hii?

Ninyi mnaonunua mashoga na Malaya mara nyingi mnazini na majini na watu Nusu mtu nusu Pepo
Sijawahi kununua mashoga.

So watu hao tunadeal nao na kuwaua ktk Roho na wanapotea ktk kuvaa miili ya WANADAMU.
Kwa mfano kuna shoga gani aliyepotea baada ya "kuuliwa kiroho"?
 
Hapana, nyie maaskofu mnatakiwa kuwafanyia mashoga EXORCISM badala ya kuchochea WAUWAWE.

Huwezi kumuua mtu aliyepagawa na mapepo, dawa ni KULIKEMEA IBILISI LIMTOKE.

Au nakosea Baba Askofu?
Ni Kweli tunapambana nao na kuua ROHO ya USHOGA, ufiraji ktk ROHO so ktk mwili.

Matokeo ya vita hiyo ya kuzuia ROHO zilizo nyuma ya UOVU huo ndo yataonekana ktk Kutokea NJAA juu ya nchi, Matetemeko, Umaskini, Uasi wa wananchi Kwa Serikali, nk nk.
 
Kama ni mtu mzima anayejitegemea hiyo ni juu yake.

Wewe kuwa mzazi sio guarantee ya wewe kuendesha maisha ya mwanao kama ni mtu mzima.

Inshu ni wazazi kuwalea watoto katika malezi ambayo wanaona yanafaa.
Ukizembea,wakisha kuwa wakubwa matokeo yake ndio kama haya na hutakuwa na mamlaka ya kuingilia maamuzi yake, endelea na maisha yako tu.
Samaki mkunje angali mbichi.
SIO "ishu ni wazazi kuwalewa watoto katika malezi ambayo WANAONA yanafaa" BALI NI KUWALEWA KATIKA MAZAZI YANAYOFAA KWA KUFUATA MAADILI SAFI YA NATURE.
NDIO. MIMI KUWA MZAZI NI GUARANTEE YA MIMI KUENDESHA MAISHA YA MWANANGU NINAVYOTAKA, MIMI NDIO NINAYEAMUA MWANANGU AWE NANI. SIMPLE.

WEWE NI FALA?
 
Ni Kweli tunapambana nao na kuua ROHO ya USHOGA, ufiraji ktk ROHO so ktk mwili.

Matokeo ya vita hiyo ya kuzuia ROHO zilizo nyuma ya UOVU huo ndo yataonekana ktk Kutokea NJAA juu ya nchi, Matetemeko, Umaskini, Uasi wa wananchi Kwa Serikali, nk nk.
Mnajihesabia haki wakati mtakufa siku sio nyingi na hata mwaka huu unaweza usiumalize tumia Muda vizuri kuhubiri upendo , mashoga Vita Yao ni ya rohoni na sio nyama
 
Kama hao wamelegea kwa sababu ya hicho unachokichukia wewe, wanahitaji NEEMA YA KUOKOLEWA toka kwenye dhambi hiyo..

Wewe unaona shida ya dhambi Kwa wenzako tu. Lakini ukweli ni kuwa, vivyo hivyo wewe kuna uchafu na dhambi zinazokulegeza kiasi cha kuonekana umevaa khanga na gauni. Vivyo hivyo na wewe unahitaji msaada, unahitaji NEEMA YA WOKOVU kukutoa kwenye hali hiyo..
WEWE ACHA UPUMBAVU WA KUSHIFT MADA HEWANI. HAPA HAKUCHA NA NEEMA YA KUOKOLEWA BALI HAWA MAFALA WANAHITAJI KUREKEBISHWA KWA NGUVU, AU TUWAMALIZE KUOKOA KIZAZI KIJACHO.
NARUDIA NA KURUDIA TENA. SERIKALI IONDOE MAFALA NCHINI AU WANANCHI TUANZE KUTEKETEZA HII LAANA.

HAKUNA MWANAUME RIJALI ANAYEWEZA KUCHEKEA HUU UJINGA HUKU WAZI UKIJUA UTAKUJA KUWA NA WATOTO BAADAE AU TAYARI UNA WATOTO WA KIUME.

NI FALA PEKEE ANAYETETEA MAFALA.
 
Back
Top Bottom