BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
ukimuacha mmoja basi generation nzima itakuwa imeoza.
inaozaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukimuacha mmoja basi generation nzima itakuwa imeoza.
With God everything is POSSIBLE.Baba Askofu kumbuka kuna mashoga nchini ambao wameshindwa kuacha ushoga.
Unawashaurije?
Baba Askofu umemvisha Mungu sura ya ukali ambayo hana.Mungu ni mkali sana juu ya DHAMBI.
Majanga yanayoipata Dunia ni sababu ya dhambi' zote unazozijua.
Mungu anataka utakatifu, watu aliowaumba waache dhambi.
Zipo Nchi hata kumkemea shoga hadharani huruhusiwi hata kama ni mtumishi wa Mungu.
Mungu anakuja Kwa HUKUMU, na muda huo ni sasa, mataifa mbalimbali yanapigwa mfululizo na usidhani patakuwa na ahueni.
Njaa inakuja Tanzania kubwa sana, sababu ni uongozi na watu kukataa kuacha DHAMBI.
Tulopewa Nchi tuitawale Kwa kufuata SHERIA ya Mungu ndomana SHERIA Karibia zote zimetokana na BIBLIA na zinatumika Kwa wote hata wasioamini Mungu.
Kipigo linakuja juu ya wote wakaao Duniani, watakufa watu wengi, wengi sana tusipokubali kukataa na kuacha DHAMBI.
USHOGA, UCHAWI, UFIRAJI Si common sin kama dhambi zingine, hizo ni ABOMINATION. Ni machukizo.
Uongozi msiposimamia kile Mungu amekataza anakuja mwenyewe kuwaadhibu.
Simuhukumu mtu Mimi binafsi, Bali Mungu ndani yangu ndiye anayehukumu dhambi na kunitaka nikemee sababu Mimi ni MDOMO, mkono na Mfano wa Mungu.
Amen
Amen.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kaongea vizuri tu leo, sijaona tatizo hapo, labda mtoa mada ulitaka mashoga wauawe, hivi humu ndani vichwa nazi bado wengi mno, hakuna mtu katika nchi yetu anataka ushoga, ila huwezi sema wauawe, hilo liko wazi, sasa mtoa mada alitaka kuona Lema aseme mashoga wauawe.. Nosense
Kwanini basi Mungu asiingie ndani ya hao mashoga awabadilishe?With God everything is POSSIBLE.
Mungu akiingia ndani ya mtu anambadilisha na kuwa kiumbe kipya.
Ataacha USHOGA na kuwa Mwana wa Mungu.
Acha uongo. Haujawahi kumpenda Lema wala Chadema.Awali Lema nikimchukulia kama mtu ambaye hana uwezo kulingana na hoja anazozitoa majukwaani.
Baada ya haya mahojiano kuhusu Ushoga, sasa nimeelewa huyu jamaa kusimamia anayoyasema.
Amenitia kichefuchefu kuliko wakati wowote. Nimemchukia na nimeichukia CHADEMA.
Matumbo yanauza UTU wa mtu. Shetani kabisa huyu CHOKO
Inaozaje? Are you damn Serious?inaozaje?
SwadaptaaaHili. Tamko mubashara!View attachment 2564709
Naomba tutajia aya katika Biblia inayosema unayoyasema.Muongo mwana siasa hana dini
Biblia hipi anayo iamini inayo sema ushoga sio dhambi?biblia inasema mfanyaji na mfanywaji wauawe
Zamani kabla hazijaja hospitali, watoto walizozaliwa jogoo haliwiki walikuwa wanazimwa kimya kimya wakiwa wachanga.Baba Askofu umemvisha Mungu sura ya ukali ambayo hana.
Mungu ni pendo, hana hasira wala hahukumu.
Kama Mungu angekuwa anawachukia mashoga basi asingewaleta duniani.
Kama amewaleta mwenyewe basi aache mcharuko wa kuwaangamiza watu kwa mafuriko.
Naamini Mungu ni upendo, lakini nyie ndio mnamvisha mavazi ya kuonekana mbaya na mwenye hasira.
Kweli yawezekana wewe ni mtakatifu uliye duniani. Lakini unahitaji kudakaswa kila siku Kwa sababu bado uko ktk dunia hiiMimi ni mmoja wa WATAKATIFU wengi wanaoishi duniani.
Jifunze kulisikia sauti ya Mungu, usipingane na usiowajua na ukajichumia ADHABU Bure.
Acha kuwa referee wa maisha ya watu, wewe chakata mbususu, wanaofukuliwa acha wafukuliwe cha muhimu wafukuliwe kwa ridhaa yao.Acha ujinga, jamii sio mtu mmoja mmoja bali kundi kubwa la watu, maana yake ukimuacha mmoja basi generation nzima itakuwa imeoza.
Suluhusho ni watu kufirana vyumbani ili watoto wasione.Inaozaje? Are you damn Serious?
Kwenye jamii kuna watoto, watoto ambao hawajui wao wanatakiwa kuwa nani na kufanya nini njia pekee ya kugundua hayo ni kupitia kuangalia na kujifunza kwa kuiga kutoka kwa watu wazima, watu wazima hao wakiwemo mafala wanaoachwa huru mitaani bila kufanywa chochote kukomesha tabia mbovu.
Tumia SIMPLE LOGIC.
✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️"Kukamilisha au kutimiliza" maana yake sheria ilikuwa na mapungufu, Kwahiyo Yesu alikuja kurekebisha hayo mapungufu kwa kuongeza na kupunguza baadhi ya vitu.(Mathayo 5 : 17-41).
Mfano:
1. Adhabu ya kuuawa kwa watenda dhambi ni moja ya vitu vilivyo punguzwa au kuondolewa (Yohana 8 : 1 - 11)
2. Kulipa kisasi kama ilivyo amriwa katika sheria(Kutoka 21 : 23-25 na Mambo ya walawi 24 : 17-21), hili nalo Kristo Yesu alirekebisha kwa kusema "Soma mathayo 5 : 38-42 na Luka 6 : 27-36"
Na mwisho kabisa Yesu alisema hivi torati imetimia katika neno moja nalo ni upendo (Mathayo 7 : 12) na upendo hauna mipaka wala classes ni kwa kila mtu hata kama ni shoga.
Ndio muwe mashoga?Mnapambana kuzidi kuzaa na kuongezeka zaidi katika nchi ili iweje? Yani hiyo ndio sababu mojawapo ya kutokwa na povu kuhusu ushoga??
Hao watu waliopo wenyewe sasa hivi wengi wao wanaishi kama wako jehanamu ndogo.
Wamekaa kwenye slums, watu wanakaa chini bila madawati shuleni, vijana wamejazana wanaendesha bodaboda na wengine wanazungusha tu bahasha mitaani.
Swali zuri..Kwanini basi Mungu asiingie ndani ya hao mashoga awabadilishe?
Hakuna mtu mwenye AKILI timamu anaeamua kujihusisha na USHOGA bila Pepo Hilo kumuingia kwanza.
Wewe mpumbavu kweli. Wewe umeoana hao mafala ambao ni wanaume kwenye hiyo clip walivyovaa? Umeona walivyokuwa na haiba ya kike? Umeona walivyolegea?Suluhusho ni watu kufirana vyumbani ili watoto wasione.
Kumbuka Lisu pia alisema hatawaingilia wanachadema kwenye faragha zao za vyumbani, hapo ni baada ya kuhojiwa na bbc juu ya ana msimamo gani na ushogaBwanaee Firweni!! Mmepata Nabii wa kuwatetea. ***** baba