Awali Lema nikimchukulia kama mtu ambaye hana uwezo kulingana na hoja anazozitoa majukwaani.Nisiongee mengi video ya interview yake pale star tv hio apo chini.
===
Lema aliulizwa na Aloyce Nyanda kuhusu ushoga katika kipindi cha StarTV amesema yeye anaamini katika biblia na kama dunia nzima itaamini katika biblia basi suala la ushoga halitakuwa tatizo.
Hata hivyo amesema haukubaliani na sheria au mtu yeyote anayetaka kumuua mtu kwa kuwa ni shoga. Amesema kitu mtu anachokifanya katika maisha yake ni kitu chake.
Baada ya haya mahojiano kuhusu Ushoga, sasa nimeelewa huyu jamaa kusimamia anayoyasema.
Amenitia kichefuchefu kuliko wakati wowote. Nimemchukia na nimeichukia CHADEMA.
Matumbo yanauza UTU wa mtu. Shetani kabisa huyu CHOKO