antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Duh!
Kwa hiyo serikali ilishakubaliana na suala la ushoga!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!
Na wazinzi mpigwe mawe hadi mfe,
Hebu tuwekee mstari wake
Nasubiri uweke andiko la hiyo adhabu ya mzinzi kupigwa mawe hadi kufa halafu uniambie inakuaje hao wazinzi hawapigwi mawe hadi kufa kama ambavyo maandiko yanatutaka tufanye kisha tutaendelea na mada husika maana zote zinaigusa jamii yetu moja kwa moja.Ziko nyingi si wazinzi tu , isipokuwa hapa panazungumzwa mashoga.
Hata hivyo nitaziweka baadaye
Kasema atarudi kuweka,Hawezi kuthubutu kuuweka.
Hawa wanafiki ni shida.
Tunataka latest kutoka kwa serikali kama walivyofanya Uganda.
Kasema atarudi kuweka,
Ngoja tuone, ila kishajiwahi kwa kusema eti mada ni ushoga kasahau uzinifu na ushoga vyote vinaigusa jamii zetu na zote kulingana na maandiko adhabu ni kifo
Nasubiri uweke andiko la hiyo adhabu ya mzinzi kupigwa mawe hadi kufa halafu uniambie inakuaje hao wazinzi hawapigwi mawe hadi kufa kama ambavyo maandiko yanatutaka tufanye kisha tutaendelea na mada husika maana zote zinaigusa jamii yetu moja kwa moja.
Hawezi kuthubutu kuuweka.
Hawa wanafiki ni shida.
Shukrani kwa kutuletea maandiko,1. Waueni Watu Wasiowasikiliza Makuhani
Mtu yeyote mwenye kiburi cha kukataa hukumu ya mwamuzi au ya kuhani anayemwakilisha BWANA Mungu wako lazima auawe. Uovu kama huo lazima uondolewe kutoka kwa Israeli. (Kumbukumbu la Torati 17:12 NLT)
2. Kuua Wachawi
Haupaswi kuruhusu mchawi kuishi. (Kutoka 22:17 NAB)
3. Waue Mashoga
“Mtu mume akilala na mwanamume kama na mwanamke, wote wawili watauawa kwa ajili ya tendo lao la kuchukiza; wamepoteza maisha yao.” (Mambo ya Walawi 20:13 NAB)
4. Ua Wapiga Ramli
Mtu mume au mwanamke aliye pepo, au ramli atauawa kwa kupigwa mawe; hawana mtu ila wao wenyewe wa kulaumiwa kwa kifo chao. (Mambo ya Walawi 20:27 NAB)
5. Kifo kwa Kuwapiga wazee
Yeyote anayempiga baba yake au mama yake atauawa. (Kutoka 21:15 NAB)
6. Kifo kwa mwenye kuwalaani Wazazi
1) Mtu akimlaani baba yake au mama yake, taa yake itazimika wakati wa ujio wa giza. (Mithali 20:20 NAB)
2) Kila anayemlaani baba au mama yake lazima auawe. Wana hatia ya kosa la kifo. (Mambo ya Walawi 20:9 NLT)
7. Kifo kwa ajili ya Uzinzi
Mwanamume akifanya uzinzi na mke wa mwanamume mwingine, mwanamume na mwanamke lazima wauawe. ( Mambo ya Walawi 20:10 NLT )
8. Kifo kwa ajili ya Uasherati
Binti ya kuhani ambaye atapoteza heshima yake kwa kufanya uasherati na hivyo kumvunjia heshima baba yake pia, atachomwa moto hadi kufa. (Mambo ya Walawi 21:9).
9 Waueni Wasioamini
Wakafanya agano la kumtafuta Bwana, Mungu wa baba zao, kwa mioyo yao yote na roho zao zote; na kila mtu asiyemtafuta Bwana, Mungu wa Israeli, atauawa, akiwa mdogo au mkubwa, akiwa mwanamume au mwanamke. ( 2 Mambo ya Nyakati 15:12-13 NAB )
10. Waueni Manabii wa Uongo
Ikiwa mtu bado anatabiri, wazazi wake, baba na mama yake, watamwambia, "Hutaishi, kwa sababu umesema uongo kwa jina la Bwana." Wakati akitoa unabii, wazazi wake, baba na mama, watamchoma. ( Zekaria 13:3 NAB )
Huo unaitwa unafiki at it's highest level, yaani unafiki wa kiwango cha uzamivu.Shukrani kwa kutuletea maandiko,
Swali linarudi kwako na kwa wengine wanaosema Shoga auwawe, je ni Mzinzi na Muasherati gani aliyewahi kuuwawa? Watu wanaishi kinyumba, watu wanajisifu kutembea na wake za watu, watu wanapeana mimba na viongozi wa dini wanawafungisha ndoa, kwanini hawauliwi??
Si juzi tu kulikua na mauaji ya vikongwe mkoani Shinyanga kwa kutuhumiwa Uchawi na watu wote walilaani vitendo hivyo vya mauaji, kumbe Mchawi karuhusiwa kuuwawa,
Kila leo tunasikia habari kuhusu Manabii wa Uongo mbona hawauliwi?
Kwanini Shoga ndio adhabu itekelezwe na sio wengine waliotajwa kwenye maandiko?
Nachukia sana ushoga ila kuua hapana wana hali ya kuwa na amani pia.ila akishiriki kushawishi wengine hususan watoto sio tu auawe achinjweYuko sahihi, umuadhibu mtu kwa kufanya maamuzi ya maisha yake mwenyewe ambayo hayana athari yeyote kwenye maisha yako kama sio uonevu ni nini?
Kuua mwenyewe nakataaNisiongee mengi video ya interview yake pale star tv hio apo chini.
===
Lema aliulizwa na Aloyce Nyanda kuhusu ushoga katika kipindi cha StarTV amesema yeye anaamini katika biblia na kama dunia nzima itaamini katika biblia basi suala la ushoga halitakuwa tatizo.
Hata hivyo amesema haukubaliani na sheria au mtu yeyote anayetaka kumuua mtu kwa kuwa ni shoga. Amesema kitu mtu anachokifanya katika maisha yake ni kitu chake.
Shukrani kwa kutuletea maandiko,
Swali linarudi kwako na kwa wengine wanaosema Shoga auwawe, je ni Mzinzi na Muasherati gani aliyewahi kuuwawa? Watu wanaishi kinyumba, watu wanajisifu kutembea na wake za watu, watu wanapeana mimba na viongozi wa dini wanawafungisha ndoa, kwanini hawauliwi??
Si juzi tu kulikua na mauaji ya vikongwe mkoani Shinyanga kwa kutuhumiwa Uchawi na watu wote walilaani vitendo hivyo vya mauaji, kumbe Mchawi karuhusiwa kuuwawa,
Kila leo tunasikia habari kuhusu Manabii wa Uongo mbona hawauliwi?
Kwanini Shoga ndio adhabu itekelezwe na sio wengine waliotajwa kwenye maandiko?
Mwambie Lema hivi Yeye ni Mkristo...na Kitabu chake kitakatifu cha Biblia ....Walawi 20.13 mwambie inamtaka kuwa bahasha na shoga wote wauae kama haamini Biblia Mwambie atuambie Yeye ni Imani Gani
Maelekezo ya Mwenyenzi Mungu Mtakatifu yanasema Hivyo na Yeye anapingana na Mwenyenzi Mungu Mtakatifu anayemuamini shida Nini?
Shukrani kwa kutuletea maandiko,
Swali linarudi kwako na kwa wengine wanaosema Shoga auwawe, je ni Mzinzi na Muasherati gani aliyewahi kuuwawa? Watu wanaishi kinyumba, watu wanajisifu kutembea na wake za watu, watu wanapeana mimba na viongozi wa dini wanawafungisha ndoa, kwanini hawauliwi??
Si juzi tu kulikua na mauaji ya vikongwe mkoani Shinyanga kwa kutuhumiwa Uchawi na watu wote walilaani vitendo hivyo vya mauaji, kumbe Mchawi karuhusiwa kuuwawa,
Kila leo tunasikia habari kuhusu Manabii wa Uongo mbona hawauliwi?
Kwanini Shoga ndio adhabu itekelezwe na sio wengine waliotajwa kwenye maandiko?
Huo unaitwa unafiki at it's highest level, yaani unafiki wa kiwango cha uzamivu.