Lema asema hakubali mtu kuuawa kwa kuwa ni shoga

Lema asema hakubali mtu kuuawa kwa kuwa ni shoga

Ziko nyingi si wazinzi tu , isipokuwa hapa panazungumzwa mashoga.
Hata hivyo nitaziweka baadaye
Nasubiri uweke andiko la hiyo adhabu ya mzinzi kupigwa mawe hadi kufa halafu uniambie inakuaje hao wazinzi hawapigwi mawe hadi kufa kama ambavyo maandiko yanatutaka tufanye kisha tutaendelea na mada husika maana zote zinaigusa jamii yetu moja kwa moja.
 
UNAJUA HUYO KAJIBU KISHERIA ZAIDI. UGANDA WAMEPITISHA MSWADA WA KUPINGA USHOGA NA ADHABU ZAKE. KWAMBA NA SISI HATUNA SHERIA ZA KUPINGA USHOGA.
 
Kasema atarudi kuweka,
Ngoja tuone, ila kishajiwahi kwa kusema eti mada ni ushoga kasahau uzinifu na ushoga vyote vinaigusa jamii zetu na zote kulingana na maandiko adhabu ni kifo

1. Waueni Watu Wasiowasikiliza Makuhani

Mtu yeyote mwenye kiburi cha kukataa hukumu ya mwamuzi au ya kuhani anayemwakilisha BWANA Mungu wako lazima auawe. Uovu kama huo lazima uondolewe kutoka kwa Israeli. (Kumbukumbu la Torati 17:12 NLT)

2. Kuua Wachawi

Haupaswi kuruhusu mchawi kuishi. (Kutoka 22:17 NAB)

3. Waue Mashoga

“Mtu mume akilala na mwanamume kama na mwanamke, wote wawili watauawa kwa ajili ya tendo lao la kuchukiza; wamepoteza maisha yao.” (Mambo ya Walawi 20:13 NAB)

4. Ua Wapiga Ramli

Mtu mume au mwanamke aliye pepo, au ramli atauawa kwa kupigwa mawe; hawana mtu ila wao wenyewe wa kulaumiwa kwa kifo chao. (Mambo ya Walawi 20:27 NAB)


5. Kifo kwa Kuwapiga wazee

Yeyote anayempiga baba yake au mama yake atauawa. (Kutoka 21:15 NAB)

6. Kifo kwa mwenye kuwalaani Wazazi

1) Mtu akimlaani baba yake au mama yake, taa yake itazimika wakati wa ujio wa giza. (Mithali 20:20 NAB)

2) Kila anayemlaani baba au mama yake lazima auawe. Wana hatia ya kosa la kifo. (Mambo ya Walawi 20:9 NLT)

7. Kifo kwa ajili ya Uzinzi

Mwanamume akifanya uzinzi na mke wa mwanamume mwingine, mwanamume na mwanamke lazima wauawe. ( Mambo ya Walawi 20:10 NLT )

8. Kifo kwa ajili ya Uasherati

Binti ya kuhani ambaye atapoteza heshima yake kwa kufanya uasherati na hivyo kumvunjia heshima baba yake pia, atachomwa moto hadi kufa. (Mambo ya Walawi 21:9).


9 Waueni Wasioamini

Wakafanya agano la kumtafuta Bwana, Mungu wa baba zao, kwa mioyo yao yote na roho zao zote; na kila mtu asiyemtafuta Bwana, Mungu wa Israeli, atauawa, akiwa mdogo au mkubwa, akiwa mwanamume au mwanamke. ( 2 Mambo ya Nyakati 15:12-13 NAB )

10. Waueni Manabii wa Uongo

Ikiwa mtu bado anatabiri, wazazi wake, baba na mama yake, watamwambia, "Hutaishi, kwa sababu umesema uongo kwa jina la Bwana." Wakati akitoa unabii, wazazi wake, baba na mama, watamchoma. ( Zekaria 13:3 NAB )
 
Nasubiri uweke andiko la hiyo adhabu ya mzinzi kupigwa mawe hadi kufa halafu uniambie inakuaje hao wazinzi hawapigwi mawe hadi kufa kama ambavyo maandiko yanatutaka tufanye kisha tutaendelea na mada husika maana zote zinaigusa jamii yetu moja kwa moja.

1. Kutoka 20:14 "Usizini."

2. Kumbukumbu la Torati 22:22 “Mwanamume akikutwa amelala na mke wa mtu mwingine, mume aliyelala naye na huyo mwanamke lazima wafe wote wawili.

3. Mambo ya Walawi 20:10 “Ikiwa mtu akizini na mke wa mtu mwingine, na mke wa jirani yake, mzinzi huyo na mwanamke mzinzi wote wawili lazima watauawa.

4. Mithali 6:32 "Lakini mtu aziniye hana hukumu; afanyaye hayo anajiangamiza mwenyewe." Anajiangamiza mwenyewe kwa kuuawa kama inavyoonyeshwa hapo juu.

5. Mambo ya Walawi 21:9 "Na binti ya kuhani ye yote akijitia unajisi kwa kuzini, amemnajisi baba yake; atateketezwa kwa moto." Kwa nini ni binti wa kuhani peke yake ndiye anayepaswa kuchomwa hadi kufa ikiwa anajitia unajisi? Kwa nini sheria hii haiwezi kutumika kwa mabinti wote?

6. Kumbukumbu la Torati 25:11-12 "Ikiwa wanaume wawili wanapigana, na mke wa mmoja wao akaja ili kumwokoa mumewe kutoka kwa mshambulizi wake, naye akanyosha mkono na kumshika sehemu zake za siri, lazima umkate mkono wake. huruma." Hii haina maana yoyote ile milele! Kwa nini mwanamke akatwe mikono kwa kumtetea mumewe? Sio kama alikuwa akimdanganya au kitu kama hicho!
 
Hawezi kuthubutu kuuweka.

Hawa wanafiki ni shida.


Aya zifuatazo zimetoka katika Biblia za NIV:

1. Mathayo 19:9 “Mimi nawaambia ya kwamba mtu ye yote amwachaye mkewe, isipokuwa kwa sababu ya uasherati, na kuoa mke mwingine, azini. Je, hili halingesababisha mtu huyo auawe?

2. Marko 10:11 "Yeyote anayemwacha mkewe na kuoa mke mwingine azini dhidi yake." Tena, je, hangeuawa kwa vile angefanya uzinzi?

3. Marko 10:12 "Na kama akimwacha mumewe na kuolewa na mwanamume mwingine, azini." Swali lile lile ninalouliza kuhusu wanawake wanaohesabiwa kuwa wamefanya uzinzi. Je, wao si wangeuawa pia?

4. Luka 16:18 "Yeyote anayemwacha mke wake na kuoa mke mwingine anazini, na mtu anayemwoa mwanamke aliyeachwa azini."

Swali langu hapa ni: Je, mzinzi katika Agano Jipya atauawa?

Kumbuka kwamba wakati Yesu alitoa sheria zilizo hapo juu, alizisema wakati alipozungumza zaidi juu ya Sheria ya Agano la Kale:

Yesu anawaamuru Wakristo wafuate sheria za Agano la Kale:

“Msidhani ya kuwa mimi [Yesu] nalikuja kuitangua Torati (Agano la Kale) au manabii; sikuja kutangua, bali kutimiliza. hata mbingu na nchi zitakapotoweka, hata herufi ndogo kabisa, hata nukta moja, wala kalamu, itatoweka kwa njia yo yote katika Torati (Agano la Kale) hata yote yatimie.” ( Mathayo 23:1-3, Mathayo 5; 17-18)"

Ni wazi kabisa kutokana na aya hizi za Agano Jipya kwamba Yesu amani iwe juu yake aliheshimu Agano la Kale na alisema kwamba kila "barua" moja yake inapaswa kuheshimiwa, kufuatwa na kutimizwa.

"Kisha Yesu akauambia umati wa watu na wanafunzi wake,

"Walimu wa sheria na Mafarisayo wameketi katika kiti cha Musa. Kwa hiyo ni lazima kuwatii na kufanya yote watakayowaambia. Lakini msifanye wafanyavyo, kwa maana wanafanya. hawatendi yale wanayohubiri.' ( Mathayo 23:1-3 )”

Tunaona waziwazi katika mistari hii kwamba Yesu amani iwe juu yake hakukataza Agano la Kale kufuatwa, bali aliwaonya tu wafuasi wake kutoifuata jinsi viongozi wa dini wa sasa wa Sheria. (Wanarabi wa Kiyahudi) walikuwa wakiifuata.

Kwa hiyo kulingana na Yesu amani iwe juu yake, mzinzi katika Agano Jipya lazima auawe.
 
1. Waueni Watu Wasiowasikiliza Makuhani

Mtu yeyote mwenye kiburi cha kukataa hukumu ya mwamuzi au ya kuhani anayemwakilisha BWANA Mungu wako lazima auawe. Uovu kama huo lazima uondolewe kutoka kwa Israeli. (Kumbukumbu la Torati 17:12 NLT)

2. Kuua Wachawi

Haupaswi kuruhusu mchawi kuishi. (Kutoka 22:17 NAB)

3. Waue Mashoga

“Mtu mume akilala na mwanamume kama na mwanamke, wote wawili watauawa kwa ajili ya tendo lao la kuchukiza; wamepoteza maisha yao.” (Mambo ya Walawi 20:13 NAB)

4. Ua Wapiga Ramli

Mtu mume au mwanamke aliye pepo, au ramli atauawa kwa kupigwa mawe; hawana mtu ila wao wenyewe wa kulaumiwa kwa kifo chao. (Mambo ya Walawi 20:27 NAB)


5. Kifo kwa Kuwapiga wazee

Yeyote anayempiga baba yake au mama yake atauawa. (Kutoka 21:15 NAB)

6. Kifo kwa mwenye kuwalaani Wazazi

1) Mtu akimlaani baba yake au mama yake, taa yake itazimika wakati wa ujio wa giza. (Mithali 20:20 NAB)

2) Kila anayemlaani baba au mama yake lazima auawe. Wana hatia ya kosa la kifo. (Mambo ya Walawi 20:9 NLT)

7. Kifo kwa ajili ya Uzinzi

Mwanamume akifanya uzinzi na mke wa mwanamume mwingine, mwanamume na mwanamke lazima wauawe. ( Mambo ya Walawi 20:10 NLT )

8. Kifo kwa ajili ya Uasherati

Binti ya kuhani ambaye atapoteza heshima yake kwa kufanya uasherati na hivyo kumvunjia heshima baba yake pia, atachomwa moto hadi kufa. (Mambo ya Walawi 21:9).


9 Waueni Wasioamini

Wakafanya agano la kumtafuta Bwana, Mungu wa baba zao, kwa mioyo yao yote na roho zao zote; na kila mtu asiyemtafuta Bwana, Mungu wa Israeli, atauawa, akiwa mdogo au mkubwa, akiwa mwanamume au mwanamke. ( 2 Mambo ya Nyakati 15:12-13 NAB )

10. Waueni Manabii wa Uongo

Ikiwa mtu bado anatabiri, wazazi wake, baba na mama yake, watamwambia, "Hutaishi, kwa sababu umesema uongo kwa jina la Bwana." Wakati akitoa unabii, wazazi wake, baba na mama, watamchoma. ( Zekaria 13:3 NAB )
Shukrani kwa kutuletea maandiko,
Swali linarudi kwako na kwa wengine wanaosema Shoga auwawe, je ni Mzinzi na Muasherati gani aliyewahi kuuwawa? Watu wanaishi kinyumba, watu wanajisifu kutembea na wake za watu, watu wanapeana mimba na viongozi wa dini wanawafungisha ndoa, kwanini hawauliwi??

Si juzi tu kulikua na mauaji ya vikongwe mkoani Shinyanga kwa kutuhumiwa Uchawi na watu wote walilaani vitendo hivyo vya mauaji, kumbe Mchawi karuhusiwa kuuwawa,

Kila leo tunasikia habari kuhusu Manabii wa Uongo mbona hawauliwi?

Kwanini Shoga ndio adhabu itekelezwe na sio wengine waliotajwa kwenye maandiko?
 
Shukrani kwa kutuletea maandiko,
Swali linarudi kwako na kwa wengine wanaosema Shoga auwawe, je ni Mzinzi na Muasherati gani aliyewahi kuuwawa? Watu wanaishi kinyumba, watu wanajisifu kutembea na wake za watu, watu wanapeana mimba na viongozi wa dini wanawafungisha ndoa, kwanini hawauliwi??

Si juzi tu kulikua na mauaji ya vikongwe mkoani Shinyanga kwa kutuhumiwa Uchawi na watu wote walilaani vitendo hivyo vya mauaji, kumbe Mchawi karuhusiwa kuuwawa,

Kila leo tunasikia habari kuhusu Manabii wa Uongo mbona hawauliwi?

Kwanini Shoga ndio adhabu itekelezwe na sio wengine waliotajwa kwenye maandiko?
Huo unaitwa unafiki at it's highest level, yaani unafiki wa kiwango cha uzamivu.
 
Nisiongee mengi video ya interview yake pale star tv hio apo chini.

===
Lema aliulizwa na Aloyce Nyanda kuhusu ushoga katika kipindi cha StarTV amesema yeye anaamini katika biblia na kama dunia nzima itaamini katika biblia basi suala la ushoga halitakuwa tatizo.

Hata hivyo amesema haukubaliani na sheria au mtu yeyote anayetaka kumuua mtu kwa kuwa ni shoga. Amesema kitu mtu anachokifanya katika maisha yake ni kitu chake.
Kuua mwenyewe nakataa
 
Shukrani kwa kutuletea maandiko,
Swali linarudi kwako na kwa wengine wanaosema Shoga auwawe, je ni Mzinzi na Muasherati gani aliyewahi kuuwawa? Watu wanaishi kinyumba, watu wanajisifu kutembea na wake za watu, watu wanapeana mimba na viongozi wa dini wanawafungisha ndoa, kwanini hawauliwi??

Si juzi tu kulikua na mauaji ya vikongwe mkoani Shinyanga kwa kutuhumiwa Uchawi na watu wote walilaani vitendo hivyo vya mauaji, kumbe Mchawi karuhusiwa kuuwawa,

Kila leo tunasikia habari kuhusu Manabii wa Uongo mbona hawauliwi?

Kwanini Shoga ndio adhabu itekelezwe na sio wengine waliotajwa kwenye maandiko?

Ikiwa lililo sawa na lililo baya linaamuliwa na jamii yetu pekee na wala si Biblia, basi kuna manufaa gani na umuhimu wa kuwa na Biblia basi?


Je, unaweka wapi mipaka ya kutenda dhambi katika Biblia , ili kuwasaidia Wenye Haki kuongozwa na kupewa maelekezo sahihi ya kubaki sawa na kutopotoshwa katika Uzinzi unaofanywa na wa Kikristo?



Ikiwa ni sawa katika Ukristo kufanya mapenzi kabla ya ndoa, sawa kuishi na mtu bila ndoa (kama mpenzi au msichana), sawa kufanya ngono ya jinsia moja au jinsia nyingine, sawa kwa kaka kulala na dada yake, sawa. kwa watu kufichua sehemu kubwa ya miili yao (kwa kuvaa bikini kwa mfano), sawa kueneza uovu miongoni mwa jamii, basi:

NINI SI SAHIHI KUFANYA BASI????!!!!

NA KWANINI MUNGU ALIWAANGAMIZA WATU WA LUTII NA NUHU ?

JE, HAWAKUFANYA SAWA NA WAKRISTO WANAVYOFANYA LEO KAMA SODOMI, NA MAPENZI HARAMU BILA NDOA??!!
 
Usisahu Kutoka 22:18 inasema mwanamke mchawi anapaswa kuuwawa.
Unafikiri wale waliokuwa wanaua wanawake wazee wenye macho mekundu kule kanda ya ziwa walikuwa sahihi??
Mwambie Lema hivi Yeye ni Mkristo...na Kitabu chake kitakatifu cha Biblia ....Walawi 20.13 mwambie inamtaka kuwa bahasha na shoga wote wauae kama haamini Biblia Mwambie atuambie Yeye ni Imani Gani

Maelekezo ya Mwenyenzi Mungu Mtakatifu yanasema Hivyo na Yeye anapingana na Mwenyenzi Mungu Mtakatifu anayemuamini shida Nini?
 
Shukrani kwa kutuletea maandiko,
Swali linarudi kwako na kwa wengine wanaosema Shoga auwawe, je ni Mzinzi na Muasherati gani aliyewahi kuuwawa? Watu wanaishi kinyumba, watu wanajisifu kutembea na wake za watu, watu wanapeana mimba na viongozi wa dini wanawafungisha ndoa, kwanini hawauliwi??

Si juzi tu kulikua na mauaji ya vikongwe mkoani Shinyanga kwa kutuhumiwa Uchawi na watu wote walilaani vitendo hivyo vya mauaji, kumbe Mchawi karuhusiwa kuuwawa,

Kila leo tunasikia habari kuhusu Manabii wa Uongo mbona hawauliwi?

Kwanini Shoga ndio adhabu itekelezwe na sio wengine waliotajwa kwenye maandiko?


MATATIZO YALIANZIA HUKU , SIKILIZA KWA UTULIVU



 
Huo unaitwa unafiki at it's highest level, yaani unafiki wa kiwango cha uzamivu.


MIZANI YA IMANI YA MKRISTO


Bwana Yesu Kristo alieleza mizani na alama za imani kama ifuatavyo:

1. Mkiwa na imani ya punje ya haridali, mtauambia mlima huu, ondoka hapa nenda kule, nao utaondoka; wala halitakuwapo neno lisilowezekana kwenu. (Mathayo17:20; 21:21; Marko 11:22-23, 9:23, Luka 17:6, 12, 13).

2. Bwana akasema: “Kama mngekua na imani kiasi cha chembe ya haridali mngeuambia mkuyu huu, ng'oka, ukapandwe baharini, nao ungewatii.” (Luka 17:7).

3. Yesu akajibu, akawaambia, Amin, nawaambia mkiwa na imani , msipokuwa na shaka, mtafanya si hilo la mtini tu, lakini hata mkiuambia mlima huu, ngo'ka ukatupwe baharini, litatendeka. na yoyote mtakayoyaomba katika sala mkiamini, mtapokea. (Mathayo 21:21-22)

4. Amin, Amin, nawaambieni, yeye aniaminiye mimi, kazi nizifanyazo mimi, yeye naye atazifanya; naam, na kubwa kuliko hizo atafanya, kwani mimi naenda kwa Baba. (Yohana 14:12-13).

5. Ninyi mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni mtakalo lolote nanyi mtatendewa. (Yohana 15:7).

6. Tena nawaambia, wawili wenu mtakapopatana duniani katika jambo lolote watakalo liomba, watafanyiwa na Baba yangu aliye mbinguni. (Mathayo 7:3-12)

7. Ombeni nanyi mtapewa.... (Mathayo 7:3-12).

Katika mizani hii ya imani ya Wakristo, tumejua kwamba Mkristo atatambulika kwa alama zilizotajwa hapo juu.

Tena hizi ni alama za imani ndogo sana ya chembe ya haridali. Lakini kama Mkristo atakuwa na imani kubwa ataweza kuonesha miujiza mikubwa zaidi.
Vilevile Mkristo mwenye imani ni yule ambaye ataweza kuonesha miujiza na hasa sawa na ya Bwana Yesu bali mikubwa zaidi kuliko yake.
Sasa kwanza tutafute miujiza ya Bwana Yesu katika Biblia, tumeona baadhi yao kama ifuatavyo:


1. Kuponya wagonjwa (Mathayo 8:16, 9:22, na 15:21).

2. Kuponya walemavu (Mathayo 8:1-3).

3. Kuponya mabubu. (Mathayo 9:3-7; 12-22).

4. Kuponya mwenye kupooza upande mmoja (kiarusi) (Mathayo 8:5-13. 9:1-7, 12:22).

5. Kumponya mwenye kifafa. (Mathayo 17:14-19).

6. Kuponya mkono wenye ukoma. (Mathayo 12:15).

7. Kuponya mgongo uliopinda (Kibyongo) (Luka 13:10).

8. Kuwafufua wafu. (Mathayo 9:24).

9. Kugeuza maji kuwa pombe. (Yohana 2:1-9).

10. Chakula kidogo kitoshe watu elfu tano. (Mathayo 14:13-21).

11. Kutembea juu ya maji. (Mathayo 14:22-23).

12. Kuzuia tufani . ( Mathayo 8:23-33).

Hapa nimetoa baadhi ya mifano tu ya miujiza ya Bwana Yesu.

Kama Mkristo huwezi kuonesha miujiza ya aina hii au alama ya imani yao sawa na Biblia, basi mambo mawili yanathibitika.

A. Bwana Yesu pia hakuonesha mujiza wowote bali ni hadithi za kutungwa tu zisizo na ukweli ndani yake.

B. Siku hizi Mkristo yeyote hana imani sawa na chembe ya haridali, bali wote wameshapotea tayari na hawana alama au dalili yoyote ya imani.

Hali hizi zote mbili ni mbaya sana na za kutisha.

Na dawa yake ni moja tu kwamba muingie katika dini ya Mwenyezi Mungu, ISLAM, baada ya kutambua umoja wa Mungu na Mtume Muhammad s.a.w. kinyume chake mtaendelea kufedheheka siku hadi siku.

TAMBIO:


Ninawapa Wakristo tambio (challenge) kwamba kama mnayo imani sawa na chembe ya haridali, mtuoneshe miujiza iliyotajwa hapo juu.


Mkristo mmoja au wawili au mjumuike wote, tunataka kuona miujiza tu ya imani yao, hata Pope au Mchungaji yeyote ajitokeze.
 
Usisahu Kutoka 22:18 inasema mwanamke mchawi anapaswa kuuwawa.
Unafikiri wale waliokuwa wanaua wanawake wazee wenye macho mekundu kule kanda ya ziwa walikuwa sahihi??
Biblia ni msitu mnene
 
Back
Top Bottom