Lema asema hakubali mtu kuuawa kwa kuwa ni shoga

Lema asema hakubali mtu kuuawa kwa kuwa ni shoga

Ushoga hauhitaji biblia kuupinga ni akili ya kawaida TU.Mungu ameumba viumbe hai katika jinsia ya kiume na kike.Akayapa maumbile ya kike na kiume na kuyapa usafi.Lakini mtu anataka exosi.Ushoja ni ishara ya uduni wa akili au kufikia kiwango cha chini kabisa cha akili na maadili.Kama wanyama wangelikuwa na utashi wangesimama mahali pa Hawa binadamu.
 
Ndo hizo sheria atafata za kikristu maana ameamua kuhamia huko . Hatafata tena mila maana ukristu hauna mila. Na mila zotr potofu zinapingwa.

Sasa kwenye hizo sheria za kikristo, kwenye agano jipya hakuna sheria inayomkataza

Msikilize Paulo anavyosema


Paulo:

Hebu tuangalie Warumi 1:20-32 (kutoka Agano Jipya) “

20. Kwa maana tangu kuumbwa kwa ulimwengu sifa za Mungu zisizoonekana, yaani, uweza wake wa milele na asili yake ya Uungu, zimeonekana waziwazi, zikifahamika kwa yale yaliyotangulia. kufanywa, ili wanaume wasiwe na udhuru.

21. Maana, ijapokuwa walimjua Mungu, hawakumtukuza kama Mungu wala hawakumshukuru; bali mawazo yao yalikuwa ubatili na mioyo yao yenye ujinga ikatiwa giza.

22. Ijapokuwa walidai kuwa wenye hekima, wakawa wapumbavu

23. wakaubadili utukufu wa Mungu asiyeweza kufa kwa sanamu zilizofanywa kufanana na binadamu ambaye hufa, na ndege, na wanyama, na viumbe vitambaavyo.

24. Kwa hiyo Mungu aliwaacha katika tamaa mbaya za mioyo yao wafuate uchafu, na kufanyiana aibu miili yao.

25. Waliibadili kweli ya Mungu kuwa uongo, wakaabudu na kuabudu kiumbe badala ya Muumba anayesifiwa milele. Amina.

26. Kwa sababu hiyo Mungu aliwaacha wafuate tamaa zao za aibu. Hata wanawake wao walibadilisha mahusiano ya asili kwa yale yasiyo ya asili.

27. Vivyo hivyo wanaume nao waliacha mahusiano ya asili na wanawake na wakawaka tamaa wao kwa wao. Wanaume walifanya machafu na watu wengine, na wakapata katika nafsi zao malipo ya upotovu wao.

28. Tena, kwa kuwa hawakuona inafaa kuwa na elimu ya Mungu, aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyopasa.

29. Wamejawa na kila aina ya uovu, uovu, uchoyo na upotovu. Wamejaa wivu, uuaji, ugomvi, hila na uovu. Wao ni masengenyo,

30. wasingiziaji, wenye kumchukia Mungu, wenye jeuri, wenye kiburi, wenye majivuno; wanabuni njia za kutenda maovu; hawawatii wazazi wao;

31. ni wapumbavu, wasio na imani, wasio na moyo, wasio na huruma.

32. Ijapokuwa wanaijua amri ya haki ya Mungu kwamba wale wafanyao mambo kama hayo wanastahili kifo, wao si tu kwamba wanaendelea kufanya mambo hayohayo, bali pia wanakubali wale wayatendao.
 
Mungu mwenyewe si awaue? Kwani hawaoni? Tuue halafu mwisho wa siku akatuchome moto.
Halafu hilo bandiko walikuwa wanaambiwa walawi sio sie wasukuma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ahhahahaa, mambo mengi muda mchache. Ni kweli nimekumbuka, huu ni WARAKA KWA WALAWI [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

WALAWI wamalizane huko wenyewe. Sisi watanganyika tuna sheria zetu.
 
Unamshangaa Lema lakini hauishangai serikali kutotunga Sheria ya adhabu Kwa wanaojihusisha na ushoga, bila kutunga Sheria maana yake yameruhusiwa yafanyike tu
Kifungu cha154 Cha kanuni ya adhabu kinaeleza wazi juu ya kosa Hilo hatuhitaji kutunga sheria ndiyo maana Mtwara wiki iliyopita Mtu kala Mvua 30
 
Sasa kwenye hizo sheria za kikristo, kwenye agano jipya hakuna sheria inayomkataza

Msikilize Paulo anavyosema


Paulo:

Hebu tuangalie Warumi 1:20-32 (kutoka Agano Jipya) “

20. Kwa maana tangu kuumbwa kwa ulimwengu sifa za Mungu zisizoonekana, yaani, uweza wake wa milele na asili yake ya Uungu, zimeonekana waziwazi, zikifahamika kwa yale yaliyotangulia. kufanywa, ili wanaume wasiwe na udhuru.

21. Maana, ijapokuwa walimjua Mungu, hawakumtukuza kama Mungu wala hawakumshukuru; bali mawazo yao yalikuwa ubatili na mioyo yao yenye ujinga ikatiwa giza.

22. Ijapokuwa walidai kuwa wenye hekima, wakawa wapumbavu

23. wakaubadili utukufu wa Mungu asiyeweza kufa kwa sanamu zilizofanywa kufanana na binadamu ambaye hufa, na ndege, na wanyama, na viumbe vitambaavyo.

24. Kwa hiyo Mungu aliwaacha katika tamaa mbaya za mioyo yao wafuate uchafu, na kufanyiana aibu miili yao.

25. Waliibadili kweli ya Mungu kuwa uongo, wakaabudu na kuabudu kiumbe badala ya Muumba anayesifiwa milele. Amina.

26. Kwa sababu hiyo Mungu aliwaacha wafuate tamaa zao za aibu. Hata wanawake wao walibadilisha mahusiano ya asili kwa yale yasiyo ya asili.

27. Vivyo hivyo wanaume nao waliacha mahusiano ya asili na wanawake na wakawaka tamaa wao kwa wao. Wanaume walifanya machafu na watu wengine, na wakapata katika nafsi zao malipo ya upotovu wao.

28. Tena, kwa kuwa hawakuona inafaa kuwa na elimu ya Mungu, aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyopasa.

29. Wamejawa na kila aina ya uovu, uovu, uchoyo na upotovu. Wamejaa wivu, uuaji, ugomvi, hila na uovu. Wao ni masengenyo,

30. wasingiziaji, wenye kumchukia Mungu, wenye jeuri, wenye kiburi, wenye majivuno; wanabuni njia za kutenda maovu; hawawatii wazazi wao;

31. ni wapumbavu, wasio na imani, wasio na moyo, wasio na huruma.

32. Ijapokuwa wanaijua amri ya haki ya Mungu kwamba wale wafanyao mambo kama hayo wanastahili kifo, wao si tu kwamba wanaendelea kufanya mambo hayohayo, bali pia wanakubali wale wayatendao.
"Wanastahili kifo"
Wamesema nani awaue?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ahhahahaa, mambo mengi muda mchache. Ni kweli nimekumbuka, huu ni WARAKA KWA WALAWI [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

WALAWI wamalizane huko wenyewe. Sisi watanganyika tuna sheria zetu.
Tunajipaga stress zisizotuhusu 😅😅😅
 
"Wanastahili kifo"
Wamesema nani awaue?

Kill Homosexuals

“If a man lies with a male as with a women, both of them shall be put to death for their abominable deed; they have forfeited their lives.” (Leviticus 20:13 NAB)

Mtu mume akilala na mwanamume kama na mwanamke, wote wawili watauawa kwa ajili ya tendo lao la kuchukiza; wamepoteza maisha yao.” (Mambo ya Walawi 20:13
 
Kill Homosexuals

“If a man lies with a male as with a women, both of them shall be put to death for their abominable deed; they have forfeited their lives.” (Leviticus 20:13 NAB)
Sasa siku zote hizo nyie mnaoamini biblia kwanini hamtekelezi?
 
Nisiongee mengi video ya interview yake pale star tv hio apo chini.

===
Lema aliulizwa na Aloyce Nyanda kuhusu ushoga katika kipindi cha StarTV amesema yeye anaamini katika biblia na kama dunia nzima itaamini katika biblia basi suala la ushoga halitakuwa tatizo.

Hata hivyo amesema haukubaliani na sheria au mtu yeyote anayetaka kumuua mtu kwa kuwa ni shoga. Amesema kitu mtu anachokifanya katika maisha yake ni kitu chake.
Yaani unamshangaa mtu mmoja ambae hatuna uhakika kama hajaathiriwa au laa (kisaikolojia) na mikimbizano ya mwaka 2020 na unashindwa kuishangaa serikali yako?
 
Kill Homosexuals

“If a man lies with a male as with a women, both of them shall be put to death for their abominable deed; they have forfeited their lives.” (Leviticus 20:13 NAB)

Mtu mume akilala na mwanamume kama na mwanamke, wote wawili watauawa kwa ajili ya tendo lao la kuchukiza; wamepoteza maisha yao.” (Mambo ya Walawi 20:13
Na wazinzi mpigwe mawe hadi mfe,
Hebu tuwekee mstari wake
 
Unamshangaa Lema lakini hauishangai serikali kutotunga Sheria ya adhabu Kwa wanaojihusisha na ushoga, bila kutunga Sheria maana yake yameruhusiwa yafanyike tu
Screenshot_20230324-183325.jpg
 
Back
Top Bottom