Lema asema hakubali mtu kuuawa kwa kuwa ni shoga

Lema asema hakubali mtu kuuawa kwa kuwa ni shoga

Unamshangaa Lema lakini hauishangai serikali kutotunga Sheria ya adhabu Kwa wanaojihusisha na ushoga, bila kutunga Sheria maana yake yameruhusiwa yafanyike tu
Sheria ipo na Kuna Moja lini kala miaka 30 Sasa wewe chief endelea kuzagamuliwa masabuli ukifikili Sheria ya kukufunga haipo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa watu wanaongea kisiasa saan. Hajaulizwa kama shoga anatakiwa kuuawa. Ameulizwa habari ama vitendo vya kishoga hapo maana yake ameunga mkono ushoga. Hakuna nchi dunia nzima inayokubali mtu auawe kwa vile ni shoga. Wanachopigania wazungu ni kwamba ushoga utambuliwe na vitendo hivi vifanyike hadharan yaan waruhusiwe kufunga ndoa, kuonekana hadharan km mke na mme
 
Mnaacha kuhangaika na wezi serikalini mhangaika na mtu mmojammoja,mi hata nimuone shoga yule pale ,sinto thubutu kumfanya lolote,maana hana madhara kwangu,ni yeye na family yake na mungu wake,kama anachofanya ni chukizo sana ,ni kazi ya mungu kumuua siyo mimi,kumuua ni kumfanya mungu aliyemuacha kuwa hana akili zaidi yako,sitaki kuingilia kazi za mungu,mimi mwenyewe nina madhambi yangu pia na siyo msafi,usiniambie kuwa dhambi ya ushoga ni kubwa kuliko dhambi ya uaji
 
Nilikuwa nasikia tu kuwa Chadema ni watetezi wa Ushoga na Usagaji na hawawezi kukosoa vitendo hivyo kwasababu wanaogopa kuwaudhi wafadhili wao wa Magharibi.

Nimeona Clip ya God bless Lema akiulizwa na Muandishi juu ya Msimamo wake kuhusu Ushoga na Usagaji, EBWANA JAMAA KAPIGA SOUND LA KUJIUMAUMA NA HAJAELEZA KAMA NI JAMBO BAYA NA WALA HAJAKOSOA.

KWA HILI KWA KWELI WA TANZANIA PIMENI WENYEWE IKITOKEA HIKI CHAMA KUPEWA NCHI ITAKUWAJE KWA VIZAZI VIJAVYO. NI MARA KUMI CHAMA CHA HASHIMU RUNGWE KITAWALE .

MUNGU EPUSHA NCHI YETU KUONGOZWA NA WATETEZI WA YALIYOKUKASIRISHA KULE SODOMA NA GOMORA
 
Nilikuwa nasikia tu kuwa Chadema ni watetezi wa Ushoga na Usagaji na hawawezi kukosoa vitendo hivyo kwasababu wanaogopa kuwaudhi wafadhili wao wa Magharibi.

Nimeona Clip ya God bless Lema akiulizwa na Muandishi juu ya Msimamo wake kuhusu Ushoga na Usagaji, EBWANA JAMAA KAPIGA SOUND LA KUJIUMAUMA NA HAJAELEZA KAMA NI JAMBO BAYA NA WALA HAJAKOSOA.

KWA HILI KWA KWELI WA TANZANIA PIMENI WENYEWE IKITOKEA HIKI CHAMA KUPEWA NCHI ITAKUWAJE KWA VIZAZI VIJAVYO. NI MARA KUMI CHAMA CHA HASHIMU RUNGWE KITAWALE .

MUNGU EPUSHA NCHI YETU KUONGOZWA NA WATETEZI WA YALIYOKUKASIRISHA KULE SODOMA NA GOMORA
Anzia na Serikali na CCM yako, sawa sawa?
Screenshot_20210126-171647.jpg


Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Nilikuwa nasikia tu kuwa Chadema ni watetezi wa Ushoga na Usagaji na hawawezi kukosoa vitendo hivyo kwasababu wanaogopa kuwaudhi wafadhili wao wa Magharibi.

Nimeona Clip ya God bless Lema akiulizwa na Muandishi juu ya Msimamo wake kuhusu Ushoga na Usagaji, EBWANA JAMAA KAPIGA SOUND LA KUJIUMAUMA NA HAJAELEZA KAMA NI JAMBO BAYA NA WALA HAJAKOSOA.

KWA HILI KWA KWELI WA TANZANIA PIMENI WENYEWE IKITOKEA HIKI CHAMA KUPEWA NCHI ITAKUWAJE KWA VIZAZI VIJAVYO. NI MARA KUMI CHAMA CHA HASHIMU RUNGWE KITAWALE .

MUNGU EPUSHA NCHI YETU KUONGOZWA NA WATETEZI WA YALIYOKUKASIRISHA KULE SODOMA NA GOMORA
Kiongozi gani wa sasa wa juu wa serikali ya CCM ambae amewahi kufanya hicho unachotaka Lema afanye?

Amandla...
 
Mnaacha kuhangaika na wezi serikalini mhangaika na mtu mmojammoja,mi hata nimuone shoga yule pale ,sinto thubutu kumfanya lolote,maana hana madhara kwangu,ni yeye na family yake na mungu wake,kama anachofanya ni chukizo sana ,ni kazi ya mungu kumuua siyo mimi,kumuua ni kumfanya mungu aliyemuacha kuwa hana akili zaidi yako,sitaki kuingilia kazi za mungu,mimi mwenyewe nina madhambi yangu pia na siyo msafi,usiniambie kuwa dhambi ya ushoga ni kubwa kuliko dhambi ya uaji
Ujambo Pimbi
 
Hao wanadhaminiwa na mabeberu kwahiyo hawawezi kuwasarti kwenye misimamo
 
Nilikuwa nasikia tu kuwa Chadema ni watetezi wa Ushoga na Usagaji na hawawezi kukosoa vitendo hivyo kwasababu wanaogopa kuwaudhi wafadhili wao wa Magharibi.

Nimeona Clip ya God bless Lema akiulizwa na Muandishi juu ya Msimamo wake kuhusu Ushoga na Usagaji, EBWANA JAMAA KAPIGA SOUND LA KUJIUMAUMA NA HAJAELEZA KAMA NI JAMBO BAYA NA WALA HAJAKOSOA.

KWA HILI KWA KWELI WA TANZANIA PIMENI WENYEWE IKITOKEA HIKI CHAMA KUPEWA NCHI ITAKUWAJE KWA VIZAZI VIJAVYO. NI MARA KUMI CHAMA CHA HASHIMU RUNGWE KITAWALE .

MUNGU EPUSHA NCHI YETU KUONGOZWA NA WATETEZI WA YALIYOKUKASIRISHA KULE SODOMA NA GOMORA
Iko wapi hiyo clip?

Make it practical tuone na sisi hicho kigugumizi. Acha hisia na theories za kubumba..
 
Nilikuwa nasikia tu kuwa Chadema ni watetezi wa Ushoga na Usagaji na hawawezi kukosoa vitendo hivyo kwasababu wanaogopa kuwaudhi wafadhili wao wa Magharibi.

Nimeona Clip ya God bless Lema akiulizwa na Muandishi juu ya Msimamo wake kuhusu Ushoga na Usagaji, EBWANA JAMAA KAPIGA SOUND LA KUJIUMAUMA NA HAJAELEZA KAMA NI JAMBO BAYA NA WALA HAJAKOSOA.

KWA HILI KWA KWELI WA TANZANIA PIMENI WENYEWE IKITOKEA HIKI CHAMA KUPEWA NCHI ITAKUWAJE KWA VIZAZI VIJAVYO. NI MARA KUMI CHAMA CHA HASHIMU RUNGWE KITAWALE .

MUNGU EPUSHA NCHI YETU KUONGOZWA NA WATETEZI WA YALIYOKUKASIRISHA KULE SODOMA NA GOMORA
Naungana nawe kumchukia Lema ktk kujituma kwenye msimamo juu ya USHOGA.

USHOGA na Ufiraji tunatakiwa tuutreat kama crime sababu LENGO ni kuondoka uwezo wetu wa kuzaa kuongezeka kama Nchi.

Hawa wapumbavu wametoka huko Kwa mabeberu na agenda za Siri.

Nchi yetu isikubali mashinikizo ya kishetani kulazimisha USHOGA Kwa kigezo Cha DEMOKRASIA au kupata MISAADA.

Ufiraji na USHOGA na usagaji unapaswa uchukuliwe kama crime ya Uchunaji ngozi ya binafamu.

Ktk hili, CCM Ina Afadhali kuliko CDM .

Vyama vya siasa visipopinga na kukemea USHOGA na ufiraji Kwa nguvu,

Tutaanzisha vyama vyetu ktk mfumo wa IMANI yetu ktk MUNGU wetu anayekataa UOVU huo.

Amen
 
Back
Top Bottom