Ungeweka hicho kifungu kinachosema shoga auwawe ungesaidia wengi.Mwambie Lema hivi Yeye ni Mkristo...na Kitabu chake kitakatifu cha Biblia ....Walawi 20.13 mwambie inamtaka kuwa bahasha na shoga wote wauae kama haamini Biblia Mwambie atuambie Yeye ni Imani Gani
Maelekezo ya Mwenyenzi Mungu Mtakatifu yanasema Hivyo na Yeye anapingana na Mwenyenzi Mungu Mtakatifu anayemuamini shida Nini?
NI KWELI.Yuko sahihi, umuadhibu mtu kwa kufanya maamuzi ya maisha yake mwenyewe ambayo hayana athari yeyote kwenye maisha yako kama sio uonevu ni nini?
Mambo ya Walawi 20:13 SRUV
Tena mwanamume akilala pamoja na mwanamume, kama alalavyo na mwanamke, wote wawili wamefanya machukizo; hakika watauawa; damu yao itakuwa juu yao.
Walawi 20.13 kinasema Basha na Shoga wote wauawe wote wawili anayefanya na anayefanyiwaUngeweka hicho kifungu kinachosema shoga auwawe ungesaidia wengi.
Ndio inayokuambia ufanye ushoga hiyo amri ya 8AMRI YA NANE YA MUNGU: USIUE.
MUNGU WENU WA KIKRISTO ANA MKANGANYIKO (A CONTRADICTORY GOD).
HAPO UMEAMBIWA UMUUE SHOGA KWA PANGA, HALAFU HAPO HAPO UMEKATAZWA KUUA.
NA UKIUA MTU, SISI WALINZI WA JAMUHURI TUTAKUSHUGHULIKIA PIA KWA MAPANA NA MAREFU YA SHERIA ZA NCHI ZILIZOWEKWA.
IN LIGHT OF THE ABOVE, YOUR BIBLE BECOMES REDUNDANT AND OBSOLETE.
UNAPENDA MBORO?Ndio inayokuambia ufanye ushoga hiyo amri ya 8
Walawi ni agano la kale au jipya?Walawi 20.13 kinasema Basha na Shoga wote wauawe wote wawili anayefanya na anayefanyiwa
Sisi Wakristo Tunamatatizo sana ninampango mbeleni nisipokuwa Othodox church [emoji547]️ nitakuwa Huko naona huko wanakwenda na Asili ya mafunzo ya Dini
HEBU ANZA KUWAUWA TUONE.Walawi 20.13 kinasema Basha na Shoga wote wauawe wote wawili anayefanya na anayefanyiwa
Halafu pia watu wote sio wakristo.Walawi ni agano la kale au jipya?
Agano jipya tunafundishwa zaidi kumwachia Mungu, hatujawahi kupewa mamlaka ya kuua.
Halafu tatizo mabasha hawajulikani kivile, mnawaonea tu mashoga wanaoingiliwa. Mtoto amekuwa abused tangu mdogo na ndugu yake, kiongozi wa dini, mwalimu...akiwa mkubwa umuonee kwa kutaka kumuua huoni kama unakosea? Basi watenda dhambi wote wauwawe kwanini tukomae na washoga peke yao?
Haijatungwa sheria kivipi wakati juzi hapa mtu kapigwa miaka 30.?Unamshangaa Lema lakini hauishangai serikali kutotunga Sheria ya adhabu Kwa wanaojihusisha na ushoga, bila kutunga Sheria maana yake yameruhusiwa yafanyike tu
Upo sahihi. Hatuwezi kutumia kitabu cha imani moja kujustify hukumuHalafu pia watu wote sio wakristo.
Kitabu cha biblia hakiwezi kutumika dhidi ya wasio wa imani hiyo.
Sasa mbona kuna mashoga mitandaoni wapo wazi wazi serikali imeshindwa kuwakamata au tatizo ni nini?Haijatungwa sheria kivipi wakati juzi hapa mtu kapigwa miaka 30.?
Hata kwenye penal code ipoSasa mbona kuna mashoga mitandaoni wapo wazi wazi serikali imeshindwa kuwakamata au tatizo ni nini?
Wana haki zao wale tunapiga tu kelele hapa lakini mambo yatabaki hivi hivi milele na milele amina.
Sijawahi kuona jambazi akijinadi kwamba kavamia sehemu kaiba na kuua. Ila hakika ruben kasema wazi kwamba anafukuliwa na basha wake kamtaja lakini anadunda tu.Hata kwenye penal code ipo
Ni kama tu kulivyo na wezi,mafisadi,wakwepa Kodi mtaani wanavyotamba na sheria ipo
Ukristo ndio unawataka mfatilie maisha ya watu?Sio Mkristo Wewe ni Mpagani