Lema awataja Mawaziri wanaomtukana Rais Samia

Lema awataja Mawaziri wanaomtukana Rais Samia

Sikiliza hapa:



Katika Mkutano huo wa Hadhara jijini Arusha Gobless Lema amedokeza kuwa wapo baadhi ya Viongozi wa Serikali wanamtulana Rais Samia. Akifafanua jambo hilo Lema anasema:

"Natoa maelekezo kwa Viongozi wa Kanda na Makatibu Rais Samia yupo Arusha apewe Kadi ya CHADEMA. Anatukanwa na wakina Mwigulu, Kina January, Majaliwa, Ummy Mwalimu, Mawaziri wote wanamtukana Rais jamani.

"Anaenda wapi yule Mama wa watu, wanamtukanaje Mimi Sijui lakini wanamtukana."


pia soma
-
Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri
Nape yumo, Saashisha mbunge yumo, Mbunge wa Nzega vijijini yumo, DC Nzega yumo, RC Lindi yumo, orodha ni kubwa
 
Arusha kichaa amekutana na chizi ni kuruka majoka tuu kila mmoja na jalala lake
 
Sikiliza hapa:



Katika Mkutano huo wa Hadhara jijini Arusha Gobless Lema amedokeza kuwa wapo baadhi ya Viongozi wa Serikali wanamtulana Rais Samia. Akifafanua jambo hilo Lema anasema:

"Natoa maelekezo kwa Viongozi wa Kanda na Makatibu Rais Samia yupo Arusha apewe Kadi ya CHADEMA. Anatukanwa na wakina Mwigulu, Kina January, Majaliwa, Ummy Mwalimu, Mawaziri wote wanamtukana Rais jamani.

"Anaenda wapi yule Mama wa watu, wanamtukanaje Mimi Sijui lakini wanamtukana."

pia soma
-
Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri
Makonda ni mropokaji, lakini kuna mambo anayoyaongea yana ukweli. Rais amerithi mawaziri wengi ikiwamo Waziri Mkuu kutoka kws JPM, kama akijiridhisha na ikithibitika kuwa wasaidizi wake wa karibu wanamnanga namna hiyo, atawajibika kulivunja baraza la mawaziri mara moja.
 
Sikiliza hapa:



Katika Mkutano huo wa Hadhara jijini Arusha Gobless Lema amedokeza kuwa wapo baadhi ya Viongozi wa Serikali wanamtulana Rais Samia. Akifafanua jambo hilo Lema anasema:

"Natoa maelekezo kwa Viongozi wa Kanda na Makatibu Rais Samia yupo Arusha apewe Kadi ya CHADEMA. Anatukanwa na wakina Mwigulu, Kina January, Majaliwa, Ummy Mwalimu, Mawaziri wote wanamtukana Rais jamani.

"Anaenda wapi yule Mama wa watu, wanamtukanaje Mimi Sijui lakini wanamtukana."


pia soma
-
Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri
Paul katishia kuwataja ila Lema yeye hana Mbambamba.
 
"Battle in Chuga" ni bonge la movie stelingi jasusi bashite vs kubwa la madui Chalii leema. Wacha tuone hii tifu itavyokuwa!! Hizi ni trela tuu movie ndoinaanza popcorn muhimu jameni...
 
Back
Top Bottom