Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu wapo serious sana😂Ukichangia wewe inatosha braza
Hunishindi mimi japo sijaisikiliza 🤣Nimelia....
Lukas Mwashambwa kalia zaidi yako.Nimelia....
Makonda na Lema ni Spika wa mamaKwahio Lema anamsaidia makonda sio!?
Nape yumo, Saashisha mbunge yumo, Mbunge wa Nzega vijijini yumo, DC Nzega yumo, RC Lindi yumo, orodha ni kubwaSikiliza hapa:
Katika Mkutano huo wa Hadhara jijini Arusha Gobless Lema amedokeza kuwa wapo baadhi ya Viongozi wa Serikali wanamtulana Rais Samia. Akifafanua jambo hilo Lema anasema:
"Natoa maelekezo kwa Viongozi wa Kanda na Makatibu Rais Samia yupo Arusha apewe Kadi ya CHADEMA. Anatukanwa na wakina Mwigulu, Kina January, Majaliwa, Ummy Mwalimu, Mawaziri wote wanamtukana Rais jamani.
"Anaenda wapi yule Mama wa watu, wanamtukanaje Mimi Sijui lakini wanamtukana."
pia soma
- Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri
Ndio maana yake. Na Lema anajua ya kwamba ili a trend LAZIMA atembelee nyota ya Makonda!Kwahio Lema anamsaidia Makonda sio!?
Pole babyNimelia....
Makonda ni mropokaji, lakini kuna mambo anayoyaongea yana ukweli. Rais amerithi mawaziri wengi ikiwamo Waziri Mkuu kutoka kws JPM, kama akijiridhisha na ikithibitika kuwa wasaidizi wake wa karibu wanamnanga namna hiyo, atawajibika kulivunja baraza la mawaziri mara moja.Sikiliza hapa:
Katika Mkutano huo wa Hadhara jijini Arusha Gobless Lema amedokeza kuwa wapo baadhi ya Viongozi wa Serikali wanamtulana Rais Samia. Akifafanua jambo hilo Lema anasema:
"Natoa maelekezo kwa Viongozi wa Kanda na Makatibu Rais Samia yupo Arusha apewe Kadi ya CHADEMA. Anatukanwa na wakina Mwigulu, Kina January, Majaliwa, Ummy Mwalimu, Mawaziri wote wanamtukana Rais jamani.
"Anaenda wapi yule Mama wa watu, wanamtukanaje Mimi Sijui lakini wanamtukana."
pia soma
- Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri
Paul katishia kuwataja ila Lema yeye hana Mbambamba.Sikiliza hapa:
Katika Mkutano huo wa Hadhara jijini Arusha Gobless Lema amedokeza kuwa wapo baadhi ya Viongozi wa Serikali wanamtulana Rais Samia. Akifafanua jambo hilo Lema anasema:
"Natoa maelekezo kwa Viongozi wa Kanda na Makatibu Rais Samia yupo Arusha apewe Kadi ya CHADEMA. Anatukanwa na wakina Mwigulu, Kina January, Majaliwa, Ummy Mwalimu, Mawaziri wote wanamtukana Rais jamani.
"Anaenda wapi yule Mama wa watu, wanamtukanaje Mimi Sijui lakini wanamtukana."
pia soma
- Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri
Watajuana wenyewe bwana......ndio wanaokula Nchi na hayo wayake pia.Mambo hadharani, hakuko shwari ndani ya chama dola kongwe CCM
Hapa Katia Petrol😂😂Lema chochea kuni