Lema awataja Mawaziri wanaomtukana Rais Samia

Lema awataja Mawaziri wanaomtukana Rais Samia

Alete ushshidi, ama sivyo ni fitna na majungu.

..Ccm wamekuwa na tabia wakikosolewa wanadai wametukanwa.

..Hakuna viongozi wanaotukanwa nchi hii kama wapinzani.

..Uvccm wametukanwa viongozi wa upinzani matusi ya kila aina.

..Namshauri Rais avumilie kukosolewa,kulaumiwa, na hata kutukanwa. Yote hayo ni sehemu ya uongozi.
 
..Ccm wamekuwa na tabia wakikosolewa wanadai wametukanwa.

..Hakuna viongozi wanaotukanwa nchi hii kama wapinzani.

..Uvccm wametukanwa viongozi wa upinzani matusi ya kila aina.

..Namshauri Rais avumilie kukosolewa,kulaumiwa, na hata kutukanwa. Yote hayo ni sehemu ya uongozi.
Hapa lkn kinachojadiliwa Mkuu ni RAIS wa nchi mwenye Mamlaka kamili na siyo Kiongozi/Mwenyekiti wa Chama. Tusipokuwa na tabia ya kuheshimu Mamlaka, hata ndani ya Vyama vyetu tutaendeleza tabia hizo za kuwakujeli na kuwatukana Viongozi wetu tuliowachagua wenyewe.

Ninachotaka kusema hapa ni kwamba, mbegu hii ya chuki kejeli na matusi yalipandwa na Uvccm na kupaliliwa kuwekewa mbolea na Viongozi wao Kitaifa, kwa Wapinzani wao hasa nje ya chama Chao. Sasa mazao yamekomaa yanahitaji kuvunwa. CCM wanataka kuyakimbia mazao yao.

Tizama wanaodaiwa kumtukana Rais ni wale wale waliowafundisha wenyewe. Siyo walio nje ya CCM.
 
Hapa lkn kinachojadiliwa Mkuu ni RAIS wa nchi mwenye Mamlaka kamili na siyo Kiongozi/Mwenyekiti wa Chama. Tusipokuwa na tabia ya kuheshimu Mamlaka, hata ndani ya Vyama vyetu tutaendeleza tabia hizo za kuwakujeli na kuwatukana Viongozi wetu tuliowachagua wenyewe.

Ninachotaka kusema hapa ni kwamba, mbegu hii ya chuki kejeli na matusi yalipandwa na Uvccm na kupaliliwa kuwekewa mbolea na Viongozi wao Kitaifa, kwa Wapinzani wao hasa nje ya chama Chao. Sasa mazao yamekomaa yanahitaji kuvunwa. CCM wanataka kuyakimbia mazao yao.

Tizama wanaodaiwa kumtukana Rais ni wale wale waliowafundisha wenyewe. Siyo walio nje ya CCM.

..mimi naona wavumilie tu.

..waache kudeka'deka kama watoto wadogo.

..tunamzungumzia Amiri Jeshi Mkuu hapa.

..kama matusi yanampa shida, ,Je, ataweza kutuongoza vitani?
 
Hizi nguvu, kejeli na whatnot tuelekeze kwenye Kumtetea Peasant kule Kijijini na Mbagaizaji kitaa kwa matusi anayopokea kila siku kutoka kwa walamba Asali.... Bila kumsahau mlipa Kodi ambaye Tozo zinamfilisi na Kodi yake inatafunwa...
 
..mimi naona wavumilie tu.

..waache kudeka'deka kama watoto wadogo.

..tunamzungumzia Amiri Jeshi Mkuu hapa.

..kama matusi yanampa shida, ,Je, ataweza kutuongoza vitani?

eti amiri jeshi mkuu? ahhaha ahahahaha ahahaha hahahah hahaha ahah😂😂😂😂😂😂
 
Hapa lkn kinachojadiliwa Mkuu ni RAIS wa nchi mwenye Mamlaka kamili na siyo Kiongozi/Mwenyekiti wa Chama. Tusipokuwa na tabia ya kuheshimu Mamlaka, hata ndani ya Vyama vyetu tutaendeleza tabia hizo za kuwakujeli na kuwatukana Viongozi wetu tuliowachagua wenyewe.

Ninachotaka kusema hapa ni kwamba, mbegu hii ya chuki kejeli na matusi yalipandwa na Uvccm na kupaliliwa kuwekewa mbolea na Viongozi wao Kitaifa, kwa Wapinzani wao hasa nje ya chama Chao. Sasa mazao yamekomaa yanahitaji kuvunwa. CCM wanataka kuyakimbia mazao yao.

Tizama wanaodaiwa kumtukana Rais ni wale wale waliowafundisha wenyewe. Siyo walio nje ya CCM.
nimeandika na kufuta, sitaki kuchafua cv yangu kama mtumishi. Mungu ibariki Tanzania. Ila, heshimuni viongozi wenu maana Mungu anawatumia kutuongoza. na ninyi viongozi, mkikosea mnapokosolewa msikimbilie kusema mnatukanwa. mkiiba tutawaambia ninyi wezi, mkifanya uchafu tutawaambia ninyi wachafu, muache dhambi mrudieni Mungu. Ila hekima na busara hata za adabu ya kawaida tu ya kufunzwa na wazazi wako zitumike basi,
 
nimeandika na kufuta, sitaki kuchafua cv yangu kama mtumishi. Mungu ibariki Tanzania. Ila, heshimuni viongozi wenu maana Mungu anawatumia kutuongoza. na ninyi viongozi, mkikosea mnapokosolewa msikimbilie kusema mnatukanwa. mkiiba tutawaambia ninyi wezi, mkifanya uchafu tutawaambia ninyi wachafu, muache dhambi mrudieni Mungu. Ila hekima na busara hata za adabu ya kawaida tu ya kufunzwa na wazazi wako zitumike basi,

..mbona wapinzani wametukanwa na Uvccm matusi makubwa zaidi?
 
Back
Top Bottom