Lema awataja Mawaziri wanaomtukana Rais Samia

Lema awataja Mawaziri wanaomtukana Rais Samia

Mmmhhhh...!!! Hili nalo ni kuangalia kwa jicho la ndani zaidi, usikute ni kumchonganisha Mkuu wa nchi na wasaidizi wake wa karibu, sio jambo la kukurupuka, vyombo vipo vifanye kazi yake
Makonda hakupaswa kuachwa ashuke kwenye podium hiyo Jana bila kuwataja. Alipaswa kuwataja na kuweka ushahidi hadharani or else Kisongo ingemhusu Jana hiyo hiyo.
 
Chadema huwa hawana sera wanadandia dandia hoja za viongozi wa CCM

Mfano leo mkuu wa wilaya akijinyenyea hadharami kesho itakuwa ndio hoja kuuya Chadema ya mikutano ya hadhara na maandamano .Hotuba zikijikita kwenye kujinyea kwa mkuu wa wilaya
Na wewe mkuu wa wilaya kwanini ujinyee kama sio Kichaa?
 
Sikiliza hapa:



Katika Mkutano huo wa Hadhara jijini Arusha Gobless Lema amedokeza kuwa wapo baadhi ya Viongozi wa Serikali wanamtulana Rais Samia. Akifafanua jambo hilo Lema anasema:

"Natoa maelekezo kwa Viongozi wa Kanda na Makatibu Rais Samia yupo Arusha apewe Kadi ya CHADEMA. Anatukanwa na wakina Mwigulu, Kina January, Majaliwa, Ummy Mwalimu, Mawaziri wote wanamtukana Rais jamani.

"Anaenda wapi yule Mama wa watu, wanamtukanaje Mimi Sijui lakini wanamtukana."


pia soma
-
Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri
Sema tupo na katiba ya kipumbavu , inatakiwa kuwa na katiba ambayo ukisha kuwa rais teuwa watu lingana na upeo wao , Lema ni moja ya watu walitakiwa kuwa kwenye baraza la Mawaziri sema ccm wao huangalia nani anatoka familia ipi ,uchama mbele kuliko taifa

Chadema mkiwa madarakani 2025 uchaguzi ukifanyika ondoeni ujinga huu, kwamba mtu yupo chama flani yupo na uwezo mpe nafasi atumikie taifa.

Vinginevyo na nyie moto utawaka , Mh lissu afikishiwe ujumbe huu
 
Lemma nae ana kiherehere sana. Yaani anapenda sana kudandia dandia mambo. Yaani hapo kaona amuwahi makonda. Na hapo hana facts zozote ni kuropoka tu. Watu wakiishiwa hoja huja na vioja
Ndio maana kapewa jina la imakulata ambalo tafsiri yake ni mwanamke kiherehere
 
Sikiliza hapa:



Katika Mkutano huo wa Hadhara jijini Arusha Gobless Lema amedokeza kuwa wapo baadhi ya Viongozi wa Serikali wanamtulana Rais Samia. Akifafanua jambo hilo Lema anasema:

"Natoa maelekezo kwa Viongozi wa Kanda na Makatibu Rais Samia yupo Arusha apewe Kadi ya CHADEMA. Anatukanwa na wakina Mwigulu, Kina January, Majaliwa, Ummy Mwalimu, Mawaziri wote wanamtukana Rais jamani.

"Anaenda wapi yule Mama wa watu, wanamtukanaje Mimi Sijui lakini wanamtukana."

pia soma
-
Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri
Hii list haiko mbali na ya makonda
 
Makonda hakupaswa kuachwa ashuke kwenye podium hiyo Jana bila kuwataja. Alipaswa kuwataja na kuweka ushahidi hadharani or else Kisongo ingemhusu Jana hiyo hiyo.
Vp kuhusu huyo mwehu aliyetaja majina kabisa tena bila ushahidi?
 
Ameona aungane na makonda kwenye one one two sawa tumekuelewa, dj tulete na nyimbo ya utaipenda tukate kiuno kwa pamoja
Hujaelewa anachokifanya Lemma,anawapigisha shoti maccm,kifupi anachochea kuni moto ukolee
 
Vp kuhusu huyo mwehu aliyetaja majina kabisa tena bila ushahidi?
Majina yametajwa Jana na Makonda aliposema wamo na mawaziri. Alivhofanya Lema ni kuanza kutaka randomly mifano ya mawaziri.

Lema kacheza na lugha tu kwa kile alichokisema Makonda Jana. Ndiyo maana hutasikia akoshitakiwa
 
Back
Top Bottom