Acha kuiga Lugha za kihuni na kuleta hapa ili uonekane na ww unaenda na wakati. Anajikutaga ndio nini?Yaani mnavyozidi kumchukia ndivyo atazidi kuwa Juu..
Kwani Lema yeye ni nani hasa Hadi ajitwalie mamlaka ya kuhukumu? Atashushwa yeye,anajikutaga special sana huyo.
Sawa, shangilieni tu wenzenu wakifa na ueni,mtadunda.Ila kumbukeni Mungu hadhihakiwi.Kwa hiyo kama tunapita? Alijisahau Kwa lipi? Watu wanaua sembuse kushangilia mtesi wako kufa? Na wanadunda tuu so Acha upuuzi
Ugomvi wa Mchaga na Msambaa sio kitu kigeni muamuzi anatakiwa awe Mpare😆LEMA sio mbaya ukitunisha msuri lakini huyo unaye mtunishia unamjua?
Lema naye yale manguo ya wafungwa wa kipalestina ya nini kwenye msiba ,wanamaridhiano ila vichwani wako empty kabisa"...ulikimbia Nchi na kuishi Ughaibuni kwa fedheha tumepigana umerejea bado unaendelea na mambo yako ya kishamba ya magwanda huna shukrani kabisa!"
Inasemekana ndiyo maneno ya kifedhuri aliyoelezwa Lema jana na kipara.
Mtaje mkuuUmemsahau mmoja !
Kwakweli !Afadhali useme, maana tumechoka [emoji3062]
Jamani Watanzania tumwendee Mwenye Enzi Mungu atusaidie kuhusu hawa watu wanao fuja pesa za Watanzania!
Tumlilie Mola wetu!
Kweli nawaambia Mwenye Enzi Mungu ana tenda.
Tuiombee nchi yetu jamani[emoji24][emoji24][emoji24] sio kila siku unaombea family yako tu na nchi una I sahau!
Tufunge na kuomba kwani Mwenye Enzi Mungu ni mwaminifu sana sana![emoji24][emoji24]
Mbona CCM wanavaa magwanda yao meusi na kijani lakini hawakoromewi."...ulikimbia Nchi na kuishi Ughaibuni kwa fedheha tumepigana umerejea bado unaendelea na mambo yako ya kishamba ya magwanda huna shukrani kabisa!"
Inasemekana ndiyo maneno ya kifedhuri aliyoelezwa Lema jana na kipara.
Mtoto wa mkuu !Mtaje mkuu
Inasemekena !."...ulikimbia Nchi na kuishi Ughaibuni kwa fedheha tumepigana umerejea bado unaendelea na mambo yako ya kishamba ya magwanda huna shukrani kabisa!"
Inasemekana ndiyo maneno ya kifedhuri aliyoelezwa Lema jana na kipara.
Sio lema nayemjua! Kama Kuna watu Mafia nchi hi Lema naye mpe maua.... yake bila kujali yupo upande upi.Huyu atakuwa amechoka na maisha, anataka kui test sumu kwa kuionja! Sasa hivi tutamsahau!
P
Lema alilalamika kwanini hakusema kwa niaba ya Vyama vya siasa? Si unajua tena CDM wanajifanya ndo wenye maridhianoHiyo picha nasikia Nape na Kipara walikuwa wanamchana aache ushamba wa kuvaa gwanda za CDM hadi misibani
Lugha ya kihuni kama ipi? Kwani nani kakwambia Nina shida ya kukuonesha wewe naenda na mda? Acha ujingaAcha kuiga Lugha za kihuni na kuleta hapa ili uonekane na ww unaenda na wakati. Anajikutaga ndio nini?
Bahati nzuri wewe sio Mungu,mbona unayenda dhambi nyingi tuu na unamdhihaki?Sawa, shangilieni tu wenzenu wakifa na ueni,mtadunda.Ila kumbukeni Mungu hadhihakiwi.
Mbona zungu usemi? Alivaa nnLema naye yale manguo ya wafungwa wa kipalestina ya nini kwenye msiba ,wanamaridhiano ila vichwani wako empty kabisa
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimechomwa kwenye buttocks zakoPovu......umechomwa sehemu gani ya mwili kiasi cha kuruka juu namna hii?