Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wew una kitu gani ndugu yangujanuary anatakiwa kujua kuwa anabebwa sana lkn kichwani sio mzuri kabisa.
Hana kitu cha kujisifia kuwa amekifanya zaidi ya kuwa 'mpiga deal'
Sijasema napendwa,ila ndio ukweli.Siku zote lazima tukumbuke kwamba Duniani tunapita tu.Mkuu Membe alijisahau sana,akadhani Duniani kafika,kumbe ni mpita njia.Yaani hapo unaongea kana kwamba wewe hutokufa na unapendwa sana 🤣🤣🤣🤣🤣
Kijana usicheze na ManabiiYaani mnavyozidi kumchukia ndivyo atazidi kuwa Juu..
Kwani Lema yeye ni nani hasa Hadi ajitwalie mamlaka ya kuhukumu? Atashushwa yeye,anajikutaga special sana huyo.
Mpuuzi mmja tuu huyu
Kwa hiyo kama tunapita? Alijisahau Kwa lipi? Watu wanaua sembuse kushangilia mtesi wako kufa? Na wanadunda tuu so Acha upuuziSijasema napendwa,ila ndio ukweli.Siku zote lazima tukumbuke kwamba Duniani tunapita tu.Mkuu Membe alijisahau sana,akadhani Duniani kafika,kumbe ni mpita njia.
Mtanikumbuka 😀!Sasa hivi tutamsahau![emoji3064][emoji848][emoji2827] Kumbe kutishiana uhai bado kupo
Umemsahau mmoja !Makamba, Jafo, Mchengerwa, Aweso, Ummy, Mwigulu, Mbarawa na Nape ni watoto wa Rais na siyo mawaziri
Hana loloteCheka na mamba ukiwa nje ila onyo ukiwa ndani ya maji....
LEMA sio mbaya ukitunisha msuri lakini huyo unaye mtunishia unamjua?
Nani hana lolote J au L?
Povu......umechomwa sehemu gani ya mwili kiasi cha kuruka juu namna hii?Yaani mnavyozidi kumchukia ndivyo atazidi kuwa Juu..
Kwani Lema yeye ni nani hasa Hadi ajitwalie mamlaka ya kuhukumu? Atashushwa yeye,anajikutaga special sana huyo.
Inaonesha januari alitoa maneno makali ambayo hata Nape yalimshitua kidogo akawa anajaribu kutuliza munkar uliokuwepo pale ! Hivyo ndivyo inavyojieleza hiyo pichaHiyo posture yake inaonekana kapoteza confidence.. . Hapo ukute anaelekezwa na kupewa maagizo na maonyo.. 🤣 🤣