Lema: January Makamba, Wewe ni waziri siyo first born wa Rais Samia

Lema: January Makamba, Wewe ni waziri siyo first born wa Rais Samia

Yaani hapo unaongea kana kwamba wewe hutokufa na unapendwa sana 🤣🤣🤣🤣🤣
Sijasema napendwa,ila ndio ukweli.Siku zote lazima tukumbuke kwamba Duniani tunapita tu.Mkuu Membe alijisahau sana,akadhani Duniani kafika,kumbe ni mpita njia.
 
Ukiona hivyo ujue tayar amesha jaa. Yaweza kuwa inatafutwa tu namna ya uhalalishaji.

“Men at work”.
 
Chadema na genge lao wanatafuta mileage kwenye social networks.

Kwa ufupi upinzani hawana sera mpya baada ya ile ya kumnanga jiwe
 
Hiyo posture yake inaonekana kapoteza confidence.. . Hapo ukute anaelekezwa na kupewa maagizo na maonyo.. 🤣 🤣
Inaonesha januari alitoa maneno makali ambayo hata Nape yalimshitua kidogo akawa anajaribu kutuliza munkar uliokuwepo pale ! Hivyo ndivyo inavyojieleza hiyo picha
 
Back
Top Bottom