Tetesi: Lema kutimkia CCM

Tetesi: Lema kutimkia CCM

kupokelewa muda wowote tangu sasa, maandalizi yote muhimu yamekamilika...

maombi yake ya kujiunga CCM yalipokelewa mda mrefu sana tu, ni taratibu za kichama tu ndio zilikua zikisubiriwa zikamilike na apokelewe rasmi...

ataambatana na viongozi waandamizi wenzie kadhaa kutoka kanda ya kaskazini na kuna moja kutoka kanda ya nyasa, na wengine wawili ni wa chama kingine tofauti na chadema
mnyetishaji alidokeza...

kilicho chochea uamuzi huo ni mgawanyiko ndani ya Chadema, inayochochewa na viongozi wakuu kutokubaliana katika baadhi ya mambo ya ndani ya chama, hususani nafasi ya uenyekiti wa chama Taifa, maridhiano na CCM, rushwa, upendeleo na matumizi mabaya ya fedha kwenye chaguzi wa kanda, wabunge 19 wa COVID-19, na mgombea urasi kupitia chadema 2025....

baada ya kutathimini hali hiyo ya mvutano na kuona kwamba haitakua na mwisho mwema, lema alianza kujiweka pembeni na baadae akajitenga kabisa na shughuli za chama pamoja na uongozi wa juu chadema, na ndipo sasa baada ya kutafakari kwa kina, uamuzi wa kujiunga CCM ukaibuka na kupewa kipaumbele na umuhimu wa kipekee, na akaamua kuchukua hatua...

mnyetishaji alidokeza na kuendelea kueleza kwamba...

ndipo kamanda lema akaamua kuandika barua kupitia mwandamizi moja wa CCM taifa, na kwa kupitia tawi la CCM la karibu aliloko Lema, alimshauri awasilishe maombi yake huko, kwa mujibu wa kanuni, taratibu na sheria za chama kupokea wanachama wapya, kwa ahadi kwamba muandamizi huyo atapushi jambo lake na kumuandalia mapokezi ya heshima ndugu lema kwa platform ya kitaifa kupitia tawi hilo....

muda utaongea zaidi,
lema atalamba dume ccm kama wengine au atalamba garasa? 🐒
Sio lema uyu , labda lema punguani , mpumbavu copy ya lema original ninae mfaham kutoka chadema ,

Lema anaweza achana na chadema ila hawezi jiunga ccm bali achana na siasa na kufanya mambo yake ,Msigwa nina mashaka naye anaweza kwa kipindi ichi simwelewi.

La mwisho anaye taka kuondoka aondoke bwana ,chadema ni taasisi siyo mtu wameondoka wangapi ,potelea pote ,pumbavu
 
Propaganda za kijinga sana tena duni mno! Tangu uingie JF wewe ni tetesi tu, hivi hujawahi kuwa na habari zingine?

Hakika ccm ina vijana Wajinga sana!

Sasa hapa unatafuta Posho au unataka "LIKE" za jf?

View attachment 3018892
Jinga sana hili, mkuu, so kwa akili yake anafikili chadema ni Mbowe , lissu ,lemma , mnyika ,msigwa n.k chadema ni taasisi ukitaka ondoka ondoka kwani wameondoka wangapi? Tofaut na ccm inayotegemea watu ili kuendelea sikika
 
Alafu nipo na angalizo kwa machawa wote wa ccm

Naomba machawa wote wa ccm mjikite kwenye tuhuma nzito kwa taifa husu sukari ambayo binfsi nitaipa jina la sukari ya Magendo na uhujumi uchumi wa nchi ,machawa tunataka utetezi wenu kwa hili ,msile pesa ya bure hapa
 
Dhambi hiyo ya usaliti kwa wafuasi Wake ataitubu wapi na lini? Je atasema Chadema mbaya? Kwan hakuna vyama vingine lazima iwe CCM? Ataunga mkono kuuzwa bandari? Siamini kabisa. Maneno yake aliyokuwa anayasema kuhusu CCM atayafuta? Katiba nayo itakuwa imebadilika huko anakokwenda? Tume huru je? Nina maswali kibao .............. Najua ana akili timamu hawezi
political dynamics is living spirit...

hana haja ya kutubu mahali popote, wala hana haja ya kuwajibika kwa yeyote kwenye suala la uhuru na haki yake ya msingi kikatiba kufanya siasa kwenye chama chochote 🐒
 
Kwani tangu kalisit na Milya na nasari watimkie ccm Nini kimebafilika dogo!

Ndo kwanza mpina anasema Ikulu imetoa vibali vya sukari kifisadi

Wazabuni wa serekali wakiwemo wa tanroad hawajalipwa tangu january
Yaani hali mbaya sana wakandarasi na wazabuni wanapumulia mashine fikiria bajeti imesomwa ya 2025/2026 lakini watu hawajalipwa kazi za bajeti iliyopita huko hazina yaelekea kumekauka ukizungumza na wakandarasi wanaambiwa na Tanroads/Tarura pesa hakuna sasa sijui zabuni zinatangazwa za nini
 
theories must be critisised by theories, not mihemko conclusions kamanda 🐒
Sasa wewe theories zako ni zipi kama sio za kijinga na uchawa badilika , ulizaliwa peke yako ,utakufa na kuzikwa peke yako cha msingi angalia nini umeacha kwa vizazi vyako ,watu mia 300 tu ndo wanakula nchi ndani ya ccm nyie kazi yenu kata viuno tu, namanisha mfano anakuja mbunge na waziri kwenye jimbo lako ,fanya mkutano yupo na v8 nyie mnabebana kwenye roli, fuso ,mkokoten ,ndo kukata viuno namanisha mkuu
 
Back
Top Bottom