Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakuwa mchawi wewe siyo bure.Dah..Mheshimiwa Lema amebadilika sana....[emoji13]
Yoyote yule anaweza kuwa na makosa iwe serikali, iwe polisi, iwe hata mwanchi wa kawaida. Hatuwezi ku control human emotional. Lakini chukulia sample hata hapa JF, utapata picha watu walivyo jijengea chuki moyoni kwaajili ya kitu kidogo kinachoitwa"siasa". Mtu anadiriki kusema yeye anaichukia CCM na wana CCM wote, na kusema haitakuja kutojea yeye kuwa na ndugu mwana CCM. Huyo kweli anaelewa maama ya siasa ya vyama vingi? Anaelewa kwamba siasa ya vyama vingi ni kipinga kwa hoja badala ya personal attack?Kuchukia serikali mara nyingi huwa ni ukosoaji wa approach ya serikali kwenye mambo mbalimbali. Na actually, kuichukia serikali au lichama fulani haiwezi kuwa sawa na himizo la kuchukiana wananchi wenyewe kwa wenyewe!
Wakikimbia bunge wanakuwa wamemtukana nani? Madhara ya kukosa cheti hayaKama sio uadui, mbona huwa mnakimbia Bunge?
Kwahiyo rais na yeye analipiza kisasi?Huwezi ukamtukana, kumvunjia Heshima, Au kumdharau Rais,Mwenyekiti wa chama cha hao wabunge, Halafu
hao wabunge waje kukupongeza au kukusalimia kwa mbwembwe!!
Hii inaonyesha na wao wapo kundi moja la kumdharau Rais na Mwenyekiti wao wa chama.
Yote na yote Pongezi kwa kujua huyu ni Mh Rais
safi sana
naona sasa umeanza kujitambua.
Lema Magufuli ndiye Rais wa Tanzania kwa sasa
umpende usimpende ndiye Rais wako,
Jaribu kuwa Na Heshima kwa Mamlaka
Akili hizi wao wakiumizwa wewe ukiwa umejificha kwenye Koti lipiMna wakati mgumu sana upinzani safari hii msipo simama pamoja na kuweka tofauti zenu pembeni sijui hali itakuwaje
Utaratubu wa kukosowana mbona upo wazi? Mkosowe mtu bila kumtuka au kumzalilisha. Huu ni utaratubu wetu wa miaka mingi sana. Lakini watu wanataka kuchukuwa taratibu za nchi zingine za kutukanana hadhari na kuzileta kwetu. Mbona Zitto anaikosowa serikali kila siku na bado yupo uraini.ukikosoa serikali unawekwa na serikali kwenye kundi la maadui wake!. wapinzani wanalo awamu hii..........
Kamanda pole sana na karibu. Wapinzani kwa namna Moja ama nyingine tunawaomba mshikamane sana katika kipindi hiki. Aliyoyatabiri Tundu Lissu Leo yanatimia. Nchi IPO chini ya dictatorship.Katumieni bunge lenu tukufu kufanya yaliyo mema dhidi ya kauli chafu za Rais huyu
Wengi tungewekwa ndani pamoja na magari yetu, yote weka ndani....[emoji23] [emoji23] [emoji23]i wish magufuli angekuwa igp!
Mkuu unataka tuchukue sample ya watu wanaoandika hapa JF kuwa "haitatokea wawe na ndugu wana CCM" tuiingize kwenye mjadala wa hoja ya Rais kukataza wabunge wa CCM kwenda kumsalimia mbunge mwenzao wa upinzani akiwa CCM? Huoni kama sample yenyewe ni uwongo na ni rahisi kugundua kuwa anayeandika hivyo anakuwa anaandika tu kujifurahisha maana jambo lenyewe haliwezekaniki!Yoyote yule anaweza kuwa na makosa iwe serikali, iwe polisi, iwe hata mwanchi wa kawaida. Hatuwezi ku control human emotional. Lakini chukulia sample hata hapa JF, utapata picha watu walivyo jijengea chuki moyoni kwaajili ya kitu kidogo kinachoitwa"siasa". Mtu anadiriki kusema yeye anaichukia CCM na wana CCM wote, na kusema haitakuja kutojea yeye kuwa na ndugu mwana CCM. Huyo kweli anaelewa maama ya siasa ya vyama vingi? Anaelewa kwamba siasa ya vyama vingi ni kipinga kwa hoja badala ya personal attack?
Ndio shida ya kukimbia shule na kujifanya mnajuwa Kingereza wakati hata kiswahili hujui.Mh. Lema umeandika vizuri, ila umemalizia kwa woga sana. Sasa kama kila mtu anaanza kumwogopa hivyo, hadi nyie wabunge, sisi wananchi tutafanyaje. Kumplease mtu pasipohitajika ni udhaifu sana.
Serikali wajanja sana. waliondoa rufaa yao ili kuzuia hukumu isisomwe na isiingie kwenye rekodi za mahakama na kurejewa katika mashauri na kesi zingineTunaomba utuwekee hukumu ya Court of appeal na High court iliyokupa dhamana. Hizi ni kesi muhimu kwa kila mmoja. Please and please.
Hoja hapa sio kosa bali ni upendo. Unachanganya msingi wa hoja.
Mwenye mamlaka ya kusema kuna kosa limetendeka ni mahakama.
Mwenye mamlaka ya kupenda au kutopenda ni wewe au mimi bila kusubiri maoni/mawazo ya mtu wa pili lakini kikubwa zaidi, kupenda na kupendwa sio one way traffic
neno tusi ni subjective, anaye vunja sheria na ahukumiwe kwa mujibu wa sheria na si kuelekezana namna ya kukosolewa!Utaratubu wa kukosowana mbona upo wazi? Mkosowe mtu bila kumtuka au kumzalilisha. Huu ni utaratubu wetu wa miaka mingi sana. Lakini watu wanataka kuchukuwa taratibu za nchi zingine za kutukanana hadhari na kuzileta kwetu. Mbona Zitto anaikosowa serikali kila siku na bado yupo uraini.
Mh Rais Magufuli nakusalimu.
Nimetoka Magereza hivi karibuni ambako nilikuwa huko kwa zaidi ya miezi minne kwa kunyimwa masharti ya dhamana kwa dhamana iliyokuwa wazi.
Mh Rais, nimeona kwenye vyombo vya habari leo kuwa kwamba wale Wabunge waliokuwa wanataka kunisalimia nilipokuwa Magereza kuwa ni wasaliti wa chama cha CCM, Mh Rais wengi walinisalimia, Wachungaji, Masheikh, Wabunge na Viongozi mbali mbali, sidhani kama hatua hii ilikuwa ni usaliti isipokuwa upendo ambao ni muhimu kwa binadamu yoyote haswa wakati wa matatizo.
Mh Rais, nimeogopa sana kwa kauli hii yako, je Taifa linakwenda wapi, hivi kweli sisi Wabunge ni maadui? Kama viongozi tutafikiri utengano ni moja ya njia ya kuimarisha vyama vyetu, basi bila shaka tutakuwa tunalitendea Taifa ubaya .
Dhambi hii ikikomaa basi ni hakika kwamba lugha za udini, ukanda na ukabila hazitaacha kukomaa, ni muhimu sasa tukajenga utamaduni wa kuhimiza mshikamano wa Kitaifa bila kujali itikadi kama kweli tunawapenda masikini na wanyonge wa nchi hii.
Nawaomba Wabunge wenzangu walionijali wakati niko magereza wasijisikie vibaya kwani walifanya jambo jema na muhimu kwa wakati muhimu sana katika maisha yangu, ninatarajia kuwa Spika wa Bunge atatoa kauli juu ya kauli yako.
Mh Rais wakati wa Msiba wa Christina Lissu dada yake na Mh Tundu Lissu nilikuona katika msiba ule wewe na Mama yetu Mke wako, je Mh Rais na wewe ulikuwa unasaliti Chama chako?
Mh Rais neno la Mungu linasema, Wapendeni maadui zenu, waombeni wanaowauzi , wabarikini wanaowaonea kwani kufanya hivi ni kuishi kwa thawabu za Mwenyezi Mungu.
Mungu akubariki sana, natumaini Mh Rais sitakamatwa leo kwa ujumbe huu mfupi.
Godbless J Lema (MB)
.....Huku Mhe. Rais anapotupeleka tulishatoka huko enzi za ukoloni za divide and rule.
Hata wabunge wa CCM wana uhuru wa kuamua kumtembelea mgonjwa, au aliyeko mahabusu ambaye sio wa chama chao, kama hawavunji katiba ya nchi wala chama chao. Isifike wakati mkashindwa hata kuzikana kisa tofauti za kiitikadi.
Waliotangulia hawakutufundisha hivyo.
Mungu yuko nawe Mhe. Godbless J Lema .