pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Ameanza tena uchokozi haya shauri yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kwenye red mkuu umenena vyema kabisa, na wakati huu wa mfungo wa kwaresma tunahimizwa sana kutenda matendo ya huruma kama hayo ya kutembelea wafungwa, wagonjwa, yatima n.k pamoja na kusali bila kuchoka. Sasa najiuliza huyu mtu huwa anasoma Biblia gani hiyo inayomwelekeza kulipiza kisasi? Biblia gani inasema jino kwa jino? Naomba nihitimishe kwamba mtu huyu ni mgonjwa wa akili na anapaswa kupimwa kabla hazija-crack zaidi akiwa hapo jumba kubwa anaweza kujikuta ameagiza majeshi yetu yaende kumpiga Uhuru Kenyatta huyu! Tafadhari wataalam wa psychiatry wafanye kazi yao haraka sana bila kuchelewa. Hivi anasali wapi huyu? Na hapa napenda niwape makavu Maaskofu wangu wa Katoliki, hivi hamwoni kwamba mtu huyu anaenda kinyume na mafundisho ya Bwana Yesu Kristo pamoja na yale mnayotuhimiza makanisani kila siku za misa takatifu? Kwa nini mmepigwa ganzi kumhubiria mtu wenu mnamwacha anaangamia hivi hivi? Hizi double standards mnazitoa wapi? Hivi kuna uwezekano kwa matendo haya na nyie mkaiona mbingu kweli?Ujumbe Muhimu sana. Ni na uhakika watu wake wameuso na kumfikishikia. Binafsi niliogopa sana niliposikia hii kauli kutoka kwa Mh. Rais wa Jamhuri.
Kwetu sisi Roman Catholic,kuwatembelea wafungwa/mahabusu kunaongeza rehema na baraka zaidi. Hapo naona Rais anataka kuwafundisha watu matendo gani ya huruma wafaanye. Mbinguni kila mtu ataenda peke yake. Asitake kuwafanya watu watende dhambi ya chuki kwa maslahi yake binafsi.
Unaiombea akili au mtu mwenyewe.. Ref mithali 26...Mkuu wa nchi amesahau kuwa yeye na wapinzani wote ni watoto wa baba mmoja,amesahau kuwa yeye ni Rais kwa sababu katiba yetu imetamka kutakuwa na cheo cha urais katika nchi yetu,amesahau kama katiba aliyoapa kuilinda inaitambua Jamhuri ya muungano wa Tanzania kama ni nchi inayofuata mfumo wa vyama vingi vya siasa.Tuzidi kumwombea tu Rais wetu maana kunatatizo la msingi hapa
Mkuu utajuaje? Labda humu ndani ndo anajulikana kwa ID ya Stroke au Lupyeee?Ningekuwa mimi,ningekuwepo hata kwa ID fake.
Mh Rais neno la Mungu linasema, Wapendeni maadui zenu, waombeni wanaowauzi , wabarikini wanaowaonea kwani kufanya hivi ni kuishi kwa thawabu za Mwenyezi Mungu.
Mungu akubariki sana, natumaini Mh Rais sitakamatwa leo kwa ujumbe huu mfupi.
Godbless J Lema (MB)
Yupo humu kupitia wasaidizi wakeNingekuwa mimi,ningekuwepo hata kwa ID fake.
Tena mbaya zaidi iki ni kipindi cha Kwaresma, kipindi ambacho haya matendo ya huruma yanatakiwa kuonyeshwa kwa vitendo na mbaya zaidi nilimwona Mh. Rais amefunga mikono akiomba siku ya Majivu, siku ya kuanza rasmi mfungo wa Kwaresma. Sasa sijui alipakwa majivu na kufunga na kusali ili apigwe picha au yote yalitoka moyoni. Mh. Rais kama Mkatoliki mwenzangu nimejisikia vibaya kuona anahubiri uadui kipindi hiki ambacho Mwokozi Yesu alikufa msalabani ili nasi tukomboleweUjumbe Muhimu sana. Ni na uhakika watu wake wameuso na kumfikishikia. Binafsi niliogopa sana niliposikia hii kauli kutoka kwa Mh. Rais wa Jamhuri.
Kwetu sisi Roman Catholic,kuwatembelea wafungwa/mahabusu kunaongeza rehema na baraka zaidi. Hapo naona Rais anataka kuwafundisha watu matendo gani ya huruma wafaanye. Mbinguni kila mtu ataenda peke yake. Asitake kuwafanya watu watende dhambi ya chuki kwa maslahi yake binafsi.
Taratibu kaka... Bado nakihitaji sana tuNi active member lakini sio verified user, na hawezi kuwa verified kwani hana uwezo kujenga hoja kwenye uwanja huru. Anaweza kujenge hoja na kejeli anapokuwa mbele ya polisi na vyombo vingine vya dola. Umewahi kumuona kwenye midahalo zaidi ya kuhutubia kama kasisi?
keshaipata hiiI wish Magufuli angekua active member wa jf......