Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh Rais Magufuli nakusalimu.
Nimetoka Magereza hivi karibuni ambako nilikuwa huko kwa zaidi ya miezi minne kwa kunyimwa masharti ya dhamana kwa dhamana iliyokuwa wazi.
Mh Rais, nimeona kwenye vyombo vya habari leo kuwa kwamba wale Wabunge waliokuwa wanataka kunisalimia nilipokuwa Magereza kuwa ni wasaliti wa chama cha CCM, Mh Rais wengi walinisalimia , Wachungaji , Masheikh, Wabunge na Viongozi mbali mbali , sidhani kama hatua hii ilikuwa ni usaliti isipokuwa upendo ambao ni muhimu kwa binadamu yoyote haswa wakati wa matatizo.
Mh Rais , nimeogopa sana kwa kauli hii yako , je Taifa linakwenda wapi , hivi kweli sisi Wabunge ni maadui? kama viongozi tutafikiri utengano ni moja ya njia ya kuimarisha vyama vyetu , basi bila shaka tutakuwa tunalitendea Taifa ubaya .
Dhambi hii ikikomaa basi ni hakika kwamba lugha za udini ,ukanda na ukabila hazitaacha kukomaa , ni muhimu sasa tukajenga utamaduni wa kuimiza mshikamano wa Kitaifa bila kujali itikadi kama kweli tunawapenda masikini na wanyonge wa Nchi hii .
Nawaomba Wabunge wenzangu walionijali wakati niko magereza wasijisikie vibaya kwani walifanya jambo jema na muhimu kwa wakati muhimu sana katika maisha yangu , ninatarajia kuwa Spika wa Bunge atatoa kauli juu ya kauli yako .
Mh Rais wakati wa Msiba wa Christina Lissu dada yake na Mh Tundu Lissu nilikuona katika msiba ule wewe na Mama yetu Mke wako , je Mh Rais na wewe ulikuwa unasaliti Chama chako ?
Mh Rais neno la Mungu linasema , Wapendeni maadui zenu , waombeni wanaowauzi , wabarikini wanaowaonea kwani kufanya hivi ni kuishi kwa thawabu za Mwenyezi Mungu .
Mungu akubariki sana , natumaini Mh Rais sitakamatwa leo kwa ujumbe huu mfupi .
Godbless J Lema (MB)
Mapadrii wapi hao wa kumwambia yule mtu bado sijaona atakayeweza nyanyua mdomo wamsemeHalafu hichi ni kipindi cha kwaresma na jamaa anajiita mroman. Jaman mapdri acheni unafiki mwambieni ukwel
Anatukana raisi na mkuu WA mkoa halafu analia kuwa apendwe nyooooooo .upendo ni Two way traffic. Yu hate the police or mahakama they will hate you. You hate the government it will hate u. Lema mind your lipsMay God bless Godbless Lema.
Tunafuatilia wanaoosha magari pale central sembuse wanaozungumza? Urais ni kazi ngumu kwenye nchi za watu si Tz.Sidhani kama ana Muda wa ziada kufanya mambo ya Kijinga kama hayo Urais ni kazi ngumu sana.
Heshima ya kiongozi inatakiwa kutokana na huduma yake kwa umma si police wala vitisho.any way this is TzAnatukana raisi no mkuu WA mkoa halafu analia kuwa apendwe nyooooooo .upendo ni Two way traffic. Yu hate the police or mahakama they will hate you. You hate the government it will hate u. Lema mind your lips
hakika mwenyekiti wa CCM amejitia aibu kubwa kwa kupandikiza chuki za kichama.
May God bless Godbless Lema.
Nice job,unakua sasa.Siasa siyo uadui,siyo kutukanana wala kuombeana kifo.Ni kujenga hoja,big up Lema. Jela haiongopi.Mh Rais Magufuli nakusalimu.
Nimetoka Magereza hivi karibuni ambako nilikuwa huko kwa zaidi ya miezi minne kwa kunyimwa masharti ya dhamana kwa dhamana iliyokuwa wazi.
Mh Rais, nimeona kwenye vyombo vya habari leo kuwa kwamba wale Wabunge waliokuwa wanataka kunisalimia nilipokuwa Magereza kuwa ni wasaliti wa chama cha CCM, Mh Rais wengi walinisalimia, Wachungaji, Masheikh, Wabunge na Viongozi mbali mbali, sidhani kama hatua hii ilikuwa ni usaliti isipokuwa upendo ambao ni muhimu kwa binadamu yoyote haswa wakati wa matatizo.
Mh Rais, nimeogopa sana kwa kauli hii yako, je Taifa linakwenda wapi, hivi kweli sisi Wabunge ni maadui? Kama viongozi tutafikiri utengano ni moja ya njia ya kuimarisha vyama vyetu, basi bila shaka tutakuwa tunalitendea Taifa ubaya .
Dhambi hii ikikomaa basi ni hakika kwamba lugha za udini, ukanda na ukabila hazitaacha kukomaa, ni muhimu sasa tukajenga utamaduni wa kuhimiza mshikamano wa Kitaifa bila kujali itikadi kama kweli tunawapenda masikini na wanyonge wa nchi hii.
Nawaomba Wabunge wenzangu walionijali wakati niko magereza wasijisikie vibaya kwani walifanya jambo jema na muhimu kwa wakati muhimu sana katika maisha yangu, ninatarajia kuwa Spika wa Bunge atatoa kauli juu ya kauli yako.
Mh Rais wakati wa Msiba wa Christina Lissu dada yake na Mh Tundu Lissu nilikuona katika msiba ule wewe na Mama yetu Mke wako, je Mh Rais na wewe ulikuwa unasaliti Chama chako?
Mh Rais neno la Mungu linasema, Wapendeni maadui zenu, waombeni wanaowauzi , wabarikini wanaowaonea kwani kufanya hivi ni kuishi kwa thawabu za Mwenyezi Mungu.
Mungu akubariki sana, natumaini Mh Rais sitakamatwa leo kwa ujumbe huu mfupi.
Godbless J Lema (MB)
Umma tunamtambua nyie watu gani ambao kutwa mnatukana serikali,bunge,mahakama na sasa mumehamia kutukana TLS kuwa toka iundwe no tawi LA CCM haijafanya chochote. Hamieni Somalia basiHeshima ya kiongozi inatakiwa kutokana na huduma yake kwa umma si police wala vitisho.any way this is Tz
Jela hajaenda hapo analialia alikuwa rumande tu akifika jela sijui itakuwajeNice job,unakua sasa.Siasa siyo uadui,siyo kutukanana wala kuombeana kifo.Ni kujenga hoja,big up Lema. Jela haiongopi.
Hahahaaaaa..atakaa sawa ni utoto tu ulikuwa ukimtesa,si unajua balehe zingine husumbua.Jela hajaenda hapo analialia alikuwa rumande tu akifika jela sijui itakuwaje
Mungu akubariki sana, natumaini Mh Rais sitakamatwa leo kwa ujumbe huu mfupi.