sosoliso
JF-Expert Member
- May 6, 2009
- 8,540
- 9,473
Acha unafiki, haujui Lema amekaa Kisongo kwa kesi ipi ?
Yeye yuko radhi kumuombea Rais afe ila analia lia hapa kuhusu kusalimiwa tu, kweli Nabii Lema ana nyumbu wengi.
Kama uliwasikia wale Waheshimiwa Majaji wenye kufahamu na kuiheshimu taaluma yao walivyosema, ndio utajua kwanini Lema aliwekwa Kisongo..
Turudi kwenye hoja ya msingi.. Huyo alieombewa kufa ni nani..? na aliombewaje..? Kama ulikaririshwa na hujui basi rudi ukawaulize, kisha urudi hapa..