Lema: Mh. Rais, Vyama vya siasa sio uadui

Lema: Mh. Rais, Vyama vya siasa sio uadui

Godbless umefika muda wa wewe mwenyewe kujitathmini. Siasa haijawahi kuwa uadui katika nchi hii mpaka pale wewe ulipoziumba na kuziimarisha siasa za namna hiyo kwa maneno yako. Godbless jiulize kwani wewe ndio mbunge wa kwanza wa upinzani nchi hii?Jiulize pia kama kweli ktk jimbo lako kuna matatizo yanayokufanya wewe ufanye siasa zinazofanana na za kimapinduzi. Godbless haujawa muangalifu ktk kauli zako, huwafikirii Waka huwahurumii wananchi wako wala wa taifa kiujumla unapotoa kauli zako. Unafahamu frustrations zao, badala y'all kuwapoza na kuwabadili mtazamo ili watumie changamoto zilizopo Kama fursa wewe sasa unazitumia hizo kama silaha yako ya kujiimarisha kisiasa, kujiimarisha katika ajira yako bila kujali athari zinazoweza kutokea kwa wewe kufanya hivyo. Nasema bila kupepesa macho ya kuwa nilikuwa mfuasi wako kipindi kile cha mama Batilda Buriani. Baadae siasa zako zikaanza kunikifu, MA ukweli kuwa kuna watu wengi ndani ya chama chako siasa zako zimewakinai. Kuna mmoja yeye aliipenda katiba ya wananchi kwa kitu kimoja kikubwa, ukomo wa ubunge. Ukomo wa ubunge kwake ungefanya jambo moja kubwa, kumuondoa Lema Arusha, kuondoa image mbaya ya chama. Yakupasa Godbless ufahamu kuwa hakuna namna moja ya uongozi inafaa nyakati zote, namna kadhaa za uongozi zinaweza kufaa nyakati tofauti kulingana na mahitaji. Kiongozi anayeangalia maslahi makubwa ya nchi itamlazimu wakati fulani kutumia staili ya Machiavelli kulinda ustawi wa watu wengi dhidi ya kijana mmoja mjinga na mbinafsi asiyetosheka na kikubwa alichopata ukilinganisha na uwezo wake. Taswira y'all siasa unayoijenga Godbless si tu italeta uadui kati ya chama tawala na upinzani, italeta pia uadui kati ya wenye kujishughulisha na kupata na wale wanaoaminishwa matatizo yao na kukosa kwao kumetokana na wao kuonewa. Waambie ukweli Godbless, hakuna anayewaonea, wanajionea wenyewe. Juzi alikuwa Mkapa, jana Kikwete na leo Magufuli. Mbeya wanaonewa na manispaa, arusha nao manispaa, ubungo wataonewa na manispaa, ilala halikadhalika. Kigoma ujiji malalamiko hayaishi. Serikali yenye kuleta maendeleo inahitaji watu wafanye kazi ili walipe kodi hakuna uongo mwingine unless udanganye watu, utukane system ya Machiavelli ifanye kazi
......
......ukiongea na LEMA unaongea na Watanzania
 
Mh Rais Magufuli nakusalimu.

Nimetoka Magereza hivi karibuni ambako nilikuwa huko kwa zaidi ya miezi minne kwa kunyimwa masharti ya dhamana kwa dhamana iliyokuwa wazi.

Mh Rais, nimeona kwenye vyombo vya habari leo kuwa kwamba wale Wabunge waliokuwa wanataka kunisalimia nilipokuwa Magereza kuwa ni wasaliti wa chama cha CCM, Mh Rais wengi walinisalimia, Wachungaji, Masheikh, Wabunge na Viongozi mbali mbali, sidhani kama hatua hii ilikuwa ni usaliti isipokuwa upendo ambao ni muhimu kwa binadamu yoyote haswa wakati wa matatizo.

Mh Rais, nimeogopa sana kwa kauli hii yako, je Taifa linakwenda wapi, hivi kweli sisi Wabunge ni maadui? Kama viongozi tutafikiri utengano ni moja ya njia ya kuimarisha vyama vyetu, basi bila shaka tutakuwa tunalitendea Taifa ubaya .

Dhambi hii ikikomaa basi ni hakika kwamba lugha za udini, ukanda na ukabila hazitaacha kukomaa, ni muhimu sasa tukajenga utamaduni wa kuhimiza mshikamano wa Kitaifa bila kujali itikadi kama kweli tunawapenda masikini na wanyonge wa nchi hii.

Nawaomba Wabunge wenzangu walionijali wakati niko magereza wasijisikie vibaya kwani walifanya jambo jema na muhimu kwa wakati muhimu sana katika maisha yangu, ninatarajia kuwa Spika wa Bunge atatoa kauli juu ya kauli yako.

Mh Rais wakati wa Msiba wa Christina Lissu dada yake na Mh Tundu Lissu nilikuona katika msiba ule wewe na Mama yetu Mke wako, je Mh Rais na wewe ulikuwa unasaliti Chama chako?

Mh Rais neno la Mungu linasema, Wapendeni maadui zenu, waombeni wanaowauzi , wabarikini wanaowaonea kwani kufanya hivi ni kuishi kwa thawabu za Mwenyezi Mungu.

Mungu akubariki sana, natumaini Mh Rais sitakamatwa leo kwa ujumbe huu mfupi.


Godbless J Lema (MB)
Ila braza kama umenywea hivi? Sasa wewe ungekuwa unatimiza agizo la upendo ungemtabilia kifo mwenzako.
 
Mpaka kufika miaka mitano, watanzania wote watakuwa wamemchoka bwana huyu mwenye kila dalili ya kuligawa taifa.
 
Mh Rais Magufuli nakusalimu.

Nimetoka Magereza hivi karibuni ambako nilikuwa huko kwa zaidi ya miezi minne kwa kunyimwa masharti ya dhamana kwa dhamana iliyokuwa wazi.

Mh Rais, nimeona kwenye vyombo vya habari leo kuwa kwamba wale Wabunge waliokuwa wanataka kunisalimia nilipokuwa Magereza kuwa ni wasaliti wa chama cha CCM, Mh Rais wengi walinisalimia, Wachungaji, Masheikh, Wabunge na Viongozi mbali mbali, sidhani kama hatua hii ilikuwa ni usaliti isipokuwa upendo ambao ni muhimu kwa binadamu yoyote haswa wakati wa matatizo.

Mh Rais, nimeogopa sana kwa kauli hii yako, je Taifa linakwenda wapi, hivi kweli sisi Wabunge ni maadui? Kama viongozi tutafikiri utengano ni moja ya njia ya kuimarisha vyama vyetu, basi bila shaka tutakuwa tunalitendea Taifa ubaya .

Dhambi hii ikikomaa basi ni hakika kwamba lugha za udini, ukanda na ukabila hazitaacha kukomaa, ni muhimu sasa tukajenga utamaduni wa kuhimiza mshikamano wa Kitaifa bila kujali itikadi kama kweli tunawapenda masikini na wanyonge wa nchi hii.

Nawaomba Wabunge wenzangu walionijali wakati niko magereza wasijisikie vibaya kwani walifanya jambo jema na muhimu kwa wakati muhimu sana katika maisha yangu, ninatarajia kuwa Spika wa Bunge atatoa kauli juu ya kauli yako.

Mh Rais wakati wa Msiba wa Christina Lissu dada yake na Mh Tundu Lissu nilikuona katika msiba ule wewe na Mama yetu Mke wako, je Mh Rais na wewe ulikuwa unasaliti Chama chako?

Mh Rais neno la Mungu linasema, Wapendeni maadui zenu, waombeni wanaowauzi , wabarikini wanaowaonea kwani kufanya hivi ni kuishi kwa thawabu za Mwenyezi Mungu.

Mungu akubariki sana, natumaini Mh Rais sitakamatwa leo kwa ujumbe huu mfupi.


Godbless J Lema (MB)
Lakini Mkuu unakumbuka kuwa kipindi fulan ww na mheshimiwa sana mbunge wa ubungo, bwana Kubenea mlitoa wito kama huo, tena mkaenda mbali zaid kwa kusema kuwa kama una mpenz wako ambae ni mwanaccm usimpe hata unyumba, hata chakula hata chochote atakachohitaji kutoka kwako.

Hivi pale haikuwa kutangaza kuwa siasa ni uadui. Ile haikuwa kumkosea mungu??

Mi nadhan ni vizuri kuwa wakweli katika enzi hizi za habari, information ege.
 
Mh Rais Magufuli nakusalimu.

Nimetoka Magereza hivi karibuni ambako nilikuwa huko kwa zaidi ya miezi minne kwa kunyimwa masharti ya dhamana kwa dhamana iliyokuwa wazi.

Mh Rais, nimeona kwenye vyombo vya habari leo kuwa kwamba wale Wabunge waliokuwa wanataka kunisalimia nilipokuwa Magereza kuwa ni wasaliti wa chama cha CCM, Mh Rais wengi walinisalimia, Wachungaji, Masheikh, Wabunge na Viongozi mbali mbali, sidhani kama hatua hii ilikuwa ni usaliti isipokuwa upendo ambao ni muhimu kwa binadamu yoyote haswa wakati wa matatizo.

Mh Rais, nimeogopa sana kwa kauli hii yako, je Taifa linakwenda wapi, hivi kweli sisi Wabunge ni maadui? Kama viongozi tutafikiri utengano ni moja ya njia ya kuimarisha vyama vyetu, basi bila shaka tutakuwa tunalitendea Taifa ubaya .

Dhambi hii ikikomaa basi ni hakika kwamba lugha za udini, ukanda na ukabila hazitaacha kukomaa, ni muhimu sasa tukajenga utamaduni wa kuhimiza mshikamano wa Kitaifa bila kujali itikadi kama kweli tunawapenda masikini na wanyonge wa nchi hii.

Nawaomba Wabunge wenzangu walionijali wakati niko magereza wasijisikie vibaya kwani walifanya jambo jema na muhimu kwa wakati muhimu sana katika maisha yangu, ninatarajia kuwa Spika wa Bunge atatoa kauli juu ya kauli yako.

Mh Rais wakati wa Msiba wa Christina Lissu dada yake na Mh Tundu Lissu nilikuona katika msiba ule wewe na Mama yetu Mke wako, je Mh Rais na wewe ulikuwa unasaliti Chama chako?

Mh Rais neno la Mungu linasema, Wapendeni maadui zenu, waombeni wanaowauzi , wabarikini wanaowaonea kwani kufanya hivi ni kuishi kwa thawabu za Mwenyezi Mungu.

Mungu akubariki sana, natumaini Mh Rais sitakamatwa leo kwa ujumbe huu mfupi.


Godbless J Lema (MB)
Mungu hatasikia, atafunga masikio asisikie maombi yeyote juu ya mtu huyu, mwenye kuhimiza chuki dhidi ya watu wengine, mashekhe, mapdri na wachungaji muwe makini
 
......

Mh Rais neno la Mungu linasema, Wapendeni maadui zenu, waombeni wanaowauzi , wabarikini wanaowaonea kwani kufanya hivi ni kuishi kwa thawabu za Mwenyezi Mungu.

Mungu akubariki sana, ......


Godbless J Lema (MB)
Hapo hapo !!
====
Kwanza nashukuru kwa kutoa yaliyokuwa moyoni mwako kwa "staha"!
-----
Tunaambiwa, Maneno yanaumba. Ulimi ukitumika vibaya una'bomoa' ; hii ni nadhani imeandikwa kwa vitabu vya sheria za binadamu nadhani na vile vya dini zote mbili kuu hapa nchini.

Pia inasemwa na viongozi wa dini karibu zote kubwa mbili hapa nchini, kuwa, ukijiwa na 'fikra' mbaya ukiwa katika hali yoyote ile basi ukirejea kwenye hali ya kawaida basi, kemea na kisha omba/sali kupitia kwa Mamlaka ya Mungu unayeelekezwa na dini (imani) yako, ili mabaya ya fikra hizo yasikupate ama yasimpate yeyote aliyehusika kwenye fikra hizo.

Kukariri (kwa kuzungumza, kwa kuimba n.k) fikra hizo mbaya, unatoa mwanya wa kuumba(kutekelezeka kwa fikra hizo) kwa kutumia ulimi (maneno). Na hapo utakuwa haujitendei mema kama fikra hizo mbaya zinazokuhusu ama hautendi wema (Upendo) kwa anayehusika na fikra hizo.

Sasa rejea kwa yale yote uliyowahi kufikiria toka Uwe mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini mpaka sasa. Je. Fikra zako zote unadhani, kweli, zilikuwa zinakuelekeza kutafuta thawabu kwa Mungu wako kweli ?
 
Lakini Mkuu unakumbuka kuwa kipindi fulan ww na mheshimiwa sana mbunge wa ubungo, bwana Kubenea mlitoa wito kama huo, tena mkaenda mbali zaid kwa kusema kuwa kama una mpenz wako ambae ni mwanaccm usimpe hata unyumba, hata chakula hata chochote atakachohitaji kutoka kwako.

Hivi pale haikuwa kutangaza kuwa siasa ni uadui. Ile haikuwa kumkosea mungu??

Mi nadhan ni vizuri kuwa wakweli katika enzi hizi za habari, information ege.
Anahubiri upendo huku anatamani na kutabiri wenzie wafe.Jifunze kutendea wema wenzio ili na wewe ufaidi mrejesho wa upendo kutoka kwao.
 
Mh Rais Magufuli nakusalimu.

Nimetoka Magereza hivi karibuni ambako nilikuwa huko kwa zaidi ya miezi minne kwa kunyimwa masharti ya dhamana kwa dhamana iliyokuwa wazi.

Mh Rais, nimeona kwenye vyombo vya habari leo kuwa kwamba wale Wabunge waliokuwa wanataka kunisalimia nilipokuwa Magereza kuwa ni wasaliti wa chama cha CCM, Mh Rais wengi walinisalimia, Wachungaji, Masheikh, Wabunge na Viongozi mbali mbali, sidhani kama hatua hii ilikuwa ni usaliti isipokuwa upendo ambao ni muhimu kwa binadamu yoyote haswa wakati wa matatizo.

Mh Rais, nimeogopa sana kwa kauli hii yako, je Taifa linakwenda wapi, hivi kweli sisi Wabunge ni maadui? Kama viongozi tutafikiri utengano ni moja ya njia ya kuimarisha vyama vyetu, basi bila shaka tutakuwa tunalitendea Taifa ubaya .

Dhambi hii ikikomaa basi ni hakika kwamba lugha za udini, ukanda na ukabila hazitaacha kukomaa, ni muhimu sasa tukajenga utamaduni wa kuhimiza mshikamano wa Kitaifa bila kujali itikadi kama kweli tunawapenda masikini na wanyonge wa nchi hii.

Nawaomba Wabunge wenzangu walionijali wakati niko magereza wasijisikie vibaya kwani walifanya jambo jema na muhimu kwa wakati muhimu sana katika maisha yangu, ninatarajia kuwa Spika wa Bunge atatoa kauli juu ya kauli yako.

Mh Rais wakati wa Msiba wa Christina Lissu dada yake na Mh Tundu Lissu nilikuona katika msiba ule wewe na Mama yetu Mke wako, je Mh Rais na wewe ulikuwa unasaliti Chama chako?

Mh Rais neno la Mungu linasema, Wapendeni maadui zenu, waombeni wanaowauzi , wabarikini wanaowaonea kwani kufanya hivi ni kuishi kwa thawabu za Mwenyezi Mungu.

Mungu akubariki sana, natumaini Mh Rais sitakamatwa leo kwa ujumbe huu mfupi.


Godbless J Lema (MB)
Uko sahihi kabisa kamanda,tuko pamoja
Ila huyu rais wetu ni wa kwenda nae taratibu
 
Yoyote yule anaweza kuwa na makosa iwe serikali, iwe polisi, iwe hata mwanchi wa kawaida. Hatuwezi ku control human emotional. Lakini chukulia sample hata hapa JF, utapata picha watu walivyo jijengea chuki moyoni kwaajili ya kitu kidogo kinachoitwa"siasa". Mtu anadiriki kusema yeye anaichukia CCM na wana CCM wote, na kusema haitakuja kutojea yeye kuwa na ndugu mwana CCM. Huyo kweli anaelewa maama ya siasa ya vyama vingi? Anaelewa kwamba siasa ya vyama vingi ni kipinga kwa hoja badala ya personal attack?
Tatizo Watanzani tumekuwa na uchama hadi myoyoni tunasahau ubinadam.
 
Kama hayo maneno ya Lema ni kweli ya kwake bac binafsi nampuuza na kumuona hana maana maana anahubiri kile asichokiamini wala kukiishi.

Hivi utadumishaje umoja wa kitaifa kama unatabiria wenzako vifo?, hivi mwenzio akikutabiria kwamba utakufa siku fulan tena kwa chuki unadhan utampenda?, ndugu zake je?, rafiki zake je? Hao wote watajisikiaje kama unamtabiria kifo mpendwa wao. Huko si ndio kuhimiza utengano, chuki, dharau na uchochezi?.

Mm si mwanachama wa chama chochote hivyo sikubalian na wanasiasa wanafki wasiotenda wanayoyahubiri majukwaan ili wajipatie umaarufu usio na maana wakati huo huo wakipelekea tafran ama mgawanyiko wa kijamii
 
Serikali wajanja sana. waliondoa rufaa yao ili kuzuia hukumu isisomwe na isiingie kwenye rekodi za mahakama na kurejewa katika mashauri na kesi zingine
It does not help you can still make an application for the Court of appeal to make a review of the same!
 
Back
Top Bottom