Lema: Mh. Rais, Vyama vya siasa sio uadui

Kuchukia serikali mara nyingi huwa ni ukosoaji wa approach ya serikali kwenye mambo mbalimbali. Na actually, kuichukia serikali au lichama fulani haiwezi kuwa sawa na himizo la kuchukiana wananchi wenyewe kwa wenyewe!
Yoyote yule anaweza kuwa na makosa iwe serikali, iwe polisi, iwe hata mwanchi wa kawaida. Hatuwezi ku control human emotional. Lakini chukulia sample hata hapa JF, utapata picha watu walivyo jijengea chuki moyoni kwaajili ya kitu kidogo kinachoitwa"siasa". Mtu anadiriki kusema yeye anaichukia CCM na wana CCM wote, na kusema haitakuja kutojea yeye kuwa na ndugu mwana CCM. Huyo kweli anaelewa maama ya siasa ya vyama vingi? Anaelewa kwamba siasa ya vyama vingi ni kipinga kwa hoja badala ya personal attack?
 
Kwahiyo rais na yeye analipiza kisasi?
 
ukikosoa serikali unawekwa na serikali kwenye kundi la maadui wake!. wapinzani wanalo awamu hii..........
Utaratubu wa kukosowana mbona upo wazi? Mkosowe mtu bila kumtuka au kumzalilisha. Huu ni utaratubu wetu wa miaka mingi sana. Lakini watu wanataka kuchukuwa taratibu za nchi zingine za kutukanana hadhari na kuzileta kwetu. Mbona Zitto anaikosowa serikali kila siku na bado yupo uraini.
 

Mkuu hizi kauli kama zitafuatwa na hao wana CCM zitamea na upande wa pili nao watajibu kwa vitendo ,na mwisho wa siku hatuna tena Taifa moja..Yale yale ya Wahutu na wa Tutsi kuuwana kwa sababu ya mbegu ya ubaguzi...

Raisi amefanya jambo la ajabu sana na la aibu dhidi yetu sisi Wananchi ,amekwenda kinyume kabisa na Katiba kinyume kabisa na hulka zetu kama Watanzania..
 
Mkuu unataka tuchukue sample ya watu wanaoandika hapa JF kuwa "haitatokea wawe na ndugu wana CCM" tuiingize kwenye mjadala wa hoja ya Rais kukataza wabunge wa CCM kwenda kumsalimia mbunge mwenzao wa upinzani akiwa CCM? Huoni kama sample yenyewe ni uwongo na ni rahisi kugundua kuwa anayeandika hivyo anakuwa anaandika tu kujifurahisha maana jambo lenyewe haliwezekaniki!
 
Mh. Lema umeandika vizuri, ila umemalizia kwa woga sana. Sasa kama kila mtu anaanza kumwogopa hivyo, hadi nyie wabunge, sisi wananchi tutafanyaje. Kumplease mtu pasipohitajika ni udhaifu sana.
Ndio shida ya kukimbia shule na kujifanya mnajuwa Kingereza wakati hata kiswahili hujui.

Umesoma shule gani wewe hujui hata fasihi andishi?
 
Tunaomba utuwekee hukumu ya Court of appeal na High court iliyokupa dhamana. Hizi ni kesi muhimu kwa kila mmoja. Please and please.
Serikali wajanja sana. waliondoa rufaa yao ili kuzuia hukumu isisomwe na isiingie kwenye rekodi za mahakama na kurejewa katika mashauri na kesi zingine
 

Nyie jamaa aisee mna roho mbaya sana na zimeendelea kuwa ngumu kwel kweli tangu mlipokula rambirambi zetu
 
Hivi Luwasa alienda ktk msiba bagamoyo? Maana wengine tupo chochi, network mpaka tupande juu ya miembe.
 
neno tusi ni subjective, anaye vunja sheria na ahukumiwe kwa mujibu wa sheria na si kuelekezana namna ya kukosolewa!
 

Godbless umefika muda wa wewe mwenyewe kujitathmini. Siasa haijawahi kuwa uadui katika nchi hii mpaka pale wewe ulipoziumba na kuziimarisha siasa za namna hiyo kwa maneno yako. Godbless jiulize kwani wewe ndio mbunge wa kwanza wa upinzani nchi hii?Jiulize pia kama kweli ktk jimbo lako kuna matatizo yanayokufanya wewe ufanye siasa zinazofanana na za kimapinduzi. Godbless haujawa muangalifu ktk kauli zako, huwafikirii Waka huwahurumii wananchi wako wala wa taifa kiujumla unapotoa kauli zako. Unafahamu frustrations zao, badala y'all kuwapoza na kuwabadili mtazamo ili watumie changamoto zilizopo Kama fursa wewe sasa unazitumia hizo kama silaha yako ya kujiimarisha kisiasa, kujiimarisha katika ajira yako bila kujali athari zinazoweza kutokea kwa wewe kufanya hivyo. Nasema bila kupepesa macho ya kuwa nilikuwa mfuasi wako kipindi kile cha mama Batilda Buriani. Baadae siasa zako zikaanza kunikifu, MA ukweli kuwa kuna watu wengi ndani ya chama chako siasa zako zimewakinai. Kuna mmoja yeye aliipenda katiba ya wananchi kwa kitu kimoja kikubwa, ukomo wa ubunge. Ukomo wa ubunge kwake ungefanya jambo moja kubwa, kumuondoa Lema Arusha, kuondoa image mbaya ya chama. Yakupasa Godbless ufahamu kuwa hakuna namna moja ya uongozi inafaa nyakati zote, namna kadhaa za uongozi zinaweza kufaa nyakati tofauti kulingana na mahitaji. Kiongozi anayeangalia maslahi makubwa ya nchi itamlazimu wakati fulani kutumia staili ya Machiavelli kulinda ustawi wa watu wengi dhidi ya kijana mmoja mjinga na mbinafsi asiyetosheka na kikubwa alichopata ukilinganisha na uwezo wake. Taswira y'all siasa unayoijenga Godbless si tu italeta uadui kati ya chama tawala na upinzani, italeta pia uadui kati ya wenye kujishughulisha na kupata na wale wanaoaminishwa matatizo yao na kukosa kwao kumetokana na wao kuonewa. Waambie ukweli Godbless, hakuna anayewaonea, wanajionea wenyewe. Juzi alikuwa Mkapa, jana Kikwete na leo Magufuli. Mbeya wanaonewa na manispaa, arusha nao manispaa, ubungo wataonewa na manispaa, ilala halikadhalika. Kigoma ujiji malalamiko hayaishi. Serikali yenye kuleta maendeleo inahitaji watu wafanye kazi ili walipe kodi hakuna uongo mwingine unless udanganye watu, utukane system ya Machiavelli ifanye kazi
 
.....
.....Mkuu za siku salimia Makamanda wote Arusha Preta kapotea sana Salute Mingi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…