spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,226
- Thread starter
- #181
Yule alikuwa anakamata anapiga anatupa porini halafu wakiokota kesho anakuja kukucheki hospitali kukupa pole (muulize Kubenea na Ulimboka)😀😀. Kama ulivyosema itabidi turudi kutumia hizo staili asante sana kwa ushauri wako. Lema naye yatamkuta siku si nyingi..
Umenikumbusha pori la.mabwepande, ni.maarufu kweli.kwa matukio tatanishi