Lema na ndoto hizi dhidi ya Rais, sheria ifanye kazi, tumemchoka

Lema na ndoto hizi dhidi ya Rais, sheria ifanye kazi, tumemchoka

Ukitaka kujua watu wa Arusha mjini akili zao zikoje....mtazame mbunge wao lema anawakilisha!
 
Wadau heshima kwenu.
Hivi scorpion akisema nimeota nakutoboa macho utajiskiaje?

Kwanza scorpion anamwamini mungu, inaweza kuwa ni ganja analopata kabla ya kuingia mtaani lakini ndio inaweza kuwa imani yake.

Inapotokea mtuhumiwa wa vitendo viovu, kwamba kihistoria mtu huyu aliwahi kukamata chuma akakuotea kuwa kazi anairudia, utajiskiaje?

Hiyo ni utangulizi, lakini sema kweli ndoto zote tungekuwa tunaziweka hadharani basi dunia hii isingeishika,

Naiomba mamlaka imchukulie hatua kali Ili iwe fundisho, haiwezekani mnaamua tu kumsingizia Mungu tutajuaje kama mnasuka mpango dhidi ya Rais wetu.

Binafsi nasema hapana, enough is enough. This is too much, bado tunamhtaji sana Rais Magufuli, yeye kama miradi yake haiendi basi aiweke ktk mfumo mzuri alipe kodi basi.

Maneno anayoendelea kuyaongea yanatia hofu na lengo lake hasa ni nini,

Hofu kwa wenye uelewa finye kama nyinyi.
Magu na vizabizabina anaowateuwa wanatulazimisha tutumie akili nusu

Mbaya zaidi wasioelewa wanaojiamini kuwa wako sasa.
Wamezungukwa na wasaka tonge
Wakati utasema ila tutaumia sana
 
Tanzania inahitaji akina Lema wakutosha...
Dawa za kuwatuliza vichwa vyao itakua ni tatizo kubwa!mirembe itajaa kupita kiasi!bahati mbaya hata kufanya kazi halali mijitu kama hii haiwez labda wizi!huoni kama itakua balaa?
 
Kaka Mungu anasikiliza kila Mtu, mchawi na Mtakatifu, hata siku za Ayubu Shetani alipewa nafasi

Mbona JPM anapoomba mumuombee huji kulalamika?

Waache watu waombe wanavyojisikia Na yeye (Mungu) ndio atakayeamua apokee yepi
Uko sawa Brother...[emoji111] [emoji111] [emoji109]
 
Wadau heshima kwenu.
Hivi scorpion akisema nimeota nakutoboa macho utajiskiaje?

Kwanza scorpion anamwamini mungu, inaweza kuwa ni ganja analopata kabla ya kuingia mtaani lakini ndio inaweza kuwa imani yake.

Inapotokea mtuhumiwa wa vitendo viovu, kwamba kihistoria mtu huyu aliwahi kukamata chuma akakuotea kuwa kazi anairudia, utajiskiaje?

Hiyo ni utangulizi, lakini sema kweli ndoto zote tungekuwa tunaziweka hadharani basi dunia hii isingeishika,

Naiomba mamlaka imchukulie hatua kali Ili iwe fundisho, haiwezekani mnaamua tu kumsingizia Mungu tutajuaje kama mnasuka mpango dhidi ya Rais wetu.

Binafsi nasema hapana, enough is enough. This is too much, bado tunamhtaji sana Rais Magufuli, yeye kama miradi yake haiendi basi aiweke ktk mfumo mzuri alipe kodi basi.

Maneno anayoendelea kuyaongea yanatia hofu na lengo lake hasa ni nini,
Mbona hakuoteshwa kuwa mbowe anadaiwa na NHC na akamstua kabla hajaaibishwa?
 
Lema alimshauri nini Kitwanga? Nani anamtuma tena? Some fingures will burn....sio mtabiri ila anaeleza mambo yao ya vijiweni
 
Nasikia anasusa chakula huko lupango kwa kisingizio cha kuwa karibu na Mungu. Inawezekana pia Mungu anataka kummaliza kwa njaa maana alisema rais atakufa kabla ya 2020, sasa ataisoma namba
Rais bongo,obama atakuwa nani!!!!
 
Nasikia anasusa chakula huko lupango kwa kisingizio cha kuwa karibu na Mungu. Inawezekana pia Mungu anataka kummaliza kwa njaa maana alisema rais atakufa kabla ya 2020, sasa ataisoma namba
Kwani wewe inakukera nini kama yeye akiisoma namba .....acha wivu .....
 
Nasikia anasusa chakula huko lupango kwa kisingizio cha kuwa karibu na Mungu. Inawezekana pia Mungu anataka kummaliza kwa njaa maana alisema rais atakufa kabla ya 2020, sasa ataisoma namba
Jela wanakula bure, namba tunaisoma sisi tunaohangaika mitaani kutafuta vyakula. Jela wataisoma namba wakiambiwa haya tafuteni chakula chenu humuhumu ndani.....
 
Mi nashindwa kuwaelewa baadhi ya watu,kwani Lema hawezikuota,na kama anaweza kuota kwanini asiwe huru kusema yale anayoota,hii hali hii kama kweli ameota halafu anatendewa hivyo,hii inaweza kupelekea baadhi ya watu wakaanza kumwombea kimyakimya na hivyo ikageuka ikawa laana kwa watesi.
 
Mnafikiri mkimfunga lema ndio mtakuwa mumefunga muotesha ndoto?,mtakapo mfunga lema bado watainuliwa wengine ambao wataendelea kuota ndoto,sasa sijui kama mtaweza kuwamaliza wote.
 
Mi nashindwa kuwaelewa baadhi ya watu,kwani Lema hawezikuota,na kama anaweza kuota kwanini asiwe huru kusema yale anayoota,hii hali hii kama kweli ameota halafu anatendewa hivyo,hii inaweza kupelekea baadhi ya watu wakaanza kumwombea kimyakimya na hivyo ikageuka ikawa laana kwa watesi.

Ngoja akanyee debe kwanza, maisha ya maigizo yatamuisha tu
 
Ngoja akanyee debe kwanza, maisha ya maigizo yatamuisha tu
Una uhakika kama anaigiza,usiwe mwepesi kuhitimisha kitu ambacho huna uhakika.Angesema TB Joshua ungeshauri akakamatwe au ungeishauri serikali ifanyaje,acha kushabikia vitu ambavyo vinaonekana dhahiri kua ni vya uinevu.
 
Mimi nadhani mkuu upo sahihi.Hivi hakuna vijifungu vya sheria mahali vya kumtia hatiani Lema kwa uhaini ? Naona hata kinyaa kumwita mheshimiwa.
 
Marehemu Whitney Houston alikuwa kila akitoka na mumewe kwenye sherehe watu wanasikitika jinsi alivyokuwa akikongoroka. Mama yake hakumpenda kabisa mumewe.

Wanapokuwa wawili chumbani wakawa wanatumia ile kitu nzito. Kwenye ndoa mmoja anamharibu mwingine mpaka wote wawili wanakuwa hawatizamiki kwa sababu ya "uteja".

Ni tabia mbaya sana kwani hao watoto wa wawili walioharibikiwa, ni lazima na wao watajiingiza kwenye ushenzi siku za baadae.

Taifa la aina hiyo wakati mwingine hujaa waropokaji, kwani madhara sio lazima yawe kwenye kuharibika kwa mwili peke yake, hata kile kitokacho mdomoni huonyesha ni jinsi gani mwili wenye kuonekana kuwa na afya, ulivyoshaharibika.
 
Wadau heshima kwenu.
Hivi scorpion akisema nimeota nakutoboa macho utajiskiaje?

Kwanza scorpion anamwamini mungu, inaweza kuwa ni ganja analopata kabla ya kuingia mtaani lakini ndio inaweza kuwa imani yake.

Inapotokea mtuhumiwa wa vitendo viovu, kwamba kihistoria mtu huyu aliwahi kukamata chuma akakuotea kuwa kazi anairudia, utajiskiaje?

Hiyo ni utangulizi, lakini sema kweli ndoto zote tungekuwa tunaziweka hadharani basi dunia hii isingeishika,

Naiomba mamlaka imchukulie hatua kali Ili iwe fundisho, haiwezekani mnaamua tu kumsingizia Mungu tutajuaje kama mnasuka mpango dhidi ya Rais wetu.

Binafsi nasema hapana, enough is enough. This is too much, bado tunamhtaji sana Rais Magufuli, yeye kama miradi yake haiendi basi aiweke ktk mfumo mzuri alipe kodi basi.

Maneno anayoendelea kuyaongea yanatia hofu na lengo lake hasa ni nini,
Hahaha mnaogopa ndoto eikeiei maono eeeh mione vilee
 
Back
Top Bottom