Lema na ndoto hizi dhidi ya Rais, sheria ifanye kazi, tumemchoka

Lema na ndoto hizi dhidi ya Rais, sheria ifanye kazi, tumemchoka

Hivi sheria zinasemaje kuhusu mtu kuota ndoto na kuisimulia hadharani?

Naogopa serikali yangu isije kutumia gharama kubwa kwa kesi hizi alafu ikaishiwa kufutwa!! !!
 
Nabii yeyote ktk Biblia(kama msingi Wa Imani ya G.Lema ulivyo) huwa kwanza anaoneshwa au anaoteshwa uovu wake au wa jamii yake au familia yake kabla ya kuoneshwa mambo ya watu wengine.kwanza ilitakiwa aanze unabii ndani ya familia yake na kurekebisha mambo kiroho ndani ya familia yake.
Kwa hizi ndoto za Mh. napata sana ukakasi isije ikawa anatumia imani yake kisiasa.
 
Kuna watu humu wanatetea kuwa ana haki ya kutangaza ndoto yake hadharani.
Imagine angeota amekulaza anakukamua halafu atangaze...,bado ungetetea kuwa anahaki na ndoto yake!!!???
 
Wewe ninani?? mpaka uamuru mtu afungwe? nikweli kaota hivyo!Kosa liko wapi? na kaota hivyo na kumpa taadhali kwa kile alichokiota au wewe una akili za kimwendo kasi ujui dunia inaenda vipi??
Mi mara nyingi naota nawagegeda mabinti, ila kila nnaye muota nikimtokea ananpiga kibuti. Hizo ndoto za alinacha tu
 
Usichanganye mada wewe ishu fao inaingiaje hapa, weka uzi wa fao uuone msimamo wangu.

Hivi kwa akili yako huyo mtu wako.anajielewa, kusudio lake analiita ndoto tumanyamazie?

Hili piga ua hatutokubali kamwe
Thibitisha kuwa sio ndoto ni kusudio lake
 
sasa mbona unatuchosha tu, kwa mfano mimi nimeota wewe utakufa wiki ijayo, unasemaje?!!

Mimi sio.rais.na.impact yangu ni ndogo, majukumu yangu yanaishia kwa jamii.ndogo.sana so far I'm done for kids.

Wewe niotee kama.hutatembea mwenyewe, mshindwe kwa kauli kejeli
 
Kuna watu humu wanatetea kuwa ana haki ya kutangaza ndoto yake hadharani.
Imagine angeota amekulaza anakukamua halafu atangaze...,bado ungetetea kuwa anahaki na ndoto yake!!!???

Hahahahaha
Kuna.watu.hawajitambui.humu.

Tasmania mateka wa lema
 
Jamaa alisema aombewe, Mwana akamwombea na katikati ya ndoto akapata majibu na akaibuka nayo laivu, sasa ninyi mnakuja hapa kutoa povu ina maana si ndio majibu ya ndoto yake au? au mnataka aje na majibu hewa? msema kweli ni mpenzi wa...............Angekuwa ni yule TB nako mngesemaje? hayo ndio majibu ya ndoto ya Mshkaji kuwa kaota lazima Mwana aende, na ukibisha wewe ndio utakata mav...fi!
 
Watu wanasema wanamwakilishi, mwakilishi wa kuombea mabaya wenzake, Mungu gani huyo, Akae huko na.shetani wake
Unajua bwana lema namshangaaa angeweza ku rewind rekodi yake alikotoka ( car thief ) angejituliza tulii. Maana hatujui pengine kwenye hizo harakati zake za kukwapua cars za watu, hatujui inawezekana alishaua au kujeruhi watu, siri hiyo anayo moyoni mwake. Hivyo namshauri aache jeuri na kashfa kwani hata yeye hana rekodi nzuri hivyo kuwaombea wenzake mabaya anazidi kujiangamiza. Amuombe mungu wake amsamehe makosa yake.
 
Kelele nyingi za nini?sisi tujipe muda tusubiri MAONO KUTIMIA.
 
Kuna ndugu yangu mmoja nilimwambia tumpigie kura Magufuli akasema ameoteshwa na Mungu kuwa Lowasa ndiye Rais na wanamuombea ili aje kuapishwa siku waliyoelekezwa na Mungu wao, kuhusu Lema na watu wanaofanana na yeye ni wendawazimu wanaodhani wanamtumikia Mungu kumbe shetani kawadhibiti vilivyo kuna wakati Lema huyohuyo alifika mahali akaenda mochwari kuomba ili marehemu ndugu yake au rafiki yake afufuke wakati tayari ameshachomwa formalin(dawa ya kuzuia maiti isioze) Katika hali ya kawaida ukiona mtu analazimisha kubadilisha ukweli kama vile jua linatokea magharibi na siyo mashariki basi funga kamba peleka mirembe huko kufunga kula kwakuwa anateswa na shetani anaweza funga kweli mpaka akafa nimeona watu watatu wamekufa kwa kufunga siku sitini wakidai Yesu kawaambia KIFUPI LEMA NI MGONJWA WA AKILI KAMA WALIVYO VICHAA WENGINE NA MAHALI PAKE NI MILEMBE SIYO GEREZANI.
nimeoteshwa kuwa alieandika utumbo huu ni mwendawazimu
 
Uwa najiuliza kwanini viongozi hawapendi kukosolewaa?tangu mkoloni,nyerere,mwinyi,mkapa,jk mpaka Leo jpm.
 
Sasa inaelekea watu ni waoga sana,yaani mnahangaika na ndoto,woga umewaingia
 
Hivi,humu ndani mnajadili ndoto ya lema,kwan polisi washa elezea umma kosa la lema ni lipi?maana tumeambiwa huna ajuae kinacho endelea huko
 
Magufuli ataishi milele?

Lema ashitakiwe kwa kusema ndoto?
Hiyo ndoto ilikuwa/alioteshwa peke yake ili abaki nayo peke yake, Uraiani ndoto yake alileta ili iweje ? Kama Mungu alihitaji tufaham wote aliyoyaota Lema basi kila mtu angeota ndoto hiyo aliyoota.
 
Mimi sio.rais.na.impact yangu ni ndogo, majukumu yangu yanaishia kwa jamii.ndogo.sana so far I'm done for kids.

Wewe niotee kama.hutatembea mwenyewe, mshindwe kwa kauli kejeli
kwa hio aliyosema lema yana impact gani kwa rais hio kubwa,its his choice yaan rais kuamin au kutoamin kwisha!! na kama ni kweli au uongo unahakika gani. hio mambo imekaa kiimani zaid,cdhani km inafit kwenye sheria zetu,alisema kakobe kua anatabir anguko la ccm,mbona hamkuenda mahakamani wala hamkumletea police,u re the kids, actions zenu zinasadifu. sasa mnachezeshwa na ninyi mnacheza.
 
Back
Top Bottom