Yule alikuwa anakamata anapiga anatupa porini halafu wakiokota kesho anakuja kukucheki hospitali kukupa pole (muulize Kubenea na Ulimboka)ππ. Kama ulivyosema itabidi turudi kutumia hizo staili asante sana kwa ushauri wako. Lema naye yatamkuta siku si nyingi..
MALAIKA KANISHUKIA AKISEMA ALIYENIITA MWENDAWAZIMU ATAKUFA ASIPOTUBU LEOnimeoteshwa kuwa alieandika utumbo huu ni mwendawazimu
Lema alisema kweli kabisa, Tatizo Madikteta huwa hayapendi kuelezwa ukweli...Nimetoa mfano wa scorpion utaamini vipi kama scorpion kaota au anakusudia
kwendeni zenu. usijifanye hauelewi lema ana maanisha nini. wewe hapo tunajua iko siku yako utakufa. lakini nikitangazia watu nimepata maono usipomwacha mkeo unayempenda kabla ya mwisho wa mwaka utakufa. bila shaka hapo kuna hila mbaya.Magufuli ataishi milele?
Lema ashitakiwe kwa kusema ndoto?
Dah umenichekesha sana mkuuMALAIKA KANISHUKIA AKISEMA ALIYENIITA MWENDAWAZIMU ATAKUFA ASIPOTUBU LEO
Yakimkuta asianze kupiga mayowe....Lema naye yatamkuta siku si nyingi..
Huyo anayejiita The Boss akili yake haijatengemaa tangu mamvi abwagwe kwenye uchaguzi uliopita.kwendeni zenu. usijifanye hauelewi lema ana maanisha nini. wewe hapo tunajua iko siku yako utakufa. lakini nikitangazia watu nimepata maono usipomwacha mkeo unayempenda kabla ya mwisho wa mwaka utakufa. bila shaka hapo kuna hila mbaya.
Dah umenichekesha sana mkuu
Acha upuuziMagufuli ataishi milele?
Lema ashitakiwe kwa kusema ndoto?
TB JOSHUA NAE NI NABII WA UONGO KAMA WEWEMALAIKA KANISHUKIA AKISEMA ALIYENIITA MWENDAWAZIMU ATAKUFA ASIPOTUBU LEO
Nimeoteshwa sasa hivi wewe na mjombao TB MKANDAHARI MTAKUFA KWA KUNYONGWA KESHO SAA NANE USIKU KAMA MSITUBU DHAMBI ZENU KWANGUTB JOSHUA NAE NI NABII WA UONGO KAMA WEWE
Nenda kafie mbali huko kenge wewe. Huyo boya wako unaemtetea ndo atanyongwa sio mimiNimeoteshwa sasa hivi wewe na mjombao TB MKANDAHARI MTAKUFA KWA KUNYONGWA KESHO SAA NANE USIKU KAMA MSITUBU DHAMBI ZENU KWANGU
Nenda kafie mbali huko kenge wewe. Huyo boya wako unaemtetea ndo atanyongwa sio mimi
Una uhakika kama anaigiza,usiwe mwepesi kuhitimisha kitu ambacho huna uhakika.Angesema TB Joshua ungeshauri akakamatwe au ungeishauri serikali ifanyaje,acha kushabikia vitu ambavyo vinaonekana dhahiri kua ni vya uinevu.