Dawa ya Uvccm
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 2,223
- 4,717
Ndio maana wenye akili tumemuelewa kwanin hao viongoz wa ccm wanazunguka kudanganya kuwa bodaboda ni kaz nzuri wakati watoto wao hawaendeshi bodaboda badala yake wanaganya kaz BOT.NA TRA.Hivi lema ameona nchi gani watoto wa viongozi wanafanana level na wananchi wa hali ya chini hoja aliyoitengeneza ni ya kitoto Sana