Lema: Nikimuona mtoto wa Waziri Mkuu Majaliwa au wa Rais Mwinyi anaendesha Bodaboda ndipo nitaomba radhi

Brother jibu kwa fact maana lema hoja yake iko wazi,
Mkuu nchi ina Mazezeta hii, yaani tuna furahia kuona raia wengine wanaajirwa Benki kuu, wengine Bandaranini kwa Vimemo, na raia wengine wao wanaambiwa nendeni mkasomee Ualimu au kaendesheni toyo.

Kama ni Ualimu hata watoto wa Raia wakasomee pia na wakafundishe, hakuna raia firs class na raia daraja la mwisho, shida nchi imejaa wajinga
 
Tukitoka kwa bodaboda tuje kwa
Walimu
Manesi
Watunza rekodi
Askari
Madereva
Na wengine wengi na pia tujue watoto wa mbowe lisu lema
Rais wangu Spunda Rungwe
Raisi Samia
Raisi kikwete wanafanya kazi zipi
Kabisa kunapaswa kuwa na haki sawa hakuna raia First class na raia daraja la mwisho, whay wengine waajiriwe Umoja wa Mataifa huko, Benki kuu na wengine wakawe walimu?
.
 
mpwayungu village njoo hapa umjibu Mtoto wa Shule
 
Kama sio laana whay watoto wa vigogo wasizifanye? Kwa hio ulivyo mjinga unafurahia raia wengine kuajiriwa kwa vimemo kazi za maana kama za Umoja wa Mataifa huko New york, na raia wengine wao wanapaswa kuendesha toyo?

Unafurahia kuona hakuna usawa? Nyie ni watu wa aina gani? Yaani kuwa ba ubaguzi wa wazi kwenu ni furaha?
 
Anazo takwimu za vifo na majeruhi kutokana na ajali za barabarani ili tuone kati ya bodaboda na magari nani anachinja zaidi kwa mwaka?
 
Tunapaswa kuwaona hata watoto wa viongozi wakisotea kazi, wakiwa mtaani, kwani wao wana nini? How come ni rai wa choka mbaya pekeee ndio waendeshe toyo?

Usawa uko wapi? Yaani raia wengine waajiriwe kwa vimemo na wengine wakasotee kazi?
 
Je !!Lema anataka wafanye kazi zipi za maana?Au nao waanze kutumia domo kaya kupiga kelele ili wawe wabunge?Au wakawe wezi wa magari?Tunaomba jibu Lema.
Kazi za Viwandani na kazi za kilimo na kama ni shida ya ajira hata watoto wa viongozi wawe na shida hioz haiwezekani wao wajairiqe kwa Vimemo huku sisi tukisota, na mbaya nyie mnashingilia mtaani kuona watoto wa viongozi wakila meme ya nchi hii, ina maana Nyerere aliwatafutia wao Uhuru?
 
Wametoka kwa wamachinga
 
Mkuu nchi ina watu wajinga haijawahi tokea sijui kama kuna Taifa jingine lina raia wajinga.

Yaani tuna furahia kuona watoto wa Vigogo wao wanafanya kazi huko New york Umoja wa Mataifa, wako BOT, ila watoto wa choka mbaya wao ni kozi za Ualimu na Unesi na kuendesha toyo.

Ina maana basi Nyerere uhuru alio tafuta aliwatafutia Viongozi na sio raia, na mbaya Raia wamekuwa mazezeta tupu wanaona ni sawa
 
Kwa nini asiende? Kwa sababu yeye Baba yake ana tamka tu anapata kazi kokote? Nyie ni wajinga na wapumbavu sana, so unachekelea watoto wako kuja kuwa wamachinga baadae huku watoto wa sasa wa wakina Nape na Mwigulu waki viongozi?

Kwa nini mnakuwa wajinga kiasi hiki? Yaani mnashangilia ubaguzi wa kazi? Kwenye kodi pia wanabagua?
 
..Mzee Mwinyi mwanae ni Raisi kule Znz.

..Mzee Mkapa mwanae ni Katibu Mkuu wa wizara.

..Mzee Kikwete mwanae ni Naibu Waziri.

..Mama Samia mwanae ni Mbunge.

..Sasa viongozi wa aina hiyo ndio wanatushauri wenetu wawe bodaboda.
Na sisi tuna shangilia tulivyo vilaza, Mkuu shida ni Ujinga wa Raia, nchi ina Raia wajinga sijawahi ona
 
kaendeshe bodabofa jinga wewe huku watoto wa majaliwa na mwinyi wakifanya kaz BOT NA TRA.
Mkuu nchi ina wajinga sana, wao watotobwao wako hadi Umoja wa Matifa huko New York, tena wameajiriwa kwa Vimemo, huku watoto wa Choka mbaya wakiambiwa waende Ualimu na TOYO
 
Ndio maana wenye akili tumemuelewa kwanin hao viongoz wa ccm wanazunguka kudanganya kuwa bodaboda ni kaz nzuri wakati watoto wao hawaendeshi bodaboda badala yake wanaganya kaz BOT.NA TRA.
Mkuu shida nchi ina wajinga nazani asilimia 90 kutwa nzima ni wanadanganywa tu
 
Kwa nini viwe tofauti? Kwa nini wao wafanye kazi BOT, kazi za Umoja wa Mataifa na kwingineko? kama ni shida ya kazi hata watoto wa Waziri wawe na shida na kazi.

Watoto wao wanafanya kazi New York theb wanakuja kuwahadaaa wajinga nyie kwamba kaendesheni toyo na kasomeni Ualimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…