Lema: Nimeisikiliza hotuba ya Rais mara tano, Nitarudi na majibu baada ya tamko la Chama

Lema: Nimeisikiliza hotuba ya Rais mara tano, Nitarudi na majibu baada ya tamko la Chama

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Tuko kwenye vikao vya Kamati Kuu vya Chama Dar es salaan. Nimesikiliza hotuba ya Mheshimiwa Rais mara tano. Nashukuru Mungu nilirudi nyumbani nikawakuta wazazi wangu wakiwa hai na walifurahi sana. Nitajibu baadhi ya maeneo baada ya tamko la CHAMA.

Soma Pia: Rais Dkt. Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo

1726589598387.png
 

Attachments

  • 1000037257.jpg
    1000037257.jpg
    346.7 KB · Views: 1
Tuko kwenye vikao vya Kamati Kuu vya Chama Dar es salaan. Nimesikiliza hotuba ya Mheshimiwa Rais mara tano. Nashukuru Mungu nilirudi nyumbani nikawakuta wazazi wangu wakiwa hai na walifurahi sana. Nitajibu baadhi ya maeneo baada ya tamko la CHAMA.

Soma Pia: Rais Dkt. Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo

Mpuuzi Lema katika ubora wake🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Swali la msingi siku hizi wahalifu hawakamatwi bali wanakwenda kusimangwa jukwaani?

Mama tuna akili timamu, hata tuliokuwa tunakuheshimu nimekudharau sana na kumbe Mange Kimambi anakujuwa kuliko Mtanzania yeyote ingawa wengi tunamuonaga kama chizi kumbe yupo timamu kabisa.
 
Lini ? Na mwaka gani? Hapa anaongelea ya nyuma ama leo?


Haya turudi kwenye mada. Samia anawachimba biti chadema kuwa kila mnachokipanga yeye anakipata. Maana yake miongoni mwenu kuna mdudu.
Muongo hamna kitu yule!
 
Tuko kwenye vikao vya Kamati Kuu vya Chama Dar es salaan. Nimesikiliza hotuba ya Mheshimiwa Rais mara tano. Nashukuru Mungu nilirudi nyumbani nikawakuta wazazi wangu wakiwa hai na walifurahi sana. Nitajibu baadhi ya maeneo baada ya tamko la CHAMA.

Soma Pia: Rais Dkt. Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo

lema kashituka mchezo umeshitukiwa hamini macho yake
Huku tunakopelekwa sasa, Sijui kama tutafika
Nafikiri Rais awe mwangalifu sana katika kuchagua maneno au lugha ya kuongea mbele za hadhara za Watu, asiwe anaamini kila kitu anachoambiwa na wale Watu wanaomzunguka. Sometimes anadanganywa au amekuwa akiambiwa Habari ambazo zimetiwa chumvi Sana. Awe anachuja maneno ya kuongea hadharani.
 
Nafikiri Rais awe mwangalifu sana katika kuchagua maneno au lugha ya kuongea mbele za hadhara za Watu, asiwe anaamini kila kitu anachoambiwa na wale Watu wanaomzunguka. Sometimes anadanganywa au amekuwa akiambiwa Habari ambazo zimetiwa chumvi Sana. Awe anachuja maneno ya kuongea hadharani.
slogan tu ya samiamustgo inaonyesha jaribio linalotaka kujaribiwa. Sijui ilikuaje hadi watu wakaamua iwe slogan. Imekaa kiuhaini mno.
 
Swali la msingi siku hizi wahalifu hawakamatwi bali wanakwenda kusimangwa jukwaani?

Mama tuna akili timamu, hata tuliokuwa tunakuheshimu nimekudharau sana na kumbe Mange Kimambi anakujuwa kuliko Mtanzania yeyote ingawa wengi tunamuonaga kama chizi kumbe yupo timamu kabisa.
Utatekwa mkuu
 
Back
Top Bottom