Palmoni
JF-Expert Member
- Jun 13, 2024
- 1,968
- 3,760
Sasa kufeli form 4 na mambo ya taaluma ya uchambuzi wapi na wapi??Jitu lilifeli form four leo hii anataka kuaminisha watanzania kuwa ni mtaalamu wa uchambuzi 🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kufeli form 4 na mambo ya taaluma ya uchambuzi wapi na wapi??Jitu lilifeli form four leo hii anataka kuaminisha watanzania kuwa ni mtaalamu wa uchambuzi 🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Hauelewi tofauti?Sasa kufeli form 4 na mambo ya taaluma ya uchambuzi wapi na wapi??
Hilo ndilo angejikita nalo zaidi na kutoa mikakati ya kufanya kukomesha haya yanayotokea nchini. Hayo mengine yalikuwa si ya lazima kama Commander in Chief .Ameri Jeshi Mkuu ameahidi kulinda uhai wa wananchi wote.
Unaelewa Tofauti?Hauelewi tofauti?
Nikisoma comments zako tayari nakuwa nimeishaelewa tofautiUnaelewa Tofauti?
Vyombo vyote vya usalama vinaripoti kwa Rais, anazo taarifa za uhakika kuliko mtanzania yoyote yule.Nafikiri Rais awe mwangalifu sana katika kuchagua maneno au lugha ya kuongea mbele za hadhara za Watu, asiwe anaamini kila kitu anachoambiwa na wale Watu wanaomzunguka. Sometimes anadanganywa au amekuwa akiambiwa Habari ambazo zimetiwa chumvi Sana. Awe anachuja maneno ya kuongea hadharani.
Nami Vivyo Hivyo pia kwa Upande wako,,,Nikisoma maoni yako humu tayari nakuwa nimeshaelewa tofauti.Nikisoma comments zako tayari nakuwa nimeishaelewa tofauti
Nikisoma comments zako tayari nakuwa nimeishaelewa tofauti
Huyu Lema hamna kitu anatafuta tu attention ya jamii kwa maneno yake yasiyo na busara wala hekima maana anajua akili za wanachadema wengi ziko je. Kwahiyo atakuja na kauli iliyojaa mihemkoTuko kwenye vikao vya Kamati Kuu vya Chama Dar es salaan. Nimesikiliza hotuba ya Mheshimiwa Rais mara tano. Nashukuru Mungu nilirudi nyumbani nikawakuta wazazi wangu wakiwa hai na walifurahi sana. Nitajibu baadhi ya maeneo baada ya tamko la CHAMA.
Soma Pia: Rais Dkt. Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo
Inasemekana 4R zilimrejesha toka ukimbizini CanadaHuyu Lema hamna kitu anatafuta tu attention ya jamii kwa maneno yake yasiyo na busara wala hekima maana anajua akili za wanachadema wengi ziko je. Kwahiyo atakuja na kauli iliyojaa mihemko
Upo sawa. Mbona kimya sana? Kwani Mbatia anasemaje?Huyu Lema hamna kitu anatafuta tu attention ya jamii kwa maneno yake yasiyo na busara wala hekima maana anajua akili za wanachadema wengi ziko je. Kwahiyo atakuja na kauli iliyojaa mihemko
Chadema wanajua kilichotokea saivi presha juu kwa juulema kashituka mchezo umeshitukiwa hamini macho yake
Nchi imefika PatamuTuko kwenye vikao vya Kamati Kuu vya Chama Dar es salaan. Nimesikiliza hotuba ya Mheshimiwa Rais mara tano. Nashukuru Mungu nilirudi nyumbani nikawakuta wazazi wangu wakiwa hai na walifurahi sana. Nitajibu baadhi ya maeneo baada ya tamko la CHAMA.
Soma Pia: Rais Dkt. Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo
Hivi vitisho ni juu ya naniChadema wanajua kilichotokea saivi presha juu kwa juu
Watajulikana tuuu
Na ndiyo mtego anaotengenezewa na watu wake mwenyewe na hadi sasa kama ni kitanzi ameshavishwa bado kuvuta tu ashindwe kupumua chezea wahafidhina wewe.Mama awe mpole kama ruto hapo jirani Mambo yamebadilika saana atakuja kuleta maafa makubwa.