Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Tanzania sijui shida ipo wapi Wazee tunakokwenda sijui kama tutafika...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lema ameliwa kichwa.Tuko kwenye vikao vya Kamati Kuu vya Chama Dar es salaan. Nimesikiliza hotuba ya Mheshimiwa Rais mara tano. Nashukuru Mungu nilirudi nyumbani nikawakuta wazazi wangu wakiwa hai na walifurahi sana. Nitajibu baadhi ya maeneo baada ya tamko la CHAMA.
Soma Pia: Rais Dkt. Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo
Mpumbavu wewe na viongoz wako huko ccmMpuuzi Lema katika ubora wake🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Kama mamayenu alivyofail akaungaunga elimu ya hapa na paleJitu lilifeli form four leo hii anataka kuaminisha watanzania kuwa ni mtaalamu wa uchambuzi 🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Utajibu baada ya tamko la chama au baada ya kupata maelekezo kutoka canadaTuko kwenye vikao vya Kamati Kuu vya Chama Dar es salaan. Nimesikiliza hotuba ya Mheshimiwa Rais mara tano. Nashukuru Mungu nilirudi nyumbani nikawakuta wazazi wangu wakiwa hai na walifurahi sana. Nitajibu baadhi ya maeneo baada ya tamko la CHAMA.
Soma Pia: Rais Dkt. Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo
Halafu ni raisi wenu nyie wenye elimu bora mmebaki kua walamba viatu tu wa wazunguKama mamayenu alivyofail akaungaunga elimu ya hapa na pale
MACHAWA badala ya Elimu, mmejazwa Ujuaji? UCHAWA ni hasara kubwa sana kwa Taifa letu.Mpuuzi Lema katika ubora wake🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Ilikuwa hotba ya shari tupu na vitisho!Tuko kwenye vikao vya Kamati Kuu vya Chama Dar es salaan. Nimesikiliza hotuba ya Mheshimiwa Rais mara tano. Nashukuru Mungu nilirudi nyumbani nikawakuta wazazi wangu wakiwa hai na walifurahi sana. Nitajibu baadhi ya maeneo baada ya tamko la CHAMA.
Soma Pia: Rais Dkt. Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo
"Let us agreed that Black people cannot rule themselves, Whites are born in order to rule and Blacks are born to be ruled."Tanzania sijui shida ipo wapi Wazee tunakokwenda sijui kama tutafika...
The Hate Speech.Ilikuwa hotba ya shari tupu na vitisho!
Kwani ukifeli form iv ndio kukosa akili?Jitu lilifeli form four leo hii anataka kuaminisha watanzania kuwa ni mtaalamu wa uchambuzi 🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Unapelekwa na nani na Mbowe au?Huku tunakopelekwa sasa, Sijui kama tutafika
mtamuelewa tu ingieni barabarani muonehutuba Ile uwongo mtupu na haieleweki kusudio la huyu bibi kiziwi ni nn
Mtanzania anayelindwa na katibaAtarudi kama nani?
nchi hii sasa hivi tuna chama kimoja cha siasa ikishindana na dola kwani ccm ilishakufalema kashituka mchezo umeshitukiwa hamini macho yake
Swali la msingi siku hizi wahalifu hawakamatwi bali wanakwenda kusimangwa jukwaani?
Mama tuna akili timamu, hata tuliokuwa tunakuheshimu nimekudharau sana na kumbe Mange Kimambi anakujuwa kuliko Mtanzania yeyote ingawa wengi tunamuonaga kama chizi kumbe yupo timamu kabisa.
yule maza hana filter,na mbaya hajui adui zake ako nao meza moja maccm wanamjaza ujinga naye anayatoa kama ilivyo masikin anasahau kauli ya msoga yakuambiwa changanya na zakoNafikiri Rais awe mwangalifu sana katika kuchagua maneno au lugha ya kuongea mbele za hadhara za Watu, asiwe anaamini kila kitu anachoambiwa na wale Watu wanaomzunguka. Sometimes anadanganywa au amekuwa akiambiwa Habari ambazo zimetiwa chumvi Sana. Awe anachuja maneno ya kuongea hadharani.
Atarudi kama nani?