Lema: Nimeisikiliza hotuba ya Rais mara tano, Nitarudi na majibu baada ya tamko la Chama

Lema: Nimeisikiliza hotuba ya Rais mara tano, Nitarudi na majibu baada ya tamko la Chama

Chadema wanajua kilichotokea saivi presha juu kwa juu

Watajulikana tuuu
Ndio maana ya chama tawala kinatawala vyama vyote na kinakuwa na wajumbe wake kikao cha kila chama kiwe cha siri au wazi
 
Tuko kwenye vikao vya Kamati Kuu vya Chama Dar es salaan. Nimesikiliza hotuba ya Mheshimiwa Rais mara tano. Nashukuru Mungu nilirudi nyumbani nikawakuta wazazi wangu wakiwa hai na walifurahi sana. Nitajibu baadhi ya maeneo baada ya tamko la CHAMA.

Soma Pia: Rais Dkt. Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo

Unaeza kuta hawa ndo "wachomaji" wenyewe, dunia hii, usimwamini mtu!
 
Lini ? Na mwaka gani? Hapa anaongelea ya nyuma ama leo?

Haya turudi kwenye mada. Samia anawachimba biti chadema kuwa kila mnachokipanga yeye anakipata. Maana yake miongoni mwao (chadema) kuna mdudu.
Una akili sana Mkuu
 
Ndio maana kasikiliza mara tano haamini
Hii maana yake Lema ana akili timamu ya kufuatilia, mama angeisoma hiyo hotuba mara mbili tu kabla ya kutoka public angeshamfuta kazi aliyemuandikia na kumuingiza chaka.

Amelishwa maneno akayameza mazima mazima wenzake saa hizi wanagonga cheers lengo la kumfitinisha na umma limefanikiwa.

Hata wengine tusioitaka ccm lakini tulisimama na huyu mama tumempuuza kumbe watu kama Mange Kimambi wanamjuwa zaidi huyu mama kuliko tuliyeamuwa kusimama naye tulikosea.
 
Jitu lilifeli form four leo hii anataka kuaminisha watanzania kuwa ni mtaalamu wa uchambuzi 🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
Watu wanafeli darasa la 7, kidato cha pili, kidato cha nne na leo hii ni wakuu wa nchi!!!
 
Kwa kweli kama siasa zenyewe ndio hivi, naanza kuelewa why President Magufuli stopped all political issues, kiongozi wa nchi kaongea habari za usalama wa nchi na hali ya demokrasia, wewe leo unaitisha mkutano unawaambia wananchi Rais anaongelea habari za mitaani.

Duh Nakuomba IGP wambura huyu mdakeni kahangaikeni naye pale Mahakamani Kisutu
 
Back
Top Bottom