Mpuuzi Lema katika ubora wakeπββοΈπββοΈπββοΈTuko kwenye vikao vya Kamati Kuu vya Chama Dar es salaan. Nimesikiliza hotuba ya Mheshimiwa Rais mara tano. Nashukuru Mungu nilirudi nyumbani nikawakuta wazazi wangu wakiwa hai na walifurahi sana. Nitajibu baadhi ya maeneo baada ya tamko la CHAMA.
Soma Pia: Rais Dkt. Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo
Lema atahemeka ,Mzee Mbowe atapiga yowe,na mjomba mrema atapiga tarumbetaTunasubiriiiiaaa
Amekosea nini mpaka umuite mpuuzi. Si umsikilize kwanza atasema nini.Mpuuzi Lema katika ubora wakeπββοΈπββοΈπββοΈ
Tuliza naniliuAtarudi kama nani?
aise!Atarudi kama nan
Lini ? Na mwaka gani? Hapa anaongelea ya nyuma ama leo?Nashukuru Mungu nilirudi nyumbani nikawakuta wazazi wangu wakiwa hai na walifurahi sana.
Muongo hamna kitu yule!Lini ? Na mwaka gani? Hapa anaongelea ya nyuma ama leo?
Haya turudi kwenye mada. Samia anawachimba biti chadema kuwa kila mnachokipanga yeye anakipata. Maana yake miongoni mwenu kuna mdudu.
Tuko kwenye vikao vya Kamati Kuu vya Chama Dar es salaan. Nimesikiliza hotuba ya Mheshimiwa Rais mara tano. Nashukuru Mungu nilirudi nyumbani nikawakuta wazazi wangu wakiwa hai na walifurahi sana. Nitajibu baadhi ya maeneo baada ya tamko la CHAMA.
Soma Pia: Rais Dkt. Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo
lema kashituka mchezo umeshitukiwa hamini macho yake
Nafikiri Rais awe mwangalifu sana katika kuchagua maneno au lugha ya kuongea mbele za hadhara za Watu, asiwe anaamini kila kitu anachoambiwa na wale Watu wanaomzunguka. Sometimes anadanganywa au amekuwa akiambiwa Habari ambazo zimetiwa chumvi Sana. Awe anachuja maneno ya kuongea hadharani.Huku tunakopelekwa sasa, Sijui kama tutafika
Jitu lilifeli form four leo hii anataka kuaminisha watanzania kuwa ni mtaalamu wa uchambuzi πββοΈπββοΈπββοΈAmekosea nini mpaka umuite mpuuzi. Si umsikilize kwanza atasema nini.
slogan tu ya samiamustgo inaonyesha jaribio linalotaka kujaribiwa. Sijui ilikuaje hadi watu wakaamua iwe slogan. Imekaa kiuhaini mno.Nafikiri Rais awe mwangalifu sana katika kuchagua maneno au lugha ya kuongea mbele za hadhara za Watu, asiwe anaamini kila kitu anachoambiwa na wale Watu wanaomzunguka. Sometimes anadanganywa au amekuwa akiambiwa Habari ambazo zimetiwa chumvi Sana. Awe anachuja maneno ya kuongea hadharani.
Msemaji wa chadema kupitia mgongo wa Mwenyekiti wa kanda ,lema povu lazima limtoke kwa maana ajira yake kupitia siasa (ubunge) ndio basi tenaAtarudi kama nani?
Utatekwa mkuuSwali la msingi siku hizi wahalifu hawakamatwi bali wanakwenda kusimangwa jukwaani?
Mama tuna akili timamu, hata tuliokuwa tunakuheshimu nimekudharau sana na kumbe Mange Kimambi anakujuwa kuliko Mtanzania yeyote ingawa wengi tunamuonaga kama chizi kumbe yupo timamu kabisa.