Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,955
- 9,041
Tuogope kwani inatuhusu nini? We vipiNimekamatwa na Jeshi la Polisi Arusha, mpaka sasa sijajua kosa langu. Niko naelekea Kituo kikuu cha Polisi Arusha. MSIOGOPE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuogope kwani inatuhusu nini? We vipiNimekamatwa na Jeshi la Polisi Arusha, mpaka sasa sijajua kosa langu. Niko naelekea Kituo kikuu cha Polisi Arusha. MSIOGOPE
Tuogope kwani inatuhusu nini? We vipi
Nimekamatwa na Jeshi la Polisi Arusha, mpaka sasa sijajua kosa langu. Niko naelekea Kituo kikuu cha Polisi Arusha. MSIOGOPE
Kwani wew upo mkoa gani ili ukatoe mfano?Sasa ndio siasa gani hizi za kukamatana kamatana ila mapinzani yamekuwa mapole sana siku hizi sijui yanashindwaje kukavamia hako kakituo ka polisi na kukacolonise fasta
Nimekamatwa na Jeshi la Polisi Arusha, mpaka sasa sijajua kosa langu. Niko naelekea Kituo kikuu cha Polisi Arusha. MSIOGOPE
Kwani wew upo mkoa gani ili ukatoe mfano?
Unataka kusema hii inawahusu pia akina ziro,mambonow na yule jamaa wa sisi ndiyo wataalam, tulia weweSiku Polisi itakapokuwa kazi ya maana na wasichukue watu waliofeli shule peke yake , Itakuwa Idara nzuri sana
Kuvamia kituo cha polisi dada.Mfano upi dogo
Haki haipaswi kutetewa na mtu mmoja tu.Sasa ndio siasa gani hizi za kukamatana kamatana ila mapinzani yamekuwa mapole sana siku hizi sijui yanashindwaje kukavamia hako kakituo ka polisi na kukacolonise fasta
Kweli bwana haiwezekani haki itetewe na mwanamme mmoja wengine wako chumbani wanagegeda
Tembeeni na maji kupoza rejeta mnamletaje mgombea rejeta inawaka moto kila sikuRais anakamatwa huyu atakuwa rais fake
Nimekamatwa na Jeshi la Polisi Arusha, mpaka sasa sijajua kosa langu. Niko naelekea Kituo kikuu cha Polisi Arusha. MSIOGOPE
Kama watanzania tunapenda haki tunapaswa kupaza sauti kwa vitendo dhidi ya uvunjifu wa haki.Kweli bwana haiwezekani haki itetewe na mwanamme mmoja wengine wako chumbani wanagegeda
Yaani atamalizana naoTusiogope nini sasa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ni kama baba anawaambia watoto wake msiogope.Tusiogope nini sasa
Kweli bwana tunapaswa kuwa na ujasiri kuliko wa watu wa Beralus maana huyu dikteta hatujua ataanzisha white elephant project gani baada ya madege na maviwanja ya kijijini kwake chatoKama watanzania tunapenda haki tunapaswa kupaza sauti kwa vitendo dhidi ya uvunjifu wa haki.
Utawala wa kidikteta hujengwa na wananchi kutokuchukua hatua dhidi ya matendo yanayoashiria uonevu
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Safi sana, ila kila la heri pia, ...
Kwani wewe ni wa kwanza kukamatwa?Nimekamatwa na Jeshi la Polisi Arusha, mpaka sasa sijajua kosa langu. Niko naelekea Kituo kikuu cha Polisi Arusha. MSIOGOPE