Hili giza mmeanza kuliongea zaidi ya miaka 10 iliyopita. Hapakuchi tuUkiona giza nene ujuwe kunakaribia KUKUCHA.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili giza mmeanza kuliongea zaidi ya miaka 10 iliyopita. Hapakuchi tuUkiona giza nene ujuwe kunakaribia KUKUCHA.....
Suala la kutenda haki tusilichukulie kuwa ni tukio tu la kupita inapaswa kuwa sehemu ya maisha yetu Sisi wenyewe.Kweli bwana tunapaswa kuwa na ujasiri kuliko wa watu wa Beralus maana huyu dikteta hatujua ataanzisha white elephant project gani baada ya madege na maviwanja ya kijijini kwake chato
Safi sana, ila kila la heri pia, ...
Nchi ya udikteta tu ndo Raisi hawezi kukamatwa hata afanye ufisadi kama magufuliRais anakamatwa huyu atakuwa rais fake
Ndomana mnaitwa wapumbavu,mazungu wanawashangaa mnavyomuita JPM dikteta wakati kila siju yupo barabari na kupigia magoti wapiga kura ili tu wamchague.au ni hamuelewi nini maana ya dikteta.Kweli bwana tunapaswa kuwa na ujasiri kuliko wa watu wa Beralus maana huyu dikteta hatujua ataanzisha white elephant project gani baada ya madege na maviwanja ya kijijini kwake chato
Idd Amin na Charles Taylor walikuwa wanajibiringisha kabisa kwenye udongoNdomana mnaitwa wapumbavu,mazungu wanawashangaa mnavyomuita JPM dikteta wakati kila siju yupo barabari na kupigia magoti wapiga kura ili tu wamchague.au ni hamuelewi nini maana ya dikteta.
It's darkest before dawn. Wagombea wako chini ya tume ya uchaguzi. Wana kamati ya maadili. Ukiukaji wa kanuni za uchaguzi zishughulikiwe na tume. Au Gambo maji ya shingo?Ukiona giza nene ujuwe kunakaribia KUKUCHA.....