Lema: Waziri Kalemani alimpigia simu mkewe akimtaka kuwapa Polisi ushirikiano wa kuondoa kamera

Space wataipiga chini sasa hivi ,zoom nayo wanaipiga chini na kuirudisha sometimes!!
 

Huo ndio ukweli bila chenga.

Cc: misuli, Paskali Mayalla
 
Hata Sabaya aliambiwa na Mbowe safari hii ataozea jela.

Lakini sasa wote watakutana Kisongo
 
Hizo ni chokochoko kama mnadai aliyepanda mpango amekufa basi na kesi imekufa msitusumbue na mambo yaliyokufa.

Kuhusu CCTV kwani anayetakiwa kuzitoa ni Nani? Kwani kinachofanyiwa uchunguzi ni Yale makamera au server?

Ukitafakari vizuri utabaini kwamba endapo washika dau wangepanga Mauaji mambo mengi yasingefanyika wangeweza kumtafuta kwa njia nyingi rahisi kwani hawana woga wa kumshambulia mtu kwa kificho wangemsubiri nyumbani au kwenye ulevi pia CCTV zingerekenishwa mapema.

KILICHOTOKEA Kuna wahusika wasio na utaalamu walifanya tukio kwa maslahi Yao lakini pia serikali kutokana na usumbufu wake wakatekeleza ule usemi wa adui muombee njaa. Ni sawa na wewe ukisikia mchawi wako amepata ajali utakachoweza kufanya ni zaidi ya ajali.
 
Lisu naye atakufa. Kwenye uchahuzi wa 2025 Lissu atakuwa amesha oza kwenye kaburi lake. Nakuahidi.
 
Ndiyo maana waliofanya ushenzi huu washaanza kufa mmoja baada ya mwingine. Na bado!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…