Inamaana gani kupigwa faini ya 5mn Tano kama hakukutwa na hatia alafu achiwe Tena kwa masharti
Baada ya kukiri mtuhumiwa anatiwa hatiani halafu adhabu itatolewa na mwendesha mashitaka kwa makubaliano maalum (plea bargaining).
Kwa hiyo, maelezo ya kuachiwa huru siyo sawa, kwa kuwa hapo kuna hatia na adhabu ila kwa utaratibu tofauti na ule wa kawaida.
 
Hongera sana Sabaya Mungu ni mkubwa sana sasa upo mtaani waliokufitini wataona aibu kubwa sana


USSR
Kuna uwezekano wa wale wanaodai "mungu ni fundi" kuukana ufundi huo leo....huku wakijiongezea uchuro na dhambi.
 
Una maanisha mbowe nae hataweza kugombea nafasi yoyote? Maana alikutwa na hatia
Mbowe hakukutwa na hatia, alikuwa na kesi ya kujibu. Kwa maneno mengine alitakiwa ajitetee, na inawezekana baada ya ushahidi wa utetezi ingewezekana akaachiwa huru kwa kuonekana hana hatia.
Kwa hiyo, kesi ya Mbowe iliondolewa na mshitaki au mlalamikaji (jamhuri).
 
Bila Madaraka hasa Polisi hana umafia, wowote,aanze ujinga wake aone
 
Mahakama imeshindwa kazi, imemleta kwenye mahakama ya mtaani
 
Huna unalojua, alishajitetea ndio hapo mahakama imamkuta na hatia. Alikua anasubiri hukumu
 

Hongera kwake naamini atakuwa kajifunza!!! Lakini sheria inasemaje hapo kwenye kuachiwa? Maana tayari alihukumiwa.... na hii sio nzuri maana wafungwa wapo wengi kwann iwe ni msamaha ambao sio wa raisi kama tulivyozoea? Wanasheria naomba ufafanuzi wa hili.

Karibu mtaa bwana sabaya ila sasa uwe na utulivu.... mungu akikupa nafasi tena yakutumia taifa hili heshimu kila mtu na usiwe juu ya sheria
 
Asubirie teuzi SAsa, next time asitoe siri ya kambi
 
Huyo bagamoyo hana akili. Mbowe mwenyewe alitiwa hatiani

Hukumu ipi ya Mahakama Kuu ilimtia hatiani na kumpa kifungo jela, faini, kucharazwa viboko, kufanya kazi bila mshahara, kifungo cha nje au kulazimika kufuatiliwa kwa karibu awe na tabia njema kwa kipindi fulani mwenyekiti wa CHADEMA taifa Hon. Freeman Aikaeli Mbowe
 
Timu gaidi watanyooka tu wasiyempenda anakuja
Amekiri kuwa alikuwa anaendesha genge la washenzi na amekiri makosa yake na atalipa plea bargain so amejifunza mvinyo wa madaraka ni mbaya.
 
Agudishwe kwenye wilaya na kupewa stahiki zake zote na mishahara ikiwemo
Nyie ni majinga kabisa,huyu jambazi amekiri na amekubali kulipa plea bargains, maana yake ni mtu asiyeaminika na wala si mtu sahihi kupewa madaraka yoyote tena,cha kushangaza ni kuwa amekiri kupora milioni 50 halafu anaambiwa amlipe aliyempora shilingi milioni 5 tu,hizo 45 huyu mhanga anazipataje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…